TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
siwezi kuweka hapa Naweza ku-Uncode yangu hapa JF.Umeshindwa hata kupata hayo majina mkuu, Bashe asiwe humo...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siwezi kuweka hapa Naweza ku-Uncode yangu hapa JF.Umeshindwa hata kupata hayo majina mkuu, Bashe asiwe humo...!
Hamna kitu ni uoni au wasi wasi wako tu.Moja kwa moja kwenye bandiko
Kuna mtifuano gani humo ndani wakumpata Makamu wa Raisi kesho Raisi anakwenda kupokea Report ya CAG bila kumpata Makumu wa Raisi
Za chini yakapeti majina matano yamebakia kwenye mchujo...
Update..
Martin ShigellaMizengo Peter Pinda.
Elias Kwandikwa
Emanuel Nchimbi
Thank Me later
Amum Pagan mwenyewe akikupata utaumia mwanangu. Huyu jamaa wa South Sudan huwa hachezewiMartin Shigella
Anaweza kupewa ...Mizengo Pinda ? Ni ngumu sana muda wake ushapita ameshahudumu nafasi ya Waziri Mkuu kwa miaka 7,aendelew tu kulea wajukui
Ninaunga mkono hojaRC wa Simiyu mhe.Mtaka anapendeza kuwa VP.
Mungu ipokee roho ya Mwangosi , AminaVP Ni Bw. Emmanuel Nchimbi.
Bwana fulani keshasema tayari
Halafu hiyo wizara imfae nani?.Waziri wetu nishati ni muhimu akapewa hiyo nafasi.
Mwakyembe akosa uvumilivu kutokana na kukosa uteuzi
TwasubiriMoja kwa moja kwenye bandiko
Kuna mtifuano gani humo ndani wakumpata Makamu wa Raisi kesho Raisi anakwenda kupokea Report ya CAG bila kumpata Makumu wa Raisi
Za chini yakapeti majina matano yamebakia kwenye mchujo...
Update..
Ndo yule aliyeharibu mashamba ya Mbowe?RC wa Simiyu mhe.Mtaka anapendeza kuwa VP.