Baada ya DSTV kujichanganya kwa bei kubwa ya World Cup, AzamTv ni nafasi yenu hii kututangazia World Cup bei chee

Fact...

Labda kama sio mtumiaji wa StarTimes Tanzania ndo huwezi kuelewa maumivu tunayopata wateja wake ambao ni wapenda soka....
 
Mkuu, usihangsike na hao kasuku wa EPL. TBC1 ndo tulizo la moyo wako kombe la dunia la FIFA, tena bure kabisa.
 
Wewe ni arrogant na huna uelewa wa aina yoyote katika exclusive rights za kurusha matangazo ya televisheni. Unajua haki utolewa kwa masharti gani? Nikikuuliza kwanini StarTimes na Dstv hawaonyeshi ligi kuu Tanzania sijui utajibu nini

Star times ama dstv wananunua content zinazoleta faida kwao. Ligi ya Tanzania kwao haina faida. Maana inafatiliwa na wa Tanzania tu. Huku wao wanarusha nchi nyingii content zao
 
Azam Tv alivyo mkuda,hata channels za taifa zitakazoonesha mechi kwa uchache ataziondoa.

56K ni reasonable kama ni mechi zote,mchawi abaki Makamba tu.

Sio mkuda.. sheria ya maudhui inambana kurusha kitu ambacho hana haki nacho. World cup sio mali ya azam.. haruhusiwi kurusha mpaka anunue haki ya kurusha
 

Attachments

  • 1666634610347.jpg
    88.5 KB · Views: 11
Litaonekana TBC bureee
 
Yaani unamaanisha TBC ina pesa kuliko Azam, company yenye brand nyingi Tanzania?
Fifa Wametoa Idhini ya Kila serikali ambayo nchi yake ni Mwanachama wa Fifa kwamba watapewa Ofa ya Local channel moja kurusha mechi zisizozidi 32 (Nusu ya idadi ya mechi zote)
Sasa hapa kwetu ni TBC ndiyo Kituo cha serikali kwa hyo imebahatika...
 
Mikataba ya DSTV. Hawataki mwengine aoneshe.
Siyo kweli DSTV anaaminika na ana uwezo wa Kurusha Mechi zote 64....

Na mikataba ya Kurusha matangazo FIFA ndiyo wanaamua na cyo DSTV
 
TBC wanawezaje kuonyesha world cup?
Unafahamu hakuna TV company hata moja yenye thamani hiyo hapa Africa?
Unapaswa kufahamu Kwamba kila nchi mwanachama wa FIFA imepewa ofa ya Local Channel 1 ya kuonesha angalau nusu ya idadi ya mechi kwa gharama nafuu TBC ndiyo wameponea hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…