Fifteen
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 512
- 594
Ameona sura za wabeba mabango akajua n unafiki tuWapambe wanasifia sana hadi boss kachukia 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameona sura za wabeba mabango akajua n unafiki tuWapambe wanasifia sana hadi boss kachukia 😂
Haswaaa. !!!Ameona sura za wabeba mabango akajua n unafiki tu
CCM hawanaga Aibu MpwaWana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Je!Bashiru amezoea siasa za unafiki alizokuwa anazifanya katika chama cha CUF ambacho ni chama mshirika na CCM.
Lucas mwashambwa amejificha chini ya soli.Lukas Mwashambwa yupo?
Kumbe tunanabadili kauli mbiu ,kishindo Cha MamaSerikali yake inafanya majukumu ya kiserikali ya kawaida, sasa ukisema Samia anaupiga mwingi ndio hapo wengine wanajiuliza kipi cha ziada anachofanya Samia chenye kufanya mseme anaupiga mwingi?
Wa kuwaletea Maendeleo Watzn ukiwemo weweRais kama rais anaupiga mwingi upi?
Ujumbe wenu huu hapa 👇Lucas mwashambwa na The Sunk Cost Fallacy 2 mmesikia, mama kashtuka huko, mnamjaza tu. Acheni shobo
Ukiwa na Akili nzuri utawagundua wanaojaribu kukuvisha kilemba cha ukoka !! Ili tu wao wapate wakitakacho !! Inasemekana watu wanaoishi visiwani wana Akili nyingi kwa sababu ya kula sana Samaki tangu wakiwa wadogo !! Huo ni utafiti wa kisayansi sio utafiti wangu wajameni 😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kilichomkuta huyu ni kama kaangusha taulo mbele ya mkwe na badala ya kuchutama yeye kabong'oa kuokota taulo [emoji24][emoji24]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ni kweli maana vitani rafiki naye aweza kuwa adui, na kwa sasa mapambano ndo tayari yameshaanza rasmi japo haijawa ana kwa ana ..bado risasi ni za mbali kwa mbali, tunasubiri za karibu karibu za mguu wa kukuWanasemaga wasiwasi ni Akili !! Kukaa chonjo ni muhimu. !!
😂😂😂Halafu hawa jamaa wasivyo aibu, usije kuta wakaandamana kupongeza hiyo hotuba [emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kishindo cha nini?Kumbe tunanabadili kauli mbiu ,kishindo Cha Mama
Ccm wenyewe kwenye kampeni 2015 walitumia njia ya kumtangaza sana Magufuli kama Magufuli kuliko chama.Hii tabia ya kusifia viongozi sifa za kijinga ni baada ya CCM kupoteza ushawishi kwa umma. Hizi sifa za kipropaganda ni kuhadaa umma kwa viongozi wa CCM wanakubalika, na pia ni sehemu ya kusaka vyeo. Tabia hii ilikita mizizi kwenye awamu ya tano kipindi cha yule baba wa uongo.
tumemkanya mara nyingi apunguze mapambio na atafute namna nyingine itakayomuwezesha kupata uteuzi hasikiiiLukas Mwashambwa yupo?
Ugali unaliwa na mboga na mboga rahisi watu hali ya chini ni mboga za majani, na kuhusu ngano ni ngumu kuiepuka kuto kula.Watu wenye akili wengi ni wale wanaokula matunda, mbogamboga na ngano. Mtu anayekula ugali, automatically anakuwa mjinga.
Sasa Tanzania ina maendeleo gani kiwango cha kusema Samia kaupiga mwingi?Wa kuwaletea Maendeleo Watzn ukiwemo wewe