Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
- Thread starter
- #21
Cha kushangaza hata Pascal Mayalla naye aliingia mkenge kwenye hili.Lukas Mwashambwa yupo ?
Mzee mwenzangu huyu amekuwa akishauriwa sana kuwa baada ya kuwa Wakili (noble professional) hayo mambo ya uchawa ndani ya CCM ayaache, but it's very unfortunate kaamua kuweka nta masikioni [emoji24][emoji24]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app