Prof. Kabudi angefaa kuwa makamu wa rais lkn yeye mtu wa dodoma mkoa mmoja na spika ndugai. Ni vema tukawa na uwiano katika mgawo sawa wa vyeo kwa umoja wa kitaifa.Makamu wa Raisi ndiye atakuwa mgombea mwenza 2025 anatakiwa kuchaguliwa kimakini awe clean tuhuma za kifisadi ziwe zero na afya na umri uangaliwe pamoja na utendaji wa kutukuka
Lukuvi anafaa sana.
Lukuvi anauwezo mkubwa sana wa kufuatilia mambo.
Lukuvi atamrahisishia Rais wetu kuwashughulikia wezi waliojazana kila sekta huku wakijiita wazalendo.
Lakini pia yupo Dr. Slaa. Huyu ni mtu safi asiye na tuhuma wala uroho wa kujilimbikizia mali.
Mtendaji Mwingine anayeweza kumsaidia Mh. Rais Samia Suluhu ni AGREY MWANRY.
Huyu utendajo wake ni wa kutukuka bila kumwonea mtu. Anajua kuwabana wabadhirifu wa mali za umma kwa haki kabisa.
Kuna mwingine anayetajwa ,huyu ni Prof. Kabudi,; huyu ni mtu asiye na dira maalumu. Ni mlugaluga. Leo yupo hivi kesho vile. Mama achukue tahadhari sana kwa watu kama hawa , hawa ni wale waliokua wanajiona bila wao nchi haitaenda , utafikiri wao ndio Mungu.
Mungu aliyemuumba Magufuli ndiye aliyemuumba Pia mama Mh. Samia.
Anayebaki kumtukuza binadamu badala ya Muumba huyo tutamsamehe bure.
Nchi hii inahitaji mabadiliko katika fikra za kusaka uongozi.
Uongozi umekua ni fursa ya kujineemesha badala ya kutoa haki bila ubaguzi.
Ni Ukweli uliojificha kuwa kuna kamtandao kalikua kanajikita kwenye utawala kwa mgongo wa utendaji wa serikali huku kakiwapoteza na kuteka watu wote waliokua tishio kwao kisiasa na kiuchumi. Kamtandao hako ndiko kalikoitia dosari serikali yetu.
Ni kamtandao kalikojificha kwenye utekaji, uporaji wa fedha za watu kwa mgongo wa uhujumu uchumi , kutisha watu, ukabila ,udini na misingi ya ukanda. Haka kakundi kalikojificha chini ya kivuli cha kupigania chama na serikali kalikua na malengo maovu sana ka kuigawa nchi vipande vipande ili pawe na vinchi kama Rwanda bahati nzuri Mungu ametuletea Rais Jasiri Kabisa Mama yetu Samia Suluhu ,asiye na upendeleo wala maslahi binafsi ili aimarishe umoja wetu na utu wetu kama watanzania.
Nchi ilifikia mahali kutaja neno haki hata kwenye nyumba za Ibada ni kosa na viongozi wa dini wakawa wanahubiri maendeleo ya vitu na kusahau utu,haki, wema na usawa.
Viongozi wakawa wanasema hatutaki HAKI tunataka maendeleo.
Anawindana na Kigogo Ghafla pumzi zimekataKajichimbia wapi?
Prof. Kabudi angefaa kuwa makamu wa rais lkn yeye mtu wa dodoma mkoa mmoja na spika ndugai. Ni vema tukawa na uwiano katika mgawo sawa wa vyeo kwa umoja wa kitaifa.
Makamu wa Raisi ndiye atakuwa mgombea mwenza 2025 anatakiwa kuchaguliwa kimakini awe clean tuhuma za kifisadi ziwe zero na afya na umri uangaliwe pamoja na utendaji wa kutukuka
CCM huwa hatukosei tutawapa mgombea wa CCM upinzani tuliwapa Mbowe baadaye CCM tukawapa Slaa tukawapa Lowasa 2020 CCM Tukawapa mnaowaita Covid wabungeNa mkikosea tu kwenye uteuzi wa huyo Makamu wa Rais, basi 2025 mjiandae kusulubika! Mbaya zaidi yule mliye mtegemea hayupo tena!
Hakika patachimbika.
Ndiye alituisaidia kuchakachua kura 2015 tukamuibia luwasa kura zake,au nasema uongo ndugu zangu?Just for fun? Amefanya nini cha maana kinachompa credit? Tupe vigezo vya kiutendaji vya kumpimia!
Siasa cha ujanja ujanja tupa kule!
Kaenda kujifungua kwao huko Mwibara kapata mapacha watatuTangu tukio kubwa la kihistoria litokee March 17, Musiba aka Mwanaharakati huru hajasikika kabisa. Kulikoni? Kajichimbia wapi?
Oh! kumbe ni muunga mkono juhudi tu??????Dr hajawahi kurudisha kadi ya ccm. Ila ccm hawamtambui. Maana ccm ina wenye.
Ina maana si mwanachama sasa wa chama chochote?Pia naona anafaa. Ila siyo mwana CCM, au chama kingine.
William Lukuvi ambaye ni mtu pekee ambaye hakuonyesha ujinga wa kujipendekeza kulikokithiri na ameonyesha utendaji uliotukuka katika wizara ya ardhiPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina....
Kwa kadiri ninavyofahamu ndiyo hivyo.Ina maana si mwanachama sasa wa chama chochote?
Nyie wana ufipa si ndio huwa mnasema January Makamba, Mwigulu Nchemba na Nape ndio waliopora kura za Chademu mwaka 2015. Sasa leo tena huyu Njaanuary amekuwa mtakatifu tena? Ama kweli miafrika basi tu Mungu ndiye anajua alivyowaumba!He is innocent hana tuhuma za kipumbavu wala hajawahi kukutwa na scandals za uwizi kama wa makonda