Uchaguzi 2020 Baada ya Dkt. Kigwangalla kujibizana na Mo Dewji Twitter. Dkt. Bashiru amshukia Kigwangalla, amtaka am-tweet Dkt. Magufuli

tunapangiana hadi cha kuongea ?, mwisho wa siku watapangia watu wapi pa kuweka nukta na koma, au wapi pa kucheka na kununa....
 
Jidanganye
 
alilolifanya Bashiru leo inaonesha jinsi gani chama mapinduzi kimekomaa kimaadili najinsi wanvyoheshimu madaraka ya kila mmoja wao kwenye uongozi wa chama hicho
mimi ninawapongeza wanachama wa chama hicho wote hasa kwa HK mwenyewe baada ya kutoka hadharani kwenye mtandao wa twitter na kukiri kupokea maelekezo hayo na kuyatii licha ya umaarufu wake
that is great
 
Tunasonga mbele kwa kishindo, tunaiishi falsafa ya kujisahisha.
 
Angemuonya moja moja kama unavyojaribu kuliweka mm nisingekuwa na nongwa. Lkn Bashiru kasema Kigwangalla amtafutie kura mwenyekiti wake.
sahihi lakini bado ingeendelea kuleta mjadala kwa wapenzi wa twitter kwa vile HK angeonekana kuukimbia mjadala
ili isilete maneno ilimpendeza kutoa maelekezo kwa kuwa ni kazi yake kufanya hivo muda wowote na mahali popote ili kudumisha mazingira mazuri kwa wanchama na chama kwa ujumla, wakati huo kumbuka kuwa mo ni mwanachama wake pia kwahiyo hayo yalikuwa ni maelekezo kwa wote
 
Siku zote wanasema mitandaoni hakuna wapiga kura, leo wanageuka tena na kujikata mitama na kuwataka wagombea kuomba kura mitandaoni. Kweli siku ya kufa nyani, miti yote huteleza
 
Siku zote wanasema mitandaoni hakuna wapiga kura, leo wanageuka tena na kujikata mitama na kuwataka wagombea kuomba kura mitandaoni. Kweli siku ya kufa nyani, miti yote huteleza
Acha kujitoa fahamu, kuna sehemu katibu Mkuu amesema watu waombe kura mitandaoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…