Pre GE2025 Baada ya Hotuba ya Lissu, Mbowe, Dr Azavel naye azungumzia nguvu ya pesa, vigezo vya mgombea

Pre GE2025 Baada ya Hotuba ya Lissu, Mbowe, Dr Azavel naye azungumzia nguvu ya pesa, vigezo vya mgombea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msikilize kwa makini if interestd anyway! Nawakaribisha machawa wote wa FAM na TAL, kuna cha kujifunza kikubwa kuhusu wajumbe kuwa informed who to vote for!

Maridhiano basi, sasa utatumia mbinu gani? vita? Utakinukisha kwa vipi? vita?
msikilize


View: https://www.youtube.com/watch?v=4bFvRvum5Ow


..inaelekea Prof. Lwaitama anaamini Freeman Mbowe anapaswa kuendelea ktk nafasi yake.

..pia Prof amepotosha kuhusu mtizamo wa Lissu katika suala la maridhiano. Na amekwenda mbali kudai kwamba Lissu anataka vita.
 
Maridhiano yaliongozwa na Prof Mkandara na Zitto Kabwe

Chadema waliwahi kufanya maridhiano wakati wa Kikwete na tuliwaona akina Mbowe, Dr Slaa, Tundu Lisu, Prof Baregu nk wakigonga Juice ya kutakuana Afya njema pale Ikulu

Haya anayosema Lisu ilikuwa na Msamaha baada ya Jaji kumkuta Mwenyekiti ana KESI ya kujibu kwenye Tuhuma za ugaidi ambapo Mwenyekiti angetiwa hatiani basi Chadema ingefutwa

Happy New Year 😄
 
..inaelekea Prof. Lwaitama anaamini Freeman Mbowe anapaswa kuendelea ktk nafasi yake.

..pia Prof amepotosha kuhusu mtizamo wa Lissu katika suala la maridhiano. Na amekwenda mbali kudai kwamba Lissu anataka vita.
Naamini yuko kama wengi wetu ambao tulimuamini sana Lissu. Strategy aliyoitumia ndio imetufanya wengi tumuangalie upya. Wapambe wake na matamshi yake ya tangu atangaze nia yamemuharibia sana.

Dr. anampigia debe kabisa Mwenyekiti Mbowe ingawa kuna wakati walisema alikuwa Team Lissu. Kama ilikuwa kweli, kuna kitu kimetokea. Anaemhoji ni Team Lissu.

Amandla...
 
Naamini yuko kama wengi wetu ambao tulimuamini sana Lissu. Strategy aliyoitumia ndio imetufanya wengi tumuangalie upya. Wapambe wake na matamshi yake ya tangu atangaze nia yamemuharibia sana.

Amandla...

..Na yeye Dr.Lwaitama "amejisanua" katika mahojiano hayo.

..matamshi yake kuhusu kinyang'anyiro cha Mwenyekiti wa Chadema yamenifanya nipunguze heshima yangu kwake.

..safari ya Kidemokrasi ktk nchi yetu inawezekana ni ndefu na ngumu kuliko wengi tulivyotarajia.

..sioni kama tutafika popote chini ya uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.
 
..Na yeye Dr.Lwaitama "amejisanua" katika mahojiano hayo.

..matamshi yake kuhusu kinyang'anyiro cha Mwenyekiti wa Chadema yamenifanya nipunguze heshima yangu kwake.

..safari ya Kidemokrasi ktk nchi yetu inawezekana ni ndefu na ngumu kuliko wengi tulivyotarajia.

..sioni kama tutafika popote chini ya uongozi wa Freeman Aikaeli Mbowe.
Ni haki yako kuona hivyo. Kwangu mimi Lissu atakuwa disaster kwa CDM. Lakini hamna aliyekuwa na haki ya kutaka kumzuia mtu kugombea. Uamuzi wa kama anafaa au sio waachiwe wale wenye haki ya kupiga kura. Mashabiki wa Lissu walikosea walipoanzisha kampeni ya kumtaka Mwenyekiti Mbowe asigombee. Na kuendelea kumpiga madongo alipoamua kugombea. Kwangu mimi Lissu kutowakemea (pamoja na rafiki yake Msigwa) ni ishara kubwa ya mapungufu katika character yake.

Amandla...
 
Dr. Amesema mengi ya kufikirisha. Kwa mfano suala la ukomo. Sio sawa kulinganisha uongozi wa chama na wa dola. Hata CCM haina ukomo kwa Mwenyekiti wake. Aidha, lengo kubwa ni kupata the best possible person wa kuwaongoza. Kwa hali hiyo hamna luxury ya kuwazuia wale ambao kwa namna moja au nyingine watawafaa. Hata serikalini, nchi kama Singapore zisingefika walipofika kama wangeamua Lee Kuan Yew. Kingine ni uwezo wa fund raising. Inawezekana kuna watu wengi matajiri wanaiunga mkono CDM kwa siri. Hawa watamchangia wanayemuamini hasa kama mwingine anasema anataka kila kitu kiwe wazi!

Kuna missteps nyingi ambazo Lissu amezifanya.

Amandla...
 
Dr. Amesema mengi ya kufikirisha. Kwa mfano suala la ukomo. Sio sawa kulinganisha uongozi wa chama na wa dola. Hata CCM haina ukomo kwa Mwenyekiti wake. Aidha, lengo kubwa ni kupata the best possible person wa kuwaongoza. Kwa hali hiyo hamna luxury ya kuwazuia wale ambao kwa namna moja au nyingine watawafaa. Hata serikalini, nchi kama Singapore zisingefika walipofika kama wangeamua Lee Kuan Yew. Kingine ni uwezo wa fund raising. Inawezekana kuna watu wengi matajiri wanaiunga mkono CDM kwa siri. Hawa watamchangia wanayemuamini hasa kama mwingine anasema anataka kila kitu kiwe wazi!

Kuna missteps nyingi ambazo Lissu amezifanya.

Amandla...

..kungekuwa na ukomo wa madarakani tungeepusha vurugu na misuguano

..pia wenye nia ya kuwania nafasi wangejiandaa mapema na huenda tungekuwa na kampeni nzuri za hoja.
 
Wanaojiita Team Lisu hawana tofauti na Team WEMA, yani wao kila hoja inayopingana na Lisu wanapinga, kwa sababu kwao wao hoja za Lisu ni kama Msahafu/biblia hawataki akosolewe, aambiwe ukweli.

Team Lisu wanasema Mbowe dikteta, Mwizi, na kila kitakachowajia akilini wakati huo. Hapa wao tayari wamesha hitimisha na wanasema anamtetea Mbowe. Kisa ni kwamba majibu hayakuwapendeza wao. Sasa wameanza kusema Lwaitama ni Team Mbowe.

Hawajali aliongea katika muktadha upi, ana alikuwa anaongea nini na nani.

Lisu ni mwanasheria mzuri, na anaelewa maridhiano ni nini?

Walipoitwa kuyafanya angepitia agenda, na kukishauri chama, yeye ni makamu mwenyekiti wa chama, ni mtu mwenye turufu ya maamuzi.

Na kama alishuri atuletee, alishauri nini kikao gani na wajumbe waliafikiana vipi hadi kukubali kukaa na CCM, na tukaambiwa wameafikiana vitu fulani fulani kwenye maridhiano yao.

Lakini wao ni kupiga kilele, na kukataa kila kitu kilichoamuliwa na chama, unaweza kusema ni wageni chamani, na hawakuwepo kila kitu kilipoamuliwa.

Hawamtaki Mbowe, lakini wasikilize hoja kisha waje na maswali. Hawataki badala yake wao ni kuponda tu.

Lisu tangu amekuwa makamu mwenyekiti, alifanya nini, na alipungukiwa nini kinacho wafanya muamini akiwa mwenyekiti, atatekeleza alichoshindwa kwa sababu ya nafasi yake kuwa makamu mwenyekiti?
 
Wanaojiita Team Lisu hawana tofauti na Team WEMA, yani wao kila hoja inayopingana na Lisu wanapinga, kwa sababu kwao wao hoja za Lisu ni kama Msahafu/biblia hawataki akosolewe, aambiwe ukweli.

Team Lisu wanasema Mbowe dikteta, Mwizi, na kila kitakachowajia akilini wakati huo. Hapa wao tayari wamesha hitimisha na wanasema anamtetea Mbowe. Kisa ni kwamba majibu hayakuwapendeza wao. Sasa wameanza kusema Lwaitama ni Team Mbowe.

Hawajali aliongea katika muktadha upi, ana alikuwa anaongea nini na nani.

Lisu ni mwanasheria mzuri, na anaelewa maridhiano ni nini?

Walipoitwa kuyafanya angepitia agenda, na kukishauri chama, yeye ni makamu mwenyekiti wa chama, ni mtu mwenye turufu ya maamuzi.

Na kama alishuri atuletee, alishauri nini kikao gani na wajumbe waliafikiana vipi hadi kukubali kukaa na CCM, na tukaambiwa wameafikiana vitu fulani fulani kwenye maridhiano yao.

Lakini wao ni kupiga kilele, na kukataa kila kitu kilichoamuliwa na chama, unaweza kusema ni wageni chamani, na hawakuwepo kila kitu kilipoamuliwa.

Hawamtaki Mbowe, lakini wasikilize hoja kisha waje na maswali. Hawataki badala yake wao ni kuponda tu.

Lisu tangu amekuwa makamu mwenyekiti, alifanya nini, na alipungukiwa nini kinacho wafanya muamini akiwa mwenyekiti, atatekeleza alichoshindwa kwa sababu ya nafasi yake kuwa makamu mwenyekiti?

..kuna upotoshaji ktk hoja alizitoa Tundu Lissu.

..anachopinga Lissu ni udanganyifu waliofanyiwa na Ccm wakati wa mazungumzo ya maridhiano.

..hata Mbowe alikuja hadharani na kukiri kwamba Ccm wamekataa mapendekezo ya Chadema hivyo mazungumzo yamevunjika.

..wafuasi wa Mbowe wanamshambulia Lissu kwa jambo ambalo Mwenyekiti, mgombea wao, anakubaliana na msimamo wa Lissu.

..nimeshangaa pia msomi kama Dr.Lwaitama na yeye kuingia katika mkumbo wa kupotosha hoja ya Lissu kuhusu maridhiano.

..kama maridhiano yalifanikiwa kwanini makada wa Chadema wameuwawa, na uchunguzi wa matukio yao haufanyiki?

..kama maridhiano yalifanikiwa, kwanini uchaguzi serikali za mitaa ulivurugwa?
 
..kuna upotoshaji ktk hoja alizitoa Tundu Lissu.

..anachopinga Lissu ni udanganyifu waliofanyiwa na Ccm wakati wa mazungumzo ya maridhiano.

..hata Mbowe alikuja hadharani na kukiri kwamba Ccm wamekataa mapendekezo ya Chadema hivyo mazungumzo yamevunjika.

..wafuasi wa Mbowe wanamshambulia Lissu kwa jambo ambalo Mwenyekiti, mgombea wao, anakubaliana na msimamo wa Lissu.

..nimeshangaa pia msomi kama Dr.Lwaitama na yeye kuingia katika mkumbo wa kupotosha hoja ya Lissu kuhusu maridhiano.

..kama maridhiano yalifanikiwa kwanini makada wa Chadema wameuwawa, na uchunguzi wa matukio yao haufanyiki?

..kama maridhiano yalifanikiwa, kwanini uchaguzi serikali za mitaa ulivurugwa?
Viongozi wote wali wana-yakataa maridhiano baada ya kuwa wameshakaa na kuyakubali, kitu walichosema ni kwamba CCM walikataa kuweka mazungumzo kwenye maandishi, maana yake CCM walikataa mazungumzo yasiwe mkataba wa makubaliano, ingawa wao wote wanakili kuna mambo walikubaliana ingawa hawatuambii ni nini walikubaliana na ni kipi hawakukubaliana.

Kinana aliyekuwa katibu mkuu CCM alisema mazungumzo yalikuwa yanaendelea lakini chadema walijitoa katikati ya mzungumzo.

Wao chadema wakasema ccm ilikataa kuwa committed yani kuyaweka kwenye maandishi na pande zote zinazokubaliana zi sign kama declaration.

CCM haitaki maandishi inataka MAZUNGUMZO bila committment yoyote.

Lakini Lisu na Mbowe ni sehemu ya walioshiriki maridhiano hayo hadi yalipoishia, hayakuwa ya Mbowe peke yake kama tunavyotaka kuaminishwa.

Msingi wa Dr.Lwaitama ni kwamba, mazungumzo yalikuwepo, licha ya kwamba kuna sehemu hayakutekelezeka lakini yalikuwepo, na hayakuwa kati ya Mbowe na ccm, bali ni CDM na CCM.

Na anaendelea kwa kusema, vyama lazima mzungumze mnapokuwa mna hitilafiana, na aka hoji sasa yeye Lisu anaposema hataki mazungumzo, maana yake yeye anataka vita, au atatumia njia gani kukaa na vyama vingine yanapotokea mahitilafiano?

Maanadamano pekee siyo solution ndio maana, Dr,Laitama akasema maridhiano yalikubaliwa na kamati kuu siyo Mbowe, na hayakuwa maridhiano ya Mbowe na CDM,bali CDM na CCM.

Kinachotushangaza Team Lisu wanasema, maridhiano ya Mbowe na CCM yametufikisha wapi?

Yani Lisu anajitoa ufahamu, na kujiona yeye ahusiki, na hata kama hakuhusika, labda tuseme alikuwa mgonjwa.

Lakini yalikuwa ni maamuzi ya kamati kuu, ni chombo cha chama, na siyo Mbowe kama Mbowe.

Kitu ambacho Lisu hataki ku acknowledge.
 
Msikilize kwa makini if interestd anyway! Nawakaribisha machawa wote wa FAM na TAL, kuna cha kujifunza kikubwa kuhusu wajumbe kuwa informed who to vote for!

Maridhiano basi, sasa utatumia mbinu gani? vita? Utakinukisha kwa vipi? vita?
msikilize


Hatuhitaji mtu wa kutuambia cha kufanya, sisi wenyewe tunaona na tunajua nini cha kufanya na nani wa kumchagua.

Baada ya miaka 20 Mbowe haitaji hata kupiga kampeni, tunamjua fika ni mtu wa aina gani na hadi tulipofikia imetosha yeye kubaki stejini.

Hizi propaganda za maridhiano ni useless.
 
..kungekuwa na ukomo wa madarakani tungeepusha vurugu na misuguano

..pia wenye nia ya kuwania nafasi wangejiandaa mapema na huenda tungekuwa na kampeni nzuri za hoja.
Sikubalianai na wewe. Tatizo ni kuwa watu wengi ( pamoja na watu kama Fatuma Karume) wanachanganya uRais na Uenyekiti wa chama cha siasa. Nchi nyingi zina ukomo katika urais lakini sio katika uongozi wa vyama vya siasa. Hapa kwetu hata CCM haina ukomo wa Uenyekiti. Hauwezi kujikata mkono kirahisi hivyo. Kujenga chama kunahitaji perseverance na uwezo wa kujenga kwa wanachama na jamii nzima. Hii si rahisi kuifanya ndani ya term mbili.

Ukomo usingeepusha migogoro kwa sababu ikifika term ya mwisho (lame duck) ya Mwenyekiti vurugu ndio zingeanza za watu wanaowania kurithi hiyo nafasi. Kampeni zingejaa fitna na majungu na hamna ambae angemheshimu anayemaliza muda wake. Na kama ikiwa wazi nani atamrithi watu wataanza kujipendekeza kwake na kupunguza heshima kwa Mwenyekiti anayemaliza muda wake.

Niliwahi kutoa mfano wa kwa nini hautafanya kazi. Tuseme Lissu atakuwa Mwenyekiti na mgombea uchaguzi wa urais mwaka huu. Kama atashindwa ataweza kugombea tena nafasi hizo mwaka 2030, ambapo itakuwa term yake ya mwisho ya Uwenyekiti wake. Akishinda urais mwaka 2030 atakuwa na Mwenyekiti mwingine ambae kwa mfumo wetu atakuwa na nguvu sana juu yake. Mwenyekiti huyo atakuwa na uwezo wa kumtilia fitna ili asichaguliwe kama mgombea katika uchaguzi wa 2035. Na chama kuwa na power centres mbili si afya kwa utendaji wake. Hiyo hali ilikuwepo wakati Mwalimu alikuwa Mwenyekiti na Mwinyi Rais. Ilikuwa shida sana maana wengi walimuona Mwalimu kama ndie mwenye nguvu. CCM wakaiacha na kuunganisha kofia za Uenyekiti na uRais.

Ukomo unaweza kufanya kazi kama Katiba itaruhusu mgombea binafsi na ku-delink nafasi za siasa na uanachama wa chama. Hiyo itakuwa ngumu kukubalika maana vyama vyote vinafaidika na status quo. Wazo la ukomo haliwezi kufanya kazi.

Amandla...
 
Viongozi wote wali yakataa maridhiano baada ya kuwa wameshakaa na kuyakubali, kitu walichosema ni kwamba CCM walikataa kuweka mazungumzo kwenye maandishi, maana yake CCM walikataa mazungumzo yasiwe mkataba wa makubaliano, ingawa wao wote wanakili kuna mambo walikubaliana ingawa hawatuambii ni nini walikubaliana na ni kipi hawakukubaliana.

Kinana aliyekuwa katibu mkuu CCM alisema mazungumzo yalikuwa yanaendelea lakini chadema walijitoa katikati ya mzungumzo.

Wao chadema wakasema ccm ilikataa kuwa committed yani kuyaweka kwenye maandishi na pande zote zinazokubaliana zi sign kama declaration.

CCM haitaki maandishi inataka MAZUNGUMZO bila committment yoyote.

Lakini Lisu na Mbowe ni sehemu ya walioshiriki maridhiano hayo hadi yalipoishia, hayakuwa ya Mbowe peke yake kama tunavyotaka kuaminishwa.

Msingi wa Dr.Lwaitama ni kwamba, mazungumzo yalikuwepo, licha ya kwamba kuna sehemu hayakutekelezeka lakini yalikuwepo, na hayakuwa kati ya Mbowe na ccm, bali ni CDM na CCM.

Na anaendelea kwa kusema, vyama lazima mzungumze mnapokuwa mna hitilafiana, na aka hoji sasa yeye Lisu anaposema hataki mazungumzo, maana yake yeye anataka vita, au atatumia njia gani kukaa na vyama vingine yanapotokea mahitilafiano?

Maanadamano pekee siyo solution ndio maana, Dr,Laitama laisema maridhiano yalikubaliwa na kamati kuu siyo Mbowe, na hayakuwa maridhiano ya Mbowe na CDM,bali CDM na CCM.

Kinachotushangaza Team Lisu wanasema, maridhiano ya Mbowe na CCM yametufikisha wapi?

Yani Lisu anajitoa ufahamu, na kujiona yeye ahusiki, na hata kama hakuhusika, labda tuseme alikuwa mgonjwa.

Lakini yalikuwa ni maamuzi ya kamati kuu, ni chombo cha chama, na siyo Mbowe kama Mbowe.

Kitu ambacho Lisu hataki ku acknowledge.

..mnapotamka neno vita wakati huohuo mkitaja jina la Tundu Lissu mna nia gani? Mnataka kumuua?

..sijawahi kumsikia Lissu akizungumzia vita hata siku moja, kwanini mnaingiza mnaleta hoja za namna hiyo?ta

..Lissu amesisitiza kwamba yeye anataka maridhiano ya kweli, na sio uongo-uongo na kupotezeana muda.

..mimi nadhani baada ya jitihada za awali kufeli, mazungumzo na maridhiano yajayo yawe na MSULUHISHI atakayeyasimamia. Pia kuwe na UWAZI kuhusu ajenga za mazungumzo hayo, na taarifa za kuhusu hatua zilizofikiwa.
 
Lissu hataki maridhiano
1000018172.jpg
 
Sikubalianai na wewe. Tatizo ni kuwa watu wengi ( pamoja na watu kama Fatuma Karume) wanachanganya uRais na Uenyekiti wa chama cha siasa. Nchi nyingi zina ukomo katika urais lakini sio katika uongozi wa vyama vya siasa. Hapa kwetu hata CCM haina ukomo wa Uenyekiti. Hauwezi kujikata mkono kirahisi hivyo. Kujenga chama kunahitaji perseverance na uwezo wa kujenga kwa wanachama na jamii nzima. Hii si rahisi kuifanya ndani ya term mbili.

Ukomo usingeepusha migogoro kwa sababu ikifika term ya mwisho (lame duck) ya Mwenyekiti vurugu ndio zingeanza za watu wanaowania kurithi hiyo nafasi. Kampeni zingejaa fitna na majungu na hamna ambae angemheshimu anayemaliza muda wake. Na kama ikiwa wazi nani atamrithi watu wataanza kujipendekeza kwake na kupunguza heshima kwa Mwenyekiti anayemaliza muda wake.

Niliwahi kutoa mfano wa kwa nini hautafanya kazi. Tuseme Lissu atakuwa Mwenyekiti na mgombea uchaguzi wa urais mwaka huu. Kama atashindwa ataweza kugombea tena nafasi hizo mwaka 2030, ambapo itakuwa term yake ya mwisho ya Uwenyekiti wake. Akishinda urais mwaka 2030 atakuwa na Mwenyekiti mwingine ambae kwa mfumo wetu atakuwa na nguvu sana juu yake. Mwenyekiti huyo atakuwa na uwezo wa kumtilia fitna ili asichaguliwe kama mgombea katika uchaguzi wa 2035. Na chama kuwa na power centres mbili si afya kwa utendaji wake. Hiyo hali ilikuwepo wakati Mwalimu alikuwa Mwenyekiti na Mwinyi Rais. Ilikuwa shida sana maana wengi walimuona Mwalimu kama ndie mwenye nguvu. CCM wakaiacha na kuunganisha kofia za Uenyekiti na uRais.

Ukomo unaweza kufanya kazi kama Katiba itaruhusu mgombea binafsi na ku-delink nafasi za siasa na uanachama wa chama. Hiyo itakuwa ngumu kukubalika maana vyama vyote vinafaidika na status quo. Wazo la ukomo haliwezi kufanya kazi.

Amandla...

..kuchanganya kofia ni kosa linalotugharimu pakubwa hapa Tanzania.

..Afrika Kusini wametenganisha kofia na ndio maana chama kinaweza kuwadhibiti Maraisi wao kila wanapokengeuka
 
..mnapotamka neno vita wakati huohuo mkitaja jina la Tundu Lissu mna nia gani? Mnataka kumuua?

..sijawahi kumsikia Lissu akizungumzia vita hata siku moja, kwanini mnaingiza mnaleta hoja za namna hiyo?ta

..Lissu amesisitiza kwamba yeye anataka maridhiano ya kweli, na sio uongo-uongo na kupotezeana muda.

..mimi nadhani baada ya jitihada za awali kufeli, mazungumzo na maridhiano yajayo yawe na MSULUHISHI atakayeyasimamia. Pia kuwe na UWAZI kuhusu ajenga za mazungumzo hayo, na taarifa za kuhusu hatua zilizofikiwa.
Hahaha sasa unaanza kuoneka Team Lisu kabisa, Mbona unajitoa akili kiasi hicho maudhui umeyaacha umeanza kupuyanga tena, mbona tulikuwa tunaenda vizuri tu? Nyie huwa mkiishiwa mnapuyanga tu.

Maridhiano sio ya Lisu, sema anataka kuona maridhiano yanayotekelezeka kwa pande zote mbili ,CDM na CCM.

Sisi au mimi hatujui/sijui walikuwa wanaridhiana nini, na nini kilikuwa kwenye meza ya maridhiano, hivyo siyo sahihi kusema ni maridhiano ya uongo uongo, na kupotezeana muda.

Lisu ni mtaalamu wa sheria, alipaswa aone ajenda zinazojadiliwa kwenye makubaliano/maridhiano kabla haja kaa kwenye maridhiano hayo.

Na kama kulikuwa na negotiator alikuwa ana wasiliana na pande zote, alipeleka listi ya alichokitaka kijadiliwe au alikwenda na flow halafu sasa anatupia wenzake lawama?

Hakuna nayejua walikuwa wana ridhiana nini, hata hayo yajayo tunaweza tusijue wanaridhiana nini, hawa wanasiasa wanapenda kutufinyangia finyangia taarifa bila kuzinyambua na kututupia kisha sisi ndio tuzinyambue, wakati wao wakiwa high table wanakula kuku.

Maridhiano yaliyo fail hatuyajui ni yapi na wapi yali fail hatuwezi kwenda hivi.

Hayo unayo sema YAJAYO, Watakuja tena kutudanganya hawayajui, licha ya kushiriki.

Maana Lisu anakataa, na anayakana. CCM wanasema chadema walijitoa, CDM wakasema CCM walikataa yasiwe kwenye maandishi, sasa nani mkweli unadhani?

Huku Team Lisu wanatuambia ni maridhiano ya Mbowe.
 
Hahaha sasa unaanza kuoneka Team Lisu kabisa, Mbona unajitoa akili kiasi hicho maudhui umeyaacha umeanza kupuyanga tena, mbona tulikuwa tunaenda vizuri tu? Nyie huwa mkiishiwa manpuyanga tu.

Maridhiano sio ya Lisu, sema anataka kuona maridhiano yanayotekelezeka kwa pande zote mbili ,CDM na CCM.

Sisi au mimi hatujui/sijui walikuwa wanaridhiana nini, na nini kilikuwa kwenye meza ya maridhiano, hivyo siyo sahihi kusema ni maridhiano ya uongo uongo, na kupotezeana muda.

Lisu ni mtaalamu wa sheria, alipaswa aone ajenda zinazojadiliwa kwenye makubaliano/maridhiano kabla haja kaa kwenye maridhiano hayo.

Na kama kulikuwa na negotiator alikuwa ana wasiliana na pande zote, alipeleka listi ya alichokitaka kijadiliwe au alikwenda na flow halafu sasa anatupia wenzake lawama?

Hakuna nayejua walikuwa wana ridhiana nini, hata hayo yajayo tunaweza tusijue wanaridhiana nini, hawa wanasiasa wanapenda kutufinyangia finyangia taarifa bial kuzinyambua na kututupia kisha sisi ndio tuzinyambue, wakati wao wakiwa high table wanakula kuku.

Maridhiano yaliyo fail hatuyajui ni yapi na wapi yali fail hatuwezi kwenda hivi.

Hayo unayo sema YAJAYO, Watakuja tena kutudanganya hawayajui, licha ya kushiriki.

Maana Lisu anakataa, na anayakana. CCM wanasema chadema walijitoa, CDM wakasema CCM walikataa yasiwe kwenye maandishi, sasa nani mkweli unadhani?

Huku Team Lisu wanatuambia ni maridhiano ya Mbowe.

..mimi kwa upande wangu niliona maridhiano yale yalikuwa na walakini kwasababu yalikosa msuluhishi wa kuyasimamia. pamoja na hayo niliwaamini viongozi kwamba wana nia njema, lakini baada ya kuvunjika tumejua kwamba kulikuwa na ulaghai.
 
..mimi kwa upande wangu niliona maridhiano yale yalikuwa na walakini kwasababu yalikosa msuluhishi wa kuyasimamia. pamoja na hayo niliwaamini viongozi kwamba wana nia njema, lakini baada ya kuvunjika tumejua kwamba kulikuwa na ulaghai.
Hatujui chochote, mimi na wewe, tunasikia tu sauti zao wakisema maridhiano, lakini hatujui walikuwa wanaridhiana nini, kwanini kulikuwa na maridhiano, muhutasari ulianzishwa na nani kwa lengo gani, yalisimamiwa au hayakusimamiwa, nani ali mediate vyote hivyo ni siri yao.

Mimi kinachonishangaza kuhusu Team Lisu, ni kusema maridhiano ya Mbowe na CCM, wakati naye alikuwa sehemu ya maridhiano hayo. Na kama hakuwepo yalikuwa ni maamuzi ya chama, siyo Mbowe binafsi.

Hivyo Lisu asitake credit kwa kujitoa, aseme hadaharani tu kwamba maridhiano hayakutekelezwa, hivyo wakati ujao tutajipanga kabla hatujakaa na hao wenzetu mezani.

Asimsingizie Mbowe na kuyaita maridhiano ya Mbowe.
 
Ni haki yako kuona hivyo. Kwangu mimi Lissu atakuwa disaster kwa CDM. Lakini hamna aliyekuwa na haki ya kutaka kumzuia mtu kugombea. Uamuzi wa kama anafaa au sio waachiwe wale wenye haki ya kupiga kura. Mashabiki wa Lissu walikosea walipoanzisha kampeni ya kumtaka Mwenyekiti Mbowe asigombee. Na kuendelea kumpiga madongo alipoamua kugombea. Kwangu mimi Lissu kutowakemea (pamoja na rafiki yake Msigwa) ni ishara kubwa ya mapungufu katika character yake.

Amandla...
Kwa mbowe kubaki chadema kama mwenyekiti madhara yake ni makubwa Sana, muda utasema
 
Back
Top Bottom