Baada ya Kauli ya Rais Samia, Waliomtukana Dkt. Bashiru wamuombe radhi

Baada ya Kauli ya Rais Samia, Waliomtukana Dkt. Bashiru wamuombe radhi

Attachments

  • Screenshot_20221128-123849.png
    Screenshot_20221128-123849.png
    194.3 KB · Views: 3
Kigwangalla hajitambui. Njaa ikimuuma tu anapoteza uelekeo.
Hana dira hajui alekee wapi wala asimamie itikadi gani.
Hana falsafa yoyote katika maisha yake binafsi na yale ya kisiasa.

Nawakubali Bashe na Makamba japo wanafeli kwenye wizara zao kwa sasa lakini unaona wana misimamo na itikadi flani wanaziamini katika utendaji wao.
Makamba ana msimamo na itikadi gani?
 
Mimi siwezi kumsifia mtu anae timiza majukumu yake
Utamsifu yupi kwahiyo? Asiyetimiza wajibu wake au?

Kusifu na kupongeza au kushukuru kwa atimizaye wajibu wake sio shida, Shida ipo wenye Kujipendekeza kwa kusifu nje ya mipaka ya staha za kawaida, kusifu kimahaba au kimihemko.
 
Ni kweli maana vitani rafiki naye aweza kuwa adui, na kwa sasa mapambano ndo tayari yameshaanza rasmi japo haijawa ana kwa ana ..bado risasi ni za mbali kwa mbali, tunasubiri za karibu karibu za mguu wa kuku
Duh. !!
 
Halafu hawa jamaa wasivyo aibu, usije kuta wakaandamana kupongeza hiyo hotuba [emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kama haya hapa 👇
Sasa hapo ni maendeleo gani aliyoleta Samia? Si huduma tu ya maji kurudi nayo ni jambo la ajabu lenye kumuhusu rais?
kama kurejeshwa huduma ya maji kwa Dar tu tena ni huduma ambayo ilikuwepo ni jambo kubwa kabisa ambalo rais amelifanya basi hadi kuja kuondokana na shida ya maji kabisa kwa nchi nzima itakuwa ni mwisho wa dunia umekaribia.
 
Sasa hapo ni maendeleo gani aliyoleta Samia? Si huduma tu ya maji kurudi nayo ni jambo la ajabu lenye kumuhusu rais?
kama kurejeshwa huduma ya maji kwa Dar tu tena ni huduma ambayo ilikuwepo ni jambo kubwa kabisa ambalo rais amelifanya basi hadi kuja kuondokana na shida ya maji kabisa kwa nchi nzima itakuwa ni mwisho wa dunia umekaribia.
Huduma tuu ya maji inajileta yenyewe si ndio?

Ni upumbavu kutomsifia Kiongozi kisa eti Ni wajibu wake..Mwanao akifanya vizuri humongezi? Timu zikifanya vyema hupongezi? Acha usiwapongeze maana wote wanatimiza wajibu wao.

Acheni utoto,tunaachaje kumpongeza Rais kwa kazi nzuri Kama hii hapa? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221127-141429.png
    Screenshot_20221127-141429.png
    114.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221129-090614.png
    Screenshot_20221129-090614.png
    177.6 KB · Views: 3
Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.

Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.

Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.

Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Samia anaweza kua hatari zaid ya JPM
 
Huduma tuu ya maji inajileta yenyewe si ndio?

Ni upumbavu kutomsifia Kiongozi kisa eti Ni wajibu wake..Mwanao akifanya vizuri humongezi? Timu zikifanya vyema hupongezi? Acha usiwapongeze maana wote wanatimiza wajibu wao.

Acheni utoto,tunaachaje kumpongeza Rais kwa kazi nzuri Kama hii hapa? 👇
Mkuu tunatoa kodi na serikali tumeiweka hapo ili kufanya hayo mambo ndio majukumu yake, mimi sipingi kutoa pongezi kwa jambo ambalo unaona wahusika wanastahili pongezi. Mfano hata kwenye familia baba kuitunza familia ni wajibu wake wa msingi kabisa akifanya hivyo anakuwa anatimiza tu wajibu wake wa kawaida na asipofanya anakuwa anakiuka wajibu wake lakini yapo mazingira ambayo baba anaweza kupongezwa kwa hilo hilo jukumu lake la kutunza familia kama atafanya hivyo kwa juhudi au katika mazingira magumu ila bado akaendelea kuitunza familia n.k hapo anaweza kupongezwa.

Sasa wewe ukisikia tu serikali imejenga zahanati sehemu ambayo kulikuwa hakuna huduma ya afya teyari unajaza mipongezi, sasa hapo mkuu unapongeza nini si utakuwa unapongeza kila kitu kana kwamba serikali imefanya jambo la hisani tu?
 
Mkuu tunatoa kodi na serikali tumeiweka hapo ili kufanya hayo mambo ndio majukumu yake, mimi sipingi kutoa pongezi kwa jambo ambalo unaona wahusika wanastahili pongezi. Mfano hata kwenye familia baba kuitunza familia ni wajibu wake wa msingi kabisa akifanya hivyo anakuwa anatimiza tu wajibu wake wa kawaida na asipofanya anakuwa anakiuka wajibu wake lakini yapo mazingira ambayo baba anaweza kupongezwa kwa hilo hilo jukumu lake la kutunza familia kama atafanya hivyo kwa juhudi au katika mazingira magumu ila bado akaendelea kuitunza familia n.k hapo anaweza kupongezwa.

Sasa wewe ukisikia tu serikali imejenga zahanati sehemu ambayo kulikuwa hakuna huduma ya afya teyari unajaza mipongezi, sasa hapo mkuu unapongeza nini si utakuwa unapongeza kila kitu kana kwamba serikali imefanya jambo la hisani tu?
Ulitaka nisipongeze nifanyaje labda?
 
Ulitaka nisipongeze nifanyaje labda?
Sikupangii maisha kama umeamua mwenyewe kupongeza kwa kila jambo ni uamuzi wako hauvunji sheria, mimi nimeeleza tu maana halisi ya kustahili kupongezwa au mtazamo tofauti na wako kwenye hilo suala la kusifia serikali.
 
Kwanini wasubiri kauli ya rais ili kuomba radhi? Je rais angewaunga mkono ndiyo kusema kuwa ingehalalisha na kuwafanya wawe sawa? Hayo ni maoni ya rais wala hayana uhusiano na uhalali wa kauli ya Bashiru.
 
R
Wana-CCM kindakindaki na machawa ambao mlijikita katika kumshambulia Dkt. Bashiru kwa kauli yake kwa Taasisi ya Wakulima juu kumsifia sifia Rais badala ya kutimiza malengo yao ya kutetea wakulima wamepigwa stop.

Akizungumza katika kufungua mkutano wa UWT Rais aliwaonya na kukataa mabango ya "TUNAKWENDA NA SAMIA" au "SAMIA ANAUPIGA MWINGI" na kusema sifa ni za Serikali sio mtu na waache mara moja.

Hii maana yake aliyosema Bashiru yalikuwa sahihi.

Je, hii aibu wanaibebaje hao wanafiki? Yuko wapi Lusinde au Msukuma waliomshambulia Bashiru? Yuko wapi Amos Makalla na wengine? AIBU KUBWA na walipaswa kusimama na kumuomba radhi Dkt. Bashiru.
Sisi wazalendo hatutaacha kusema mazuri yanayofanywa na Serikali ya
Rais Samia Suluhu
 
Kwanini wasubiri kauli ya rais ili kuomba radhi? Je rais angewaunga mkono ndiyo kusema kuwa ingehalalisha na kuwafanya wawe sawa? Hayo ni maoni ya rais wala hayana uhusiano na uhalali wa kauli ya Bashiru.
Unaakili sana aisee
 
Back
Top Bottom