Nifah, Please give your views on the issues raised by Lwaitama. Umechukua njia ya ad hominem kujibu hoja zake.Hatuhitaji mtu wa kutuambia cha kufanya, sisi wenyewe tunaona na tunajua nini cha kufanya na nani wa kumchagua.
Baada ya miaka 20 Mbowe haitaji hata kupiga kampeni, tunamjua fika ni mtu wa aina gani na hadi tulipofikia imetosha yeye kubaki stejini.
Hizi propaganda za maridhiano ni useless.
KAMA HUTAKI MARIDHIANO, WHAT ELSE THEN? NGUVU YA UMMA KWA TAZNZANIA BADO, MIMI NA WEWE NA YULE TU WAOGA WA KUFA/RISASINa amekwenda mbali kudai kwamba Lissu anataka vita.
YAPI? YATAJEKwa mbowe kubaki chadema kama mwenyekiti madhara yake ni makubwa Sana, muda utasema
Hivi unaweza kutupatia mabadiliko ya uongozi wa vyama cha conservative na Labour upoje, ili kuhalalisha Mtu akaye miongo miwili au zaidiSikubalianai na wewe. Tatizo ni kuwa watu wengi ( pamoja na watu kama Fatuma Karume) wanachanganya uRais na Uenyekiti wa chama cha siasa. Nchi nyingi zina ukomo katika urais lakini sio katika uongozi wa vyama vya siasa. Hapa kwetu hata CCM haina ukomo wa Uenyekiti. Hauwezi kujikata mkono kirahisi hivyo. Kujenga chama kunahitaji perseverance na uwezo wa kujenga kwa wanachama na jamii nzima. Hii si rahisi kuifanya ndani ya term mbili.
Ukomo usingeepusha migogoro kwa sababu ikifika term ya mwisho (lame duck) ya Mwenyekiti vurugu ndio zingeanza za watu wanaowania kurithi hiyo nafasi. Kampeni zingejaa fitna na majungu na hamna ambae angemheshimu anayemaliza muda wake. Na kama ikiwa wazi nani atamrithi watu wataanza kujipendekeza kwake na kupunguza heshima kwa Mwenyekiti anayemaliza muda wake.
Niliwahi kutoa mfano wa kwa nini hautafanya kazi. Tuseme Lissu atakuwa Mwenyekiti na mgombea uchaguzi wa urais mwaka huu. Kama atashindwa ataweza kugombea tena nafasi hizo mwaka 2030, ambapo itakuwa term yake ya mwisho ya Uwenyekiti wake. Akishinda urais mwaka 2030 atakuwa na Mwenyekiti mwingine ambae kwa mfumo wetu atakuwa na nguvu sana juu yake. Mwenyekiti huyo atakuwa na uwezo wa kumtilia fitna ili asichaguliwe kama mgombea katika uchaguzi wa 2035. Na chama kuwa na power centres mbili si afya kwa utendaji wake. Hiyo hali ilikuwepo wakati Mwalimu alikuwa Mwenyekiti na Mwinyi Rais. Ilikuwa shida sana maana wengi walimuona Mwalimu kama ndie mwenye nguvu. CCM wakaiacha na kuunganisha kofia za Uenyekiti na uRais.
Ukomo unaweza kufanya kazi kama Katiba itaruhusu mgombea binafsi na ku-delink nafasi za siasa na uanachama wa chama. Hiyo itakuwa ngumu kukubalika maana vyama vyote vinafaidika na status quo. Wazo la ukomo haliwezi kufanya kazi.
Amandla...
Huna pointMaridhiano yaliongozwa na Prof Mkandara na Zitto Kabwe
Chadema waliwahi kufanya maridhiano wakati wa Kikwete na tuliwaona akina Mbowe, Dr Slaa, Tundu Lisu, Prof Baregu nk wakigonga Juice ya kutakuana Afya njema pale Ikulu
Haya anayosema Lisu ilikuwa na Msamaha baada ya Jaji kumkuta Mwenyekiti ana KESI ya kujibu kwenye Tuhuma za ugaidi ambapo Mwenyekiti angetiwa hatiani basi Chadema ingefutwa
Happy New Year 😄
Nacho shangaa hadi sasaa ni kua, mbowe hasemi nini atafanya kwa hii miaka mitano ambacho hakuweza fanya kwa miaka 20😳😳😳😳.Hatuhitaji mtu wa kutuambia cha kufanya, sisi wenyewe tunaona na tunajua nini cha kufanya na nani wa kumchagua.
Baada ya miaka 20 Mbowe haitaji hata kupiga kampeni, tunamjua fika ni mtu wa aina gani na hadi tulipofikia imetosha yeye kubaki stejini.
Hizi propaganda za maridhiano ni useless.
Profesa Lwaitama ni moja kati ya wasomi wasio na principles!Kuwa msomi usiyejulikana unaamini nini na unasimamia nini na kwamba you are ready to die on your course hakuna tofauti na kuwa mhuni wa mtaani!Hakuna profesa hapo..kuna upotoshaji ktk hoja alizitoa Tundu Lissu.
..anachopinga Lissu ni udanganyifu waliofanyiwa na Ccm wakati wa mazungumzo ya maridhiano.
..hata Mbowe alikuja hadharani na kukiri kwamba Ccm wamekataa mapendekezo ya Chadema hivyo mazungumzo yamevunjika.
..wafuasi wa Mbowe wanamshambulia Lissu kwa jambo ambalo Mwenyekiti, mgombea wao, anakubaliana na msimamo wa Lissu.
..nimeshangaa pia msomi kama Dr.Lwaitama na yeye kuingia katika mkumbo wa kupotosha hoja ya Lissu kuhusu maridhiano.
..kama maridhiano yalifanikiwa kwanini makada wa Chadema wameuwawa, na uchunguzi wa matukio yao haufanyiki?
..kama maridhiano yalifanikiwa, kwanini uchaguzi serikali za mitaa ulivurugwa?
Neno ulaghai ni kali sana. Lissu anatuambia kuwa Heche alikuwa upande wake na wote tuliona kuwa Heche alihusika kikamilifu. Tunaambiwa ( nadhani hili hata Lissu alilithibitisha) kuwa Kamati Kuu ilikuwa inapewa taarifa kuhusu kila hatua. Tatizo lililotokea ni kuwa baada ya majadiliano kukwama upande wa Lissu ukataka kumtupia lawama zote Mwenyekiti wao. Kwangu mimi hapo ndipo mbegu ya mapinduzi ikapandwa. Hauwezi kusema, with a straight face, kuwa CDM ilipoteza muda wake kwa kuingia katika yale mazungumzo...mimi kwa upande wangu niliona maridhiano yale yalikuwa na walakini kwasababu yalikosa msuluhishi wa kuyasimamia. pamoja na hayo niliwaamini viongozi kwamba wana nia njema, lakini baada ya kuvunjika tumejua kwamba kulikuwa na ulaghai.
Havina ukomo wa kutumukia nafasi ya uongozi wa chama. Tony Blair wa Labour alitumikia kwa zaidi ya miaka 12 ( Charles Attlee alitumikia kwa miaka 20) na Liz Truss wa Conservative kwa siku 50.Hivi unaweza kutupatia mabadiliko ya uongozi wa vyama cha conservative na Labour upoje, ili kuhalalisha Mtu akaye miongo miwili au zaidi
Mwenye nguvu Afrika Kusini ni Rais na sio Mwenyekiti wa Chama. Wanaoweza kumdhibiti Rais ni National Working Committee ya Chama sio Mwenyekiti peke yake. Hawana power centres mbili. Hata Marekani Mwenyekiti wa Chama hana nguvu kama Rais. Kwetu sisi ni tofauti. Mamlaka ya Mwenyekiti wa chama ni makubwa mno...kuchanganya kofia ni kosa linalotugharimu pakubwa hapa Tanzania.
..Afrika Kusini wametenganisha kofia na ndio maana chama kinaweza kuwadhibiti Maraisi wao kila wanapokengeuka
Chadema inaenda kuwa kama NCCR TLP na CUF ya LipumbaKwa mbowe kubaki chadema kama mwenyekiti madhara yake ni makubwa Sana, muda utasema
Wanaojiita Team Lisu hawana tofauti na Team WEMA, yani wao kila hoja inayopingana na Lisu wanapinga, kwa sababu kwao wao hoja za Lisu ni kama Msahafu/biblia hawataki akosolewe, aambiwe ukweli.
Team Lisu wanasema Mbowe dikteta, Mwizi, na kila kitakachowajia akilini wakati huo. Hapa wao tayari wamesha hitimisha na wanasema anamtetea Mbowe. Kisa ni kwamba majibu hayakuwapendeza wao. Sasa wameanza kusema Lwaitama ni Team Mbowe.
Hawajali aliongea katika muktadha upi, ana alikuwa anaongea nini na nani.
Lisu ni mwanasheria mzuri, na anaelewa maridhiano ni nini?
Walipoitwa kuyafanya angepitia agenda, na kukishauri chama, yeye ni makamu mwenyekiti wa chama, ni mtu mwenye turufu ya maamuzi.
Na kama alishuri atuletee, alishauri nini kikao gani na wajumbe waliafikiana vipi hadi kukubali kukaa na CCM, na tukaambiwa wameafikiana vitu fulani fulani kwenye maridhiano yao.
Lakini wao ni kupiga kilele, na kukataa kila kitu kilichoamuliwa na chama, unaweza kusema ni wageni chamani, na hawakuwepo kila kitu kilipoamuliwa.
Hawamtaki Mbowe, lakini wasikilize hoja kisha waje na maswali. Hawataki badala yake wao ni kuponda tu.
Lisu tangu amekuwa makamu mwenyekiti, alifanya nini, na alipungukiwa nini kinacho wafanya muamini akiwa mwenyekiti, atatekeleza alichoshindwa kwa sababu ya nafasi yake kuwa makamu mwenyekiti?
Tangu ajiunge huko muda mrefu tu alikuwa kimya! Leo tu ndiyo afunuliwe kusema haya, kweli au ni bendera fuata upepo?Msikilize kwa makini if interestd anyway! Nawakaribisha machawa wote wa FAM na TAL, kuna cha kujifunza kikubwa kuhusu wajumbe kuwa informed who to vote for!
Maridhiano basi, sasa utatumia mbinu gani? vita? Utakinukisha kwa vipi? vita?
msikilize