Ugumu wake upo wapi mzeyaKauli ngumu sanaa hii...
#YNWA
Asante kwa kunielewa ndugu mjumbe.Ila we jamaa
Sema una hoja halisi sana. Mapenzi ya mbali ni mtihani sana. Hisia zinaachana
mtu kila siku ana lala na mkewe na anagongewa.
awe mbali awe KARIBU akiamua kugongwa atagongwa tu kikubwa angalia umeoa wapi
Mkiambiwa MSIOEEE, mnajikuta wabishiiiikuchapiwa njenje daaaah
Endelea kujitahidi mama.najitahidi sana ila kiukweli ni changamoto,binadamu kamili anahitaji kutinduliwa angalau mara tatu kwa wiki
Hongereni.Ila wewe mnokoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu usiwatishe wenzio, wanawake sisi ni waaminifu sanaaa.
π³π³π³π³Hizo n changamoto ndogondogo kwenye maisha ya mapenzi
Mie ni mama wa nyumbani.Hongereni.
Ila hebu Anza na kufanya research kazini kwako halafu uje kuandika Tena.
#YNWA
Hawana matatizo kabisa.Anza na majirani zako.
#YNWA