Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wa Mtaka ni miaka 38, wakati Makamu wa rais anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 40. Hivyo vigezo na masharti vinamuondoa mara moja.RC wa Simiyu mhe.Mtaka anapendeza kuwa VP.
Unasema yule Kalamagi wa kwenye sakata la kutembea na mihuri mfukoni mpaka kuuza mgodi wa Buzwagi akiwa hotelini kule Ulaya.Binafsi namkubli sana Kalamagi yule wa Nishati kwani anakasi ya kiutendaji na hana longo longo
Kama kawaida, mzee wa Msoga na mazingaombwe yake. Yeye ni mfitini mzuri, lazima atakuja na majina yake mfukoni. Safari hii usishangae jina la Ridhwani Kikwete, Mama Salma Kikwete, January Makamba yakawepo kwenye orodha yake.Wakati wa wapiga RAMLI huu!!! Kikwete atakwenda na majina yake tena si amezoea!!
Mm namwona Emmanuel ktk hii nafasiVP Ni Bw. Emmanuel Nchimbi.
Bwana fulani keshasema tayari
Kama kawaida, mzee wa Msoga na mazingaombwe yake. Yeye ni mfitini mzuri, lazima atakuja na majina yake mfukoni. Safari hii usishangae jina la Ridhwani Kikwete, Mama Salma Kikwete, January Makamba yakawepo kwenye orodha yake.
Yule dingi ni tapeli fulani hivi wa kiswahili.
Taratibu za nchi ni kuwa makamo wa nchi lazima atokee kwenye chama tawala.Mama yetu tunakusihi, umpendekeze mwanamke atakayekusaidia katika kazi za Urais. Kufanya hivyo utaiheshimisha Tanzania na pia utaepuka makundi ya wanamtandao.Chukua toka seta binafsi ili upate msaidizi mtendaji asiye mwanasiasa. Tunahitaji kumaliza miradi ya kimkakati mapema na kuanzisha mpya. Hawa wanasiasa ukiwateua watendeleza siasa za kutafuta Urais 2030 na watatuchelewesha Tunakuamini mama yetu
Huyu hajitambui, katiba inaelezea vizuri kabisa.taratibu za nchi ni kuwa makamo wa nchi lazima atokee kwenye chama tawala.
chama ndio kitampa majina.
sijui chagua sekta binafs.. sijui nn.. hmna hiyo.
Andiko lako Lina Jambo muhimu but pia wapo wanaume wasiokua wanasiasa na watendaji wazuri, tz ina watu mil 50 so tutakosaje kwa mfano mpaka ateuliwe mwanamke,Mama yetu tunakusihi, umpendekeze mwanamke atakayekusaidia katika kazi za Urais. Kufanya hivyo utaiheshimisha Tanzania na pia utaepuka makundi ya wanamtandao.Chukua toka seta binafsi ili upate msaidizi mtendaji asiye mwanasiasa. Tunahitaji kumaliza miradi ya kimkakati mapema na kuanzisha mpya. Hawa wanasiasa ukiwateua watendeleza siasa za kutafuta Urais 2030 na watatuchelewesha Tunakuamini mama yetu
Anajitambua ila tu hakuwa na uelewa juu ya jambo husikaHuyu hajitambui, katiba inaelezea vizuri kabisa.
Ungesema unahitaji namba ya mh rais tukupatie basi kuliko kuanza kujipendekeza huku jf.Mama yetu tunakusihi, umpendekeze mwanamke atakayekusaidia katika kazi za Urais. Kufanya hivyo utaiheshimisha Tanzania na pia utaepuka makundi ya wanamtandao.Chukua toka seta binafsi ili upate msaidizi mtendaji asiye mwanasiasa. Tunahitaji kumaliza miradi ya kimkakati mapema na kuanzisha mpya. Hawa wanasiasa ukiwateua watendeleza siasa za kutafuta Urais 2030 na watatuchelewesha Tunakuamini mama yetu
Hajitambui tuAnajitambua ila tu hakuwa na uelewa juu ya jambo husika
SawaHajitambui tu