BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,534
- 11,011
Lakini siyo game zote,ni asilimia ndogo mnoo.Kombe la dunia siyo fedha ina-matter. Ninachojua TV za serikali kila nchi zinapewa offer ya kuonyesha bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini siyo game zote,ni asilimia ndogo mnoo.Kombe la dunia siyo fedha ina-matter. Ninachojua TV za serikali kila nchi zinapewa offer ya kuonyesha bure.
Siyo game zote mzee.Mwisho wa siku serikali itaingilia kati na watanzania watashuhudia world cup buree kupitia free to air channels.
Kama huamini, wewe subiri uone nguvu ya wanasiasa.
Unafahamu kwamba huyo mtu aliongelea "uwezo wa Azam kulipia maonyesho ya world cup." na mimi nikabase huko kwanini aje na hitimisho hilo?Wewe ni arrogant na huna uelewa wa aina yoyote katika exclusive rights za kurusha matangazo ya televisheni. Unajua haki utolewa kwa masharti gani? Nikikuuliza kwanini StarTimes na Dstv hawaonyeshi ligi kuu Tanzania sijui utajibu nini
Wanaume kwetu burudan ni mpira wanawake burudani yenu ni kuangalia kulfiWw unadhani burudani ni mpira tuu
DSTV ana Exclusivity wrights za Kuonyesha Kombe la Dunia (na hapo ndo upata hela za kuendeshea kampuni na faida yake kubwa-miaka ya 2008 alikuwa analipia $10M kwa mwaka kushikiria haki hizo) niliwai kuwa na mazungumzo na boss mmoja Johannesburg. those days wakati tukiwa na project ya broadband hapa TZ.DStv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000.
Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu ndiyo muda wenu wa kuibuka na kututangazia Watanzania kuwa mtaonesha kombe la dunia kwa bei nafuu.
AzamTv amkeni kutoka kwenye usingizi mzito, njooni mjichukulie alama 3 muhimu
Azam hana hela ya kulipia hizo rights ndio. Ile ni biashara sio kutoa hela kwa sifa, ili Azam alipie anabidi atoe hela kumzidi DStv ndio apate exclusive rights wakati hapo DStv anakosa, au labda waingie mkataba usiozuia kampuni nyingine kusaini. DStv kuna Wafaransa walitaka kuweka zaidi ya $1 billion kuinunua, nani anaweza weka trilioni mbili kununua Azam?Unafahamu kwamba huyo mtu aliongelea "uwezo wa Azam kulipia maonyesho ya world cup." na mimi nikabase huko kwanini aje na hitimisho hilo?
Nani alikuwa anaongelea "rights" hapa?
Au unadandia treni kwa mbele?
Seriously? Billion 20-100 za kibongo?Azam hana hela ya kulipia hizo rights ndio. Ile ni biashara sio kutoa hela kwa sifa, ili Azam alipie anabidi atoe hela kumzidi DStv ndio apate exclusive rights wakati hapo DStv anakosa, au labda waingie mkataba usiozuia kampuni nyingine kusaini. DStv kuna Wafaransa walitaka kuweka zaidi ya $1 billion kuinunua, nani anaweza weka trilioni mbili kununua Azam?
Azam wapo nchi tano tu na uko hawana wateja wengi kivile. Kasome TCRA sensa yao uone ni watu elfu ngapi wana Azam hapa nchini ambako ndio ina wateja wengi, hawana wateja wa kulipia kifurushi cha kurudisha hela inayolipiwa kuonyesha kombe la dunia kwa mwezi. Kuna makampuni yamelipa bilioni zaidi ya 20 na mengine bilioni zaidi ya 100 za kibongo kutokana na coverage na estimation ya idadi ya watazamaji kwenye ukanda au nchi zao
Nakumbuka miaka ya 2002 niilikuwa naangalia EPL na UEFA kupitia channel ten, sijui kilibadilika nini
Wanaume kwetu burudan ni mpira wanawake burudani yenu ni kuangalia kulfi
Hapa kwenye matangazo tunazungumzia Azam Tv hatuzungumzii unga wala malori ya mizigo. Kwani hujui group of companies hizo kampuni chini ya mwavuli zinajiendeshaje. Yani unadhani Azam Pay wanachukua hela za mauzo ya unga, na Azam Marine wanachukua hela ya vifurushi vya Tv. Kwamba hujui tofauti ya SSB Group na vitoto vyake.Seriously? Billion 20-100 za kibongo?
Mwaka 2015 Azam ilikuwa na thamani ya zaidi ya 600 million US Dollars hiyo ni Trilion 1 na billion 400 kwa Tsh. miaka 7 imepita piga hesabu leo itakuwa na thamani kiasi gani...?
Unaandika as if Azam inadeal na TV pekee. Unafahamu kwamba Azam sio TV tu bali ni Multi-Brand company?... Bila shaka jibu ni hapana.
Azam hajaamua, bila shaka anaona uwekezaji ni mkubwa na faida kwake itakuwa ndogo au karibu na hasara.
Kusema hana PESA ya kulipia rights sio kweli.
Unnecessary risky investment is not worth it.
Point makini sanaUkiona kapandisha jua ni yeye pekee.
Almost bado mwezi mmoja lakini mpka leo hajaweka wazi kama ataonyesha wananipa mashakaAzam anaonyesha kila kitu hamia mapema
Kwenye issue ya World Cup ni tofauti kidogoMikataba ya DSTV. Hawataki mwengine aoneshe.
Basi mwenyewe unajiona mtaalam...wahed mmojaunadhania ni rahisi hivyo?kwa kusini mwa jangwa la sahara dstv ndio mwenye haki kubwa ya kuonyesha michuano mikubwa mikubwa ya mpira wa mguu,pamoja na CANAL+,hivyo usifikilie tu kuwa ni suala la kukurupuka tu!!Azamu atapewa haki za kuonyesha baadhi ya mechi tu na sio zote
Labda atumie fursa ya ZBC2World Cup huwa vituo vya Taifa wanapewa asilimia ya kuonesha. Kuhusu Azam hawana haki, zote kanunua DStv ndo maana wameamua kupandisha bei.
Wanaopanga haki za matangazo sio Qatar bali ni FIFANimeona bid ya qatar kuonyesha kombe la dunia ilikuwa
QAT (2022) US$220 billion
Sasa kwa uelewa wangu kama hizi figure ni sahihi, itakuwa ni very very expensive kupata haki za matangazo, kuonyesha, na kadhalika. Sababu lazima Qatar watataka returns on investment.