Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
kama mama kasema hivyo, basi kweli anaupiga mwingi..anazidi kukua kisiasa kwa kasi ya 5G.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well SaidNa Mh Rais asiishie kupinga hizi sifa za geresha za kumvisha kilemba cha ukoka ajiulize yale mabango ya wakulima ni kweli ni utashi wao au ni ya wanasiasa walio wawezesha ili kuficha mapungufu ya kiutendaji katika ugawaji wa mbolea. Je ni kweli mbolea inawafikia wakulima kwa uhakika au mabango na sifa vinatumika kumficha Mh Rais mapungufu yaliyoko katika utendaji.
Umenena vyema !Ila kwa ucha Mungu wa mama Samia sometimes nafikiri hapendezwi na sifa ambazo zinaweza kumchonganisha na Mungu! Hata JPM kilikuwa kilema na mbengu mbaya kwake!
Mwl Nyerere alisifiwa mno binafsi sababu serikali ilikuwa changa sana na hapo lazima kujenga umoja kupitia kiongozi wenu kama dira. Sasa zama zetu hizi bado tunaishi na upepo ule ule? Tunapaswa kujengwa kulipenda Taifa sio mtu!
Hakika !Well Said
Ndugu yangu kolola hao hawakosekani katika jamiiChakaza unaliona punguani hili? Unafiki wa Bashiru upo wapi? Badala ya kusema Bashiri si mnafiki anapuyanga ati ni mnafiki
Wanasemaga wasiwasi ni Akili !! Kukaa chonjo ni muhimu. !!Kashtuka na kagundua Bashiru si wa kisport sport, yahitaji umakini kumwendea Bashiru. Japo najua kaisema kinafiki naamini moyoni kakwazika sana na Bashiru, yafaa Bashiru akae chonjo
Hadi maza kastuka kaona waziwazi anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.Wapambe wanasifia sana hadi boss kachukia 😂
Amechoka kila wilaya akienda anakutana na vijana wa uvccm wameprint bango linajirudia sana “maza anaupiga”Hadi maza kastuka kaona waziwazi anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
Lucas Mwashambwa atakufa njaa sasa kibarua kimeingia nuksiAmechoka kila wilaya akienda anakutana na vijana wa uvccm wameprint bango linajirudia sana “maza anaupiga”
Nimecheka uliposema chama mdhirika nikajua umesema chama kishirikinaBashiru amezoea siasa za unafiki alizokuwa anazifanya katika chama cha CUF ambacho ni chama mshirika na CCM.
Kweli kabisa !!Amechoka kila wilaya akienda anakutana na vijana wa uvccm wameprint bango linajirudia sana “maza anaupiga”
Huyu dogo atafute kibarua kingine amsimfie hata geo davie na achore tatoo yake tumboni ataitwa church kupata bahasha yake ya kaki.Lucas Mwashambwa atakufa njaa sasa kibarua kimeingia nuksi
Shida ilianzia kwa jpm ambaye alianzisha mpaka kipindi TBC Cha eti kishindo Cha jpm. Yule baba alikuwa anapenda masifa Sana yasiyomstahili kabisa na mwasisi wake alikuwa Dr Bashiru.Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Kama mtangulizi wako alikosea sana haina maana na wewe ni halali kipitia njia zile zile !Shida ilianzia kwa jpm ambaye alianzisha mpaka kipindi TBC Cha eti kishindo Cha jpm. Yule baba alikuwa anapenda masifa Sana yasiyomstahili kabisa na mwasisi wake alikuwa Dr Bashiru.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.[emoji23]Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.
Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.
Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.
Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Sijui ataandika nn saiz huyu mpuliza filimbi.Lucas mwashambwa pita na hapa kwenye huu Uzi.
Nakwambia kesho akatokea kiongozi mwingine aina ya bashiru akazungumza na wafanyakazi! Kuwakumbusha kuwa TUCTA sio chama cha kumtetea mwajiri Bali kudai maslahi Bora ya wafanyakazi utaona Kila Aina ya panya watakavuojitokeza na hii huwa inafanywa na vijana wa uvccm ambao hawapo hata katika kada husika!
Mark my words