Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Makamu wa Raisi ndiye atakuwa mgombea mwenza 2025 anatakiwa kuchaguliwa kimakini awe clean tuhuma za kifisadi ziwe zero na afya na umri uangaliwe pamoja na utendaji wa kutukuka
Prof. Kabudi angefaa kuwa makamu wa rais lkn yeye mtu wa dodoma mkoa mmoja na spika ndugai. Ni vema tukawa na uwiano katika mgawo sawa wa vyeo kwa umoja wa kitaifa.
 
Lukuvi anafaa sana.
Lukuvi anauwezo mkubwa sana wa kufuatilia mambo.

Lukuvi atamrahisishia Rais wetu kuwashughulikia wezi waliojazana kila sekta huku wakijiita wazalendo.

Lakini pia yupo Dr. Slaa. Huyu ni mtu safi asiye na tuhuma wala uroho wa kujilimbikizia mali.

Mtendaji Mwingine anayeweza kumsaidia Mh. Rais Samia Suluhu ni AGREY MWANRY.
Huyu utendajo wake ni wa kutukuka bila kumwonea mtu. Anajua kuwabana wabadhirifu wa mali za umma kwa haki kabisa.

Kuna mwingine anayetajwa ,huyu ni Prof. Kabudi,; huyu ni mtu asiye na dira maalumu. Ni mlugaluga. Leo yupo hivi kesho vile. Mama achukue tahadhari sana kwa watu kama hawa , hawa ni wale waliokua wanajiona bila wao nchi haitaenda , utafikiri wao ndio Mungu.
Mungu aliyemuumba Magufuli ndiye aliyemuumba Pia mama Mh. Samia.
Anayebaki kumtukuza binadamu badala ya Muumba huyo tutamsamehe bure.

Nchi hii inahitaji mabadiliko katika fikra za kusaka uongozi.
Uongozi umekua ni fursa ya kujineemesha badala ya kutoa haki bila ubaguzi.

Ni Ukweli uliojificha kuwa kuna kamtandao kalikua kanajikita kwenye utawala kwa mgongo wa utendaji wa serikali huku kakiwapoteza na kuteka watu wote waliokua tishio kwao kisiasa na kiuchumi. Kamtandao hako ndiko kalikoitia dosari serikali yetu.
Ni kamtandao kalikojificha kwenye utekaji, uporaji wa fedha za watu kwa mgongo wa uhujumu uchumi , kutisha watu, ukabila ,udini na misingi ya ukanda. Haka kakundi kalikojificha chini ya kivuli cha kupigania chama na serikali kalikua na malengo maovu sana ka kuigawa nchi vipande vipande ili pawe na vinchi kama Rwanda bahati nzuri Mungu ametuletea Rais Jasiri Kabisa Mama yetu Samia Suluhu ,asiye na upendeleo wala maslahi binafsi ili aimarishe umoja wetu na utu wetu kama watanzania.

Nchi ilifikia mahali kutaja neno haki hata kwenye nyumba za Ibada ni kosa na viongozi wa dini wakawa wanahubiri maendeleo ya vitu na kusahau utu,haki, wema na usawa.
Viongozi wakawa wanasema hatutaki HAKI tunataka maendeleo.

Kwa hapa nakubaliana na ww kabisa. Sina tatizo na ukweli huu uliuosema hapa. Na kiongozi wa huo udhalimu wote alikuwa jiwe.
 
Prof. Kabudi angefaa kuwa makamu wa rais lkn yeye mtu wa dodoma mkoa mmoja na spika ndugai. Ni vema tukawa na uwiano katika mgawo sawa wa vyeo kwa umoja wa kitaifa.

Kwa taarifa yako hata kama Kabudi angekuwa anatoka kilomita 1,000 toka viongozi wengine, hakuna mtu mjinga kama yeye. Na yeye ni sehemu ya ujinga wote uliojitokeza chini ya Magufuli. Angesimama kwenye mstari wa haki, Magufuli asingeweza kuendesha nchi hii kwa kutegemea weakness zake.
 
Makamu wa Raisi ndiye atakuwa mgombea mwenza 2025 anatakiwa kuchaguliwa kimakini awe clean tuhuma za kifisadi ziwe zero na afya na umri uangaliwe pamoja na utendaji wa kutukuka

Jamani tupunguzeni utamaduni wa kufikiria wagombea kila siku uchaguzi ni miezi tu imepita tunaanza kuongelea wagombea wa miaka mitano ijayo! Lini tutafanya kazi kama mawazo kila siku ni nani mgombea badala ya nani anafanya kazi nzuri
 
Habarini wakuu,

Naomba kufahamulishwa wale waliokuwa wanasema bila Kuwepo Mh. Rais magufuli nchi haiendi wanapatikana upande gani?.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.
 
Na mkikosea tu kwenye uteuzi wa huyo Makamu wa Rais, basi 2025 mjiandae kusulubika! Mbaya zaidi yule mliye mtegemea hayupo tena!

Hakika patachimbika.
CCM huwa hatukosei tutawapa mgombea wa CCM upinzani tuliwapa Mbowe baadaye CCM tukawapa Slaa tukawapa Lowasa 2020 CCM Tukawapa mnaowaita Covid wabunge

mnataka nini tena CCM tunao kibao huko Chadema tuwape nani mgombea 2025?
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina....
William Lukuvi ambaye ni mtu pekee ambaye hakuonyesha ujinga wa kujipendekeza kulikokithiri na ameonyesha utendaji uliotukuka katika wizara ya ardhi
 
S
He is innocent hana tuhuma za kipumbavu wala hajawahi kukutwa na scandals za uwizi kama wa makonda
Nyie wana ufipa si ndio huwa mnasema January Makamba, Mwigulu Nchemba na Nape ndio waliopora kura za Chademu mwaka 2015. Sasa leo tena huyu Njaanuary amekuwa mtakatifu tena? Ama kweli miafrika basi tu Mungu ndiye anajua alivyowaumba!
 
Back
Top Bottom