Cha kushangaza hata Pascal Mayalla naye aliingia mkenge kwenye hili.Lukas Mwashambwa yupo ?
Wewe Muhaya wa wapi umeshindwa kumwelewa msomi mwamba Bashiru?🤣Bashiru amezoea siasa za unafiki alizokuwa anazifanya katika chama Cha CUF ambacho ni chama mshirika na Ccm
Kigwangalla hajitambui. Njaa ikimuuma tu anapoteza uelekeo.Nimeona Kigwa kapiga U turn kasema hata Yeye hapendi Kusifia wala kusifiwa!
Pascal Mayalla kijana wangu sikia huu ujumbe😂Cha kushangaza hata Pascal Mayalla naye aliingia mkenge kwenye hili.
Mzee mwenzangu huyu amekuwa akishauriwa sana kuwa baada ya kuwa Wakili (noble professional) hayo mambo ya uchawa ndani ya CCM ayaache, but it's very unfortunate kaamua kuweka nta masikioni [emoji24][emoji24]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kigwa anapenda Siasa nyepesi kama za akina Msukuma na Kibajaj lakini haziweziKigwangalla hajitambui. Njaa ikimuuma tu anapoteza uelekeo.
Hana dira hajui alekee wapi wala asimamie itikadi gani.
Hana falsafa yoyote katika maisha yake binafsi na yale ya kisiasa.
Nawakubali Bashe na Makamba japo wanafeli kwenye wizara zao kwa sasa lakini unaona wana misimamo na itikadi flani wanaziamini katika utendaji wao.
Wanaccm kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Ngoja niamini kuwa kauli hii ya Rais Samia ameitoa kwa dhati kabisa ya moyo wakeWanaccm kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Hebu ishushe hii mzee.Nimeona Kigwa kapiga U turn kasema hata Yeye hapendi Kusifia wala kusifiwa!
Haha mnafiki sana KigwaNimeona Kigwa kapiga U turn kasema hata Yeye hapendi Kusifia wala kusifiwa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Kilichomkuta huyu ni kama kaangusha taulo mbele ya mkwe na badala ya kuchutama yeye kabong'oa kuokota taulo [emoji24][emoji24]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
kwa kweli bora amewanaga,hao machawa walikuwa wanakera sana na hali hii imezidi sana awamu hii.Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Mkuu nafuu nawe mkumbushe maana nilimshauri sikumoja kanishuhua eti mie huku JF sijaota hata magego......Pascal Mayalla kijana wangu sikia huu ujumbe😂
Ngoja nimtag asomeLukas Mwashambwa yupo?
Atake asitake anaupiga "MWINGI", kuupiga mwingi sio NSAHAFU wala BIBLIA , ankataa? ankataa kitugani huyoo?, ALAZIMISHWE ati, ALAZIMISHWE ati...., tena ipelekwe sheria Bungeni, neno kuupiga MWINGI liwe ni SHERIA.. (Chini ya loud speaker Ndugai)Kuisifia serikali ni bora zaidi kwa mustakabali wa chama chai kuliko kumsifia mtu mmoja kua anaupiga mwingi.
Mwisho wa siku huku chini kunakua hamna uwajibikaji kabisa, ukimsifia mkuu anakulinda.
Kama mama kaamua hivyo ni vyema sana, keshaona wanafki wengi mno na wanamzunguka sana kwa sifa za kijinga.
Wewe nawe akili yako haina akili. Anahusikaje hapo sasa!!Naona kampiga jungu mwendazake kiaina
Kigwangwala Kibajaji na MACHAWA wenzeni SURA zimewashuka MAMA HATAKI Ujinga wenu wa KUMSIFIAWana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Unayemsema alikataa hadharani na Kessy na Nkamia pamoja na huo ujuha wao hata bungeni hawakurudi tenaAtake asitake anaupiga "MWINGI", kuupiga mwingi sio NSAHAFU wala BIBLIA , ankataa? ankataa kitugani huyoo?, ALAZIMISHWE ati, ALAZIMISHWE ati...., tena ipelekwe sheria Bungeni, neno kuupiga MWINGI liwe ni SHERIA.. (Chini ya loud speaker Ndugai)