Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
INTRODUCTION
Ashukuriwe Mhe. Raisi Mama Samia kwa kutuletea hizi ajira zaidi ya 11,000 hakika ameupiga mwingi.

 PROBLEM
Ila Sasa nataka kuongea na kuuliza mabaharia MMEJIANDAAJE NA NDOA/MAPENZI YA BLUETOOTH kati yenu na hao wapenzi wenu?

SCENARIO
Unataka kunielewa?
Twende pamoja....

1. Upo Songea mkeo kapata ualimu Dar.

2. Upo Dodoma mchumba ako kapata post ya ajira ya unesi Mbeya.

3. Upo Sumbawanga, baby kawa mwalimu wa Kiswahili Iringa.

Sasa umejiandaaje?

Unajua huko anakoenda nako kuna wanaume?🤔🤔🤔🤔

CONCLUSION
Nikiwaambia msioe muwe mnaelewa.
Sasa mkeo/mchumba ako anapelekea mzigo wakulungwa ambao kwao ni mzigo mpyaaaa.

Haya bana, Mi waliopangiwa huku halmashauri yangu nawasubiri kuwakarimu kwa kuwapa ushirikiano wapate pakufikia.

Na infact hapa gheto nilikopanga Kuna self 2 double hazina wapangaji.

Mliopata ajira KARIBU KWENYE MATESO YA AJIRA ZA HALMASHAURI.

Anyway....
YANGA BINGWA

#YNWA
 
Haya ndo matatizo ya kudhania kila mtu ana tabia za kimalalamalaya 🤣 🤣 , decent people hawakosekani kwenye jamii yoyote ingawa ni wachache otherwise wote tungekuwa na the same characteristics. Sasa kila wakati mtu akiwaza mapenzi, atafanya kazi kweli?
 
Ila wewe mnokoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu usiwatishe wenzio, wanawake sisi ni waaminifu sanaaa.
Sijui unazungumza manini!

Tena ninyi mkiwa mbali huwa mnakamatwa na nyege uchwara za mchongo! Sijawai ona anayekataa, utamsikia tu aaashhhh, mmm mi nna nnnaaa mmmtuuuuh wwwwuuwaang Sonnnngea, mmmmh! ussssinnnivue kyuppppi channnng, sttakkki

Muda huo mkuyenge umeshaanza kufyonza utamu! Nyie wanawake ni wanafiki sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom