mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu pekee angeweza kumsaidia huyu Mama ni Bashiru tuWana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
watachenji gia angani hao hawanaga aibuWapambe wanasifia hadi boss kachukia [emoji23]
haaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeona Kigwa kapiga U turn kasema hata Yeye hapendi Kusifia wala kusifiwa!
Yuko wapi Kigwa mzee wa kutoa kafara wanawe ili awe waziri.Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Ndiyo maana nilimwambia Lucas Mwashambwa kuwa huku kujipendekeza kwake kwa Rais ajue mwenyewe Rais hapendi miyeyusho hiyo na anamdharau sana kwa upuuzi huu.Wapambe wanasifia hadi boss kachukia 😂
Aisee...Bora amewambia ukweli....Maana utakuta Waziri amesimama anasema Mama ametupa pesa sijui bilioni ngapi kwa ajili ya mradi gani sijui......Sasa hapo huwa nashangaa; hizo ni pesa za Mama au ni pesa za serikali ambazo ni zetu wote?? Maana wote tumelipa kodi; na hata kama ni mkopo, basi tutalipa Wa-Tanzania wote. Angalau basi wangesema serikali chini ya usimamizi wa Mama imetoa pesa kiasi fulani.....hiyo ingekuwa sawa.Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Tuliwaambia kimya cha huyo mama juu ya sifa wanazomrushia kina mshindo mkuu wakatushambulia weeee mpaka basi sasa bora amewaambiaAkizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Nakwambia kesho akatokea kiongozi mwingine aina ya bashiru akazungumza na wafanyakazi! Kuwakumbusha kuwa TUCTA sio chama cha kumtetea mwajiri Bali kudai maslahi Bora ya wafanyakazi utaona Kila Aina ya panya watakavuojitokeza na hii huwa inafanywa na vijana wa uvccm ambao hawapo hata katika kada husika!Na Mh Rais asiishie kupinga hizi sifa za geresha za kumvisha kilemba cha ukoka ajiulize yale mabango ya wakulima ni kweli ni utashi wao au ni ya wanasiasa walio wawezesha ili kuficha mapungufu ya kiutendaji katika ugawaji wa mbolea. Je ni kweli mbolea inawafikia wakulima kwa uhakika au mabango na sifa vinatumika kumficha Mh Rais mapungufu yaliyoko katika utendaji.
Tatizo lao hawana kumbukumbu mama alishawaonya Sana kuhusu kuacha uchawa tatizo ni mazuzu yasiyojielewa na ndio mana vichwa vyao havitunzi kumbukumbu hili nalo watasahauTuliwaambia kimya cha huyo mama juu ya sifa wanazomrushia kina mshindo mkuu wakatushambulia weeee mpaka basi sasa bora amewaambia
Aliwahi kuwaambia KM wao juu ya madhara ya tabia hiyoNakwambia kesho akatokea kiongozi mwingine aina ya bashiru akazungumza na wafanyakazi! Kuwakumbusha kuwa TUCTA sio chama cha kumtetea mwajiri Bali kudai maslahi Bora ya wafanyakazi utaona Kila Aina ya panya watakavuojitokeza na hii huwa inafanywa na vijana wa uvccm ambao hawapo hata katika kada husika!
Mark my words