Baada ya kauli ya Mzee Kikwete ningekuwa Mbunge wa Mbeya ningefanya haya

......umesahau uchawi. mijitu ya mbeya michawi sana. hata ukimkuta mtu ana biashara ya mtaji wa sh laki nane, utaambiwa aliua ndugu yake au alifanya hiki au kile.
 
Sikuiz tunaelekea kwenye nyuklia sayansi
Yanahitajika maeneo makubwa
 
Master plan yao iko huko
But wakizungua maeneo yapo nchi hii ina maeneo mengi
 
Mbeya wanajiona, wanajikweza , hawatak kutoa eneo , hawawezi kuwafikia watu wa kilimanjaro, hawependi maendeleo ya wengine naona umakaririshwa tu , Ni non sense tupu
Hapo watakuwa wajinga sababu chuo ni kwa faida ya uchumi wa mkoa wao
 
Ainisha hizo hekta 500 mnataka kuzifanyia nini, siyo kujiropokea tu kama walevi wa chimpumu.....
Heka 500 ni Chache nina mashamba zaidi ya hekari izo kwa chuo barabara majengo ni eneo la kawaida
Kutoka krampus moja had nyingine ni trip like University of dodoma nazan unaona kinavyo contribute uchumi wa watu wa Dodoma so watu wa Mbeya changamkenibmkishindwa sisi Tabora tunakitaka
 
Yeye anaongelea Mbeya Jiji wewe unasema mambo ya kulisha mikoa. Kwani huko Soweto na Mafiat mnalima
Ndio maana nikamwambia na sasa nakwambia wewe kua mlifika mbeya kwa wiki na mkasepa.

Jiji la mbeya linaanzia wapi na kuishi wapi?? Ukijua jiulize uyole ni mbeya ama si mbeya?? Sido ni mbeya ama si mbeya?? Na huko kote shughuli za kilimo zipo ama hazipo??

Au umekalili kua kilimo ni mashamba makubwa tu, hayo maeneo kuna mashine kibao za kuchakata mpunga kua mchele . Ni sawa na kusema dsm kumeendelea bila kuvitaja viwanda vilivyopo.

Mji si maghorofa tu ndgu yangu ohooo, kalagabaho.
 
Waache waendelee kulala washamba hawa!

Kama hawajajifunza kuchangamkia fursa na kupenda kuishi vizuri watakuja kuwa wa mwisho kwa maendeleo hapa Tanzania!
 
Kwa nini wasibomoe wajenge nyumba Nzuri na za kisasa!

Acha kutetea ujinga! Watu wa Mbeya badilikeni mtaendelea kuwa nyuma kila siku kwa u shamba wenu
 
mwaka 2001 nilikodi nyumba kwa mzee Mwakalibile kwa Tshs 2500 pale mbalizi ngoja niishie hapo.
 
We kenge Mbona umetutukana hivyo tumekukosea nn?
 
Kazi ushirikina, majungu na kutopenda maendeleo ya wengine! Hawana Tofauti na watu wa Kagera

Ndo mana hawawezi wafikia watu wa Kilimanjaro hata siku moja! Kilimanjaro wao priority ni maendeleo
Mkuu we una tofauti gani na hao watu wa mbeya?
 
Ukifika Chato utaona Chato imepangiliwa, imejengwa na iko vizuri. Ila watu wa chato hawana mbwembwe!

Ukifika Mbeya ukilinganisha na mbwembwe zao unaweza wapiga vibao
Utasikia ndaga fijo poti...
 
Mtoa mada itakua ulitoswa na binti wa kinyaki anayeishi sinde, ivyo kwa kua misele yako ilikua inaishia sinde ndio unakuja na kebehi. Mitaa ya uswahilini uwa haikosi mahali popote mzee. Wakati mwingine jifunze kuwa mstaarabu kwenye kutoa hoja zako.
 

Umeshahau Jambo Moja Mbeya Ndiyo Ngome Kuu Ya Upinzani[emoji3577]
 
Kwa hiyo hali ya hewa na chakula bei chee ndio maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…