Baada ya Kashfa ya Trump, Ulaya kwa kauli moja wamuambia Zelensky your not Alone you never walk alone alipo wapo ulipo tupo simamia nchi yako

Na Ulaya wameshtuka hawana mgao baada ya kutengwa kwenye mazungunzo ya awali kule Saudi Arabia.
Hata hiyo wanayotaka kutoa kwa jina la misaada watakuja kudai. Wameona hawana namna nzuri ya kudai mnofu ulionona bila ya kuongeza misaada.
Ulaya imechoka kiuchumi, angalia chaguzi Kila mara - wananchi wanechafukwa.
 
Nikutoe was was yukreini ya urusi
 
Nadhani utakuwa umekosea ulipo andika urusi unatakiwa uandike USA maana sifa zote ulizoandika zimeendana usa na sio urusi
 
Yani wewe unajua kuliko Trump yani wewe wa kumuonya trump Huna hata ujembe wa nyumba kumi kumi
Hapo mkuu sijajifanya najua kuliko Trump, sema watanzania wengi hatuwezi kureson na kutoa maoni yetu wapi nimekosea mkuu?
 
Hata wakati Marekani na ulaya wanaivamia Iraki mlitoa kauli kama hizi mpaka leo Bush Jr na wenzie wanadunda tu. Kauli hizi huwa hazina maana yoyote zaidi ni kuchukua hatua
Tofautisha uvamisi wa US kwa Iraq kumbuka US alimvamia Iraq ili kulinda masilahi yake na washirika wake. Sasa wewe unahisi Russia akiichukua Ukraine US atakuwa salama?
 
Lakin kama ukrain iilkuwa moja ya constituent za ussr hapo urusi ana haki kwa % flan. Ila huyo trumpet kamfanyia umafia zele asee.
 
Falitilia mkataba wa BUDAPEST KAMA UNATAKA KUJUA UNGESE WA PUTIN

 
Una point makini
 
Easier said than done, bila US they can't manage Russia. Militarily Russia is by far stronger than the whole of Europe combined, na kwa sasa Ukraine watapelekewa moto yaani nao inawabidi wajipange kitofauti.
 
Wewe kutoka Igunga unajua mifumo ya dunia lakini Trump Rais wa dunia haijui Hongera.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti mlugaluga huyo anaijua dunia zaidi ya Trump mtu ambaye alishakuwa rais wa Marekani yaani literally ameshawahi kuiongoza dunia kwa miaka minne na ana-control Oval office ambayo inaiburuza dunia plus advisers waliomzunguka na wanaomjulisha kila yale ya muhimu yanayoendelea around the globe. That shit is crazy frfr.
 
Hivi Ukraine aliichokoza vipi Urusi?
Kwa kivunja makubaliano kwamba hakutakuwa na expansion ya NATO at Russia's doorstep. Ila sababu ambayo Russia haiisemi sana ni ile ya mistreatment ya ethnic Russians(Russian speaking Ukrainians) iliyokuwa ikifanywa na utawala wa Zelenskyy mpaka kupelekea wao kupiga kura ya kutaka kujitenga kujiunga na Russia.
 
Acha propaganda za kitoto.
 
Zelensky ameishashindwa vita na Nchi imeshamegwa hao EU ni maboya waliomlaghai Zelensky na magobole ya misaada aibu inawakumba🤣🤣 lazima wajitoe kimasomaso sasa hivi Hangary anawacheka tu hao EU kwa kuangukia pua
Dogo lini imetangazwa vita imeisha na Ukraine imeshindwa?
 
Huo mkataba ulikuwa na masharti yapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…