Nassor Mohamed
Member
- Sep 1, 2020
- 86
- 41
Hajamfokea kampa muongozo tuBashiru asimfokee Kigwangala.
Ndiyo maana Chadema wanasisitiza Uhuru, Haki na Maendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajamfokea kampa muongozo tuBashiru asimfokee Kigwangala.
Ndiyo maana Chadema wanasisitiza Uhuru, Haki na Maendeleo
Acheni uoga, kila kinachofanyika unahisi ni fitna punguzeni kulalamikaBashiru kilaza ndio hawa wa majalalani walioitumia Simba Arusha kucheza bure
Huko sio kuingiliwa Bali ni kukumbushwa majukumuHuoni kabisa kuwa Bashiru hapo kaingilia faragha ya Kigwangalla? Hata mwenyewe hapo kwenye tweeter yake amejistukia. Lkn wewe shabiki wa ccm hujaona.
sahihi kabisa lazima chama ama organization yoyote kuwepo na uelewaano ndio mambo yaweze kwenda sawatunaushirikiano mkubwa ndani ya chama chetu
Haki inakuja pale unapotimiza wajibu,Uhuru na haki haviheshimiwi kabisa ccm
Hatuwezi kumtabiria mtu ila tunauhakika na jambo moja pekee kuwa CCM inaendelee kusimama imara bila kujali katoka nani au kauingia nanKigwangala iko siku atahamia upinzani
Ndio ndo kazi anayotakiwa kuifanya yeye Kama mbungeAngemuonya moja moja kama unavyojaribu kuliweka mm nisingekuwa na nongwa. Lkn Bashiru kasema Kigwangalla amtafutie kura mwenyekiti wake.
Umeufuatilia mwenyewe huo mjadala kati ya Mo na Kigwangala huko Twitter?kuna siku nyingine katibu mkuu amewahi kutoka hadharani na kukemea bila uovu wowote kutendeka?
kwann useme mamneno hayo wakati alikuwa anatimiza majukumu yake yakulinda nidhamu na image ya chama?
Hajafokewa kakumbushwa tu wajb wakeBashiru asimfokee Kigwangala.
Ndiyo maana Chadema wanasisitiza Uhuru, Haki na Maendeleo
Kila kitu kina muda wake na wakati wakeUmeufuatilia mwenyewe huo mjadala kati ya Mo na Kigwangala huko Twitter?
Huo mjadala una uovu gani au Nidhamu ipi anailinda kupitia mjadala ule?...
Kabisahapana
hajaingilia uhuru wa kigwangala hata kidogo, wewe umeona kilichokuwa kinaendelea twitter ya kigwangala ni sahihi kwa image ya kiongozi na icon kama HK?
kiongozi unakujaje kutatulia matatizo yako tena ya ndani kwenye mitandao ya kijmi kisa kucpture attention ya watu tu?
huo ni ushamba kwa jina jingine sio kitu cha kuendekeza
Huo ndio wajibu wa kiongozi wa chamaHajafokewa kakumbushwa tu wajb wake
CCM wamebananishwa kwenye kona ya kitanda hadi wanapanic sana wakimuona mwenzao anachukulia easy na kuendelea na maisha.
Usije ukakoma ww tuHii ni dalili kamili ya kumchoka mgombea wao urais
MTAKOMA MWAKA HUU
hapana haipo hivo ndg hapa kwa busara wote Mo na HK wanamakosa, biashara ni makubaliano inakuaje wakati mnafanya biashara mlikuwa peke yenu then ghafla bin puuh mpo twitter kutueleza mabo yenu binafsi?Umeufuatilia mwenyewe huo mjadala kati ya Mo na Kigwangala huko Twitter?
Huo mjadala una uovu gani au Nidhamu ipi anailinda kupitia mjadala ule?
Image ya CCM imeingiaje kwenye ule mjadala?
WanaCCM hawapaswi kuhoji au kutofautiana hata kwa mambo nje ya siasa?
Yani huko CCM kuanzia mwenyekiti hadi katibu mkuu wote ni madikteta.
Hii ni dalili kamili ya kumchoka mgombea wao urais
MTAKOMA MWAKA HUU
Endelea kuwaza utopolo, angalia tofauti hii 👇Hiyo ni dalili kuwa hali ya Magufuli kisiasa ni mbaya. Hajiamini na haamini kama anaweza kuvuka oktoba kwa kura.
Bashiru inabidi ajikakamue.
Ni lazima asimamie maadili, tusimame katika kweli yuko sahihi, Mgombea ni lazima awe na focus sasa kuhama na kufanya jambo linalotutoa kwenye focus yetu si jambo la kuvumilika.Tunakoelekea Bashiru atawachimba mkwara wagombea hadi kutia wake zao.
Dunia haiwezi kusimama kupisha agenda za uchaguzi tu.