Mwamedi Hassani
Member
- Sep 4, 2020
- 37
- 20
Subiri uone oktoba 28 ushindi wa zaidi ya asilimia 80 ukipatikanaHii ni dalili kamili ya kumchoka mgombea wao urais
MTAKOMA MWAKA HUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri uone oktoba 28 ushindi wa zaidi ya asilimia 80 ukipatikanaHii ni dalili kamili ya kumchoka mgombea wao urais
MTAKOMA MWAKA HUU
Yule aliewafukuza waandishi wa habari ndio ana damu ya kitanzania Yule?Kabisa. Ana roho ambayo siyo ya watanzania
Kumbuka yule cio mwanachama wakawaida ni mgombeaAkumbushe wanachama wote basi, sasa yeye mpaka aone kichaka ndo haja imbane??
Kuchat c angechat inbox huko,Kiukweli huu ni ubabe uliopitiliza. Yaani mtu asichat hata na watani zake? Asichat hata na marafiki/wapenzi/ndugu zake?
Hiki chama Sasa hapana.
Hana mpango na kampeni maana kajiaminisha kupita sababu hana mpinzaniKingwangala hajitambui,
Asipokuwa makini uwaziri atausikia tuu
JidanganyeDr Bashiru amemuagiza waziri Kigwangala kuacha mara moja kutupiana maneno na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa simba Mohammed Dewj.
Amemtaka badala ya kujibishana mambo ya mpira, hizo nguvu azitumie kumpigia kampeini mwenyekiti wa ccm ili ashinde.
Hakika huu ni uingiliaji wa mambo binafsi ya mtu, maana kupenda soka ni mambo binafsi. Sasa wamefikia hatua ya kupangiana nini cha kupenda.
Hakika ccm sasa ipo icu.
Tanzania bila ccm inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Faragha? Unajua maan ya faragha wwHuoni kabisa kuwa Bashiru hapo kaingilia faragha ya Kigwangalla? Hata mwenyewe hapo kwenye tweeter yake amejistukia. Lkn wewe shabiki wa ccm hujaona.
Tunasonga mbele kwa kishindo, tunaiishi falsafa ya kujisahisha.Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla kumzungumzia Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Magufuli badala ya kuendelea na malumbano yake yanayohusu mpira dhidi ya Mmiliki wa Simba SC, Mohammed Dewji
Dkt. Bashiru amaema“Naona Hamis Kigwangalla yupo mitandaoni kujibizana na Mohammed Dewji mambo ya mipira, tupo kwenye uchaguzi. Nataka nione ana-tweet na wafuasi wake namna Mwenyekiti na Mgombea Urais wetu atakavyoshinda.”
Ameongeza, “Siingilii maisha binafsi, hakuna maisha binafsi unapokuwa mgombea wa CCM"
Dkt. Kigwangalla na Mo Dewji walianza kujibishana mtandaoni baada ya Kigwangalla kuhoji namna alivyopatikana CEO mpya wa Simba ambaye anaelewa kuwa PA wa Mo Dewji
Katika kujibu hoja hiyo Mo aliendelea hadi kumuomba msamaha Waziri Kigwangalla kutokana na mkopo wa pikipiki kutofanikiwa (hali iliyotafrisiwa kuwa Mo anadhani Kigwangalla anafanya hivyo kutokana na kunyimwa mkopo)
Hata hivyo, Kigwangalla aliendelea na kusema mkopo hauhusianj bali tu yeye anahoji kama Mwanachama wa Klabu ya Simba. Aliweka bayana barua pepe aliyoombea mkopo wa pikipiki na pia alionesha tweet zake za nyuma ambazo pia alikuwa a ahoji mambo kadhaa ndani ya Simba
Utopolo ni hawa jamaa 👇Hii team lumumba mpya utopolo inakuja kasi kama nyuki kuokoa jahazi linalozama!
Namba hazidanganyi, mkutano wa CCM na CDM leo 👇👇Hiyo ni dalili kuwa hali ya Magufuli kisiasa ni mbaya. Hajiamini na haamini kama anaweza kuvuka oktoba kwa kura.
Bashiru inabidi ajikakamue.
Haha Comrade nasema kutoka moyoni hakika wewe ni mzarendo kweri-kweri wa timu yakoDr Kigwangalla yuko sahihi Mo Dewji alipe sh bilioni 20 za Simba.
Maendeleo hayana vyama!
sahihi lakini bado ingeendelea kuleta mjadala kwa wapenzi wa twitter kwa vile HK angeonekana kuukimbia mjadalaAngemuonya moja moja kama unavyojaribu kuliweka mm nisingekuwa na nongwa. Lkn Bashiru kasema Kigwangalla amtafutie kura mwenyekiti wake.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Bashiru Ally mchana wa leo ametoa maelekezo kwa wagombea wa Ubunge kubaki katika maeneo yao ya jimbo na kufuata maelekezo na taratibu zilizopangwa na Kamati za Siasa za Wilaya husika. Katibu Mkuu amewataka wabunge kuzingatia ratiba za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na ratiba za Kamati za Siasa za Wilaya kuungana na Viongozi wengine kuwatafutia Kura wagombea Udiwani pamoja na kumuombea Kura mgombea Urais wa CCM Ndugu John Pombe Magufuli.
Sambamba na maelekezo hayo, amewataka wabunge kutumia mitandao ya kijamii katika kutafuta kura za Chama Cha Mapinduzi kwa kufafanua ilani yetu ya Chama kwa mwaka 2020- 2025 kwa kuwaeleza wananchi kipi kimetekelezwa na kipi tunatarajia kukitekeleza pamoja na kuhamasisha wananchi kwenda kupiga kura siku ya tarehe 28 Oktoba 2020.
Nidhamu ya Chama inatuongoza kusikiliza maelekezo ya Viongozi wetu na bila kinyongo kuyatii na kujisahihisha.
Tunasema tumesikia na tumetii...!
View attachment 1560618View attachment 1560618View attachment 1560620
Acha kujitoa fahamu, kuna sehemu katibu Mkuu amesema watu waombe kura mitandaoni?Siku zote wanasema mitandaoni hakuna wapiga kura, leo wanageuka tena na kujikata mitama na kuwataka wagombea kuomba kura mitandaoni. Kweli siku ya kufa nyani, miti yote huteleza
Naona unaumia sanaaWatapangiwa mpaka ratiba za kulala na wake zao.