Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

Baada ya Hayati Magufuli kuombewa Chato, Mwanza nao wanaandaa maombi, binafsi naona haya yanayofanyika baada ya Chato yako kimkakati

Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
Hivi kwann hapa kwetu Tanzania, vibaraka wa, mafisadi pamoja na mafisadi kama January Makamba et al. wanatulazimisha tumuchukie JPM? Angalia huu Uzi wa chinembe ambaye naamini hana hata kaz za kujiajiri au kiajiriwa, anawapinga maelfu ya watu wanaoamini katika falsafa za JPM wasimkumbuke. Ndugu chinembe, naandika jina lako kwa elfu ndogo kuonyesha kuwa nakudharau sana sana. Hivi hao wahuni wenzako wanaokutuma umwandike vibaya JPM, waulize kwanza waliwahi kufanya nn cha maana ili nao wakifa wakumbukwe. Wambie pia,kupewa vyeo vya serikali kwa migongo ya wazee wao,ndio kumeturudisha nyuma kama taifa. Hipo siku nchi itarudi kwa watoto wenye akili sio wao. Hakika JPM alikuwa zaidi ya JK wa Butiama, na amekataa kabisa kufa.
 
Naona leo umemkiri Yesu Kristu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako, Hongera Sana.

ASANTE SANA,SASA WASHAURI NA WENZAKO WAACHE KUPOTEZA MUDA,YESU ANAFUFUA WAFU,WAPELEKE MAOMBI YAO KWA ASKOFU GWAJIMA ILI POMBE AFUFULIWE NA KAZI IENDELEE,SAWA??
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.

Kinamna wanawapanga waumini wao na wanataka kujigeuza jimbo la uchaguzi.

Busara ya kawaida tu inataka kwamba, baada ya taifa na familia kumaliza maombi chato, haingekiwa na haja ya hawa watu kuzinguka nchi nzim, kwa zamu, kwa unafiki, wakijifanya kufanya maombi, wakati ratiba ya Chato walikuwa nayo.

View attachment 2939575
Kwani shida yako ni nini?swala la maombi ni la watu binafsi na halipaswi kuhusishwa na udini hata kama ataombewa nchi nzima ni haki yao ya kuabudu.
 
Hivi from, Christian perspective, kumuombea mtu aliyekwisha kufa kuna faida gani? Si wanasema ukifa ukiwa hujatubu na kuomba msamaha unaenda motoni au ukiwa tayari unaenda mbinguni...je kuombewa kuna badilisha nini kama Mungu alishafanya maamuzi?
Kwani nyie waislamu hamuombei wafu wenu ?kama hamuombei mtajijua wenyewe mtuache wakristo na utaratibu wetu hayo mengine nenda kasome biblia
 
Mti wenye matunda ambao unapigwa mawe duniani na kupewa kila aina ya majina mabaya siyo ukristo wala imani nyingine,UISLAM ndiyo dini pekee ambayo inapigwa vita duniani na kuchukiwa na watu waovu wote.

Na hiyo ni kwa sababu uislam umesimama imara kupinga USHOGA,KAMARI,POMBE,DHULMA,RIBA,NDOA ZA JINISA MOJA,UZINZI,KUABUDU MASANAMU na kadhalika.

Mti huo unaosema wewe kuwa unapigwa mawe lini umesimama na kukemea USHOGA??KAMARI,RIBA NA KADHALIKA??

WAO NDIYO WA KWANZA KUSIMAMA NA KUAMRISHA NYINYI WAFUASI WAKE MUWE MBELE KWENYE HAYO MATENDO YA KISHETANI MFANO YA NDOA ZA WASE,NGE...STUKA WEWE ACHA KUKUMBATIA UPOTOFU.
Sawa
Sasa muache pia mijadala ya kidini sasa dili na imani yako tetea imani yako sio unatetea imani yako kwa kuwaumiza wenzio.
Msitaki kila mtu aamini mnachoamini nyie ila nimependa pale ulipomkili yesu hongera sana
 
wew iko shida upstairs
anaombewa mwingine wew waleta makasiriko
punguza udini tafuta wafu wako nawe uwaombee
 
Hawa watu wanamuombea JPM kuliko hata Nyerere. Nadhani hii imekaa kimkakati ili kupandikiza hisia za udini katika jamii, hasa ukizingatia hawa jamaa huwa hawaridhiki nchi ikiwa na uongozi tofauti.
Mtazamo wako tu huo, ila sema kwakuwa tu kuna wanasiasa wanatamani kushiriki ila imani haziwaruhusu ndiyo maana unaingiza hayo mawazo
 
Eti wanamuombea jpm kuliko Nyerere, acha uongo wako au dhihirisha kwa takwimu. Hatudanganyiki.
Mkuu,

Hata wakimuombea JPM kuliko Nyerere, kwani tatizo liko wapi?

Kuna mashindano ya kuombewa ambayo Nyerere akizidiwa kutakuwa na hatari ya kitaifa?
 
Hivi kuna uwezekano siku moja JPM nae atakuwa anafanyiwa mchakato na kanisa lake wa kutangazwa mtakatifu eh? Maana duniani kuna mambo.
Sio rahis kama unavyodhani, lazima uwe approved na roma
 
Mkuu,

Hata wakimuombea JPM kuliko Nyerere, kwani tatizo liko wapi?

Kuna mashindano ya kuombewa ambayo Nyerere akizidiwa kutakuwa na hatari ya kitaifa?
Hao wamelenga siasa
 
Hao wamelenga siasa
Hata kama wanalenga siasa, inabidi uwe na uthibitisho kabla ya kusema hilo.

Jipenyeze humo uwarekodi upate uthibitisho usiopingika. Ukisema wanalenga siasa, uwe unasema hilo kwa uthibitisho.

Sasa hivi, ukisema wanalenga siasa, hujajitofautisha na mtu mwenye wivu tu anayeona Magufuli anapendwa sana, akaona wivu, akataka kuwanyima watu haki yao ya kumuombea marehemu.


Thibitisha wanalenga siasa. Usiseme tu.

Kusema kila mtu anaweza. Uthibitisho ndiyo kazi.

Mtu mwingine anaweza kusema wewe ndiye unafanya siasa chafu za kuwanyamazisha watu wasimuombee mpendwa wao wanavyotaka.

Unataka kuleta siasa za ku control mpaka imani za watu na jinsi wanavyoombea wafu.
 
hili kanisa la mpinga Kristo, imagine, barua nzima inatangazwa na dhehebu kumuombea marehemu, lakini hawajaweka mstari wowote wa Biblia to back up their activity. ilitakiwa waseme, siku fulani tutamwombea marehemu fulani au misa kwa ajili ya mtufulani kwa mujibu wa kitabu fulani cha Biblia. kiufupi ni kwamba, hakuna mstari wowote kwenye Biblia unaoruhusu kuombea wafu au kuomba kwa wafu. Mtu akishakufa, kilichobaki kwake ni hukumu tu aidha aende motoni au uzimani, ninyi mlioko hapa duniani hata mumuombee namna gani mnapoteza muda wenu, yeye alitakiwa kutubu alipokuwa mzima.

hata akili ya kawaida tu, kama kungekuwa na kuombewa baada ya kufa uwekwe mahali pema, kusingekuwa na wito wa kuokoka au kumpokea Yesu, kwasababu hata ukifa na dhambi hasa wewe uliye maarufu au tajiri, ungeita tu padre akuombee usamehewe dhambi huko uendako. Yesu angesemaje sasa tukeshe na kuwa tayari? hata usipokuwa tayari si watakuombea ukifa?

Kanisa katoliki limepotosha wengi hadi hawataki kuokoka kwasababu wanalitegemea litawaombea wakifa. hili pia limefanya mapadre kuwa miungu watu, usipoenda jumuiya wanasema hatutakuzika, au hatutakuombea misa kama hizi, yaani wao ni kama wamejipatia mamlaka ya aidh akuingiza mtu mbinguni au kumzuia asiingie, jambo ambalo kwenye Biblia halipo. watu wengi wanashindwa kuokoka wakiogopa hawataombewa, mnapotoka.

Kanisa hili sio lile la mitume, shetani alishaingilia kati akalichuja. ukichukua kanisa la kitabu cha Matendo (ambalo ndilo kanisa la mitume) ukalinganisha na hili la sasaivi, hakuna hata vinavyolingana, siasa na serikali za wafalme wa dunia ziliingilia kati zikaliharibu kabisa. USHAURI WANGU KWENU WAKATOLIKI, nafasi ya uzima Mungu amewapatia, itumieni kwanza kabisa kwa kulikimbia hilo dhehebu, lipo kinyume na Neno la Mungu, pili, mnatakiwa kuokoka, Kitabu cha matendo chote kimeiimba kuokoka, muokoke ili msiende jehanum, dhehebu lenu limewaweka watumwa na mpo kifungoni, hamumuoni Mungu maishani mwenu na bado mnasali hapo, kwa kifungo cha kuzikwa na kuombewa mkifa, mnakataa wokovu na vipawa vyote vya Mungu, mnang'ang'ania dhehebu, Mungu anawaonya mbadilike, mngali na nafasi.

Ufunuo 14:13 inasema, Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao, kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

hapo mwishoni anasema, "matendo yao yafuatana nao", manake, yale uliyoyatenda duniani ndiyo yatakayokuchagulia wapi uende ukifa, motoni au uzimani.

Waebrania 9:27 inasema, Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.

Ndugu zangu, Biblia imeweka wazi, heri wafu wafao katika Bwana maana wataenda na matendo yao, Msipoteze muda kwenda kumuombea magufuli, siku ile anakufa ndio ilikuwa deadline yake hapa duniani ya kutengeneza na Mungu,kama alifanikiwa kutengeneza na Mungu kwa kutubu dhambi, heri yake, ila kama hakutengeneza, alienda na matendo yale yaliyoishia siku ile alipokufa. vivyo hivyo hata ninyi mkifa ndio deadline ya kutengeneza na Mungu. HAKUNA MWANADAMU ATAKAYEKUOMBEA ukifa usamehewe, hayupo, unasamehewa kwa kutubu dhambi, haujatubu unaenda na matendo yenu. hili suala la kuombea wafu ati Mungu awaweke pema, ni la kishetani na lengo ni kutaka watu wabaki katika dhambi wakitegemea kanisa litawasaidia kutubu dhambi wakifa, jambo ambalo ni la uongo na shetani amewakamatia hapo. ukifa unaenda na matendo yako, na baada ya kifo kinachofuata ni hukumu.
Biblia haijaandika kila kitu. Usikremu.
 
Mkuu,

Waache wamuombee mpendwa wao hata kila siku, ni haki yao ya kikatiba na sehemu ya haki zao za kibinadamu.

Vibaya ni kumlazimisha mtu kuomba tu, lakini, kama wanaomba kwa hiyari yao na utashi wao, ni haki yao tu.

Na wewe kama unaona kumuombea sana Magufuli kuliko Nyerere ni kitu kibaya, unaruhusiwa kumuombea Nyerere hata kila siku, hata mara kadhaa kwa siku, ili uwazidi hao wanaomuombea Magufuli.

Tatizo liko wapi?
Hii Imeenda vizuri kweli kweli
 
ASANTE SANA,SASA WASHAURI NA WENZAKO WAACHE KUPOTEZA MUDA,YESU ANAFUFUA WAFU,WAPELEKE MAOMBI YAO KWA ASKOFU GWAJIMA ILI POMBE AFUFULIWE NA KAZI IENDELEE,SAWA??
Inapendeza sana ulivyomkiri Yesu Kristu ndani ya mwezi mtukufu.
 
Huu nao ni uchawi.
Mbona mnafanya Dua na kuchinja nyama mkitoka kusafisha makaburi ile eid nini sijui.
Wakristo hawalalamiki mnapandikiza udini wakati wa raisi mkristo?
 
Raha iloyopo katika threads za JPM katika ya reply 100 ni 10 tu ndio za wahuni wanaompinga mwamba, 90% wanamwaga maua tu.

Sharout kwenu watu wa Mungu wa nguvu.
 
Back
Top Bottom