Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Anayefurahia watu wakipata matatizoYes hata mimi nimewaza,serikali ya maridhiano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayefurahia watu wakipata matatizoYes hata mimi nimewaza,serikali ya maridhiano
Nadhani Alikuwa ni PindaWaziri mkuu alikuwa nan?
Lukuvi ndo mwenye uwezo, uthubutu na busara
rais awe konde boy makamu wake mwijaku
JK alikuwa na mkristo?Kigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria
Shenzeeee nimecheka imebidi nikagugo niyaone hahahahaKabudi hapana, mi naogopa macho yake.
Tena saaaana. He's very diplomaticLukuvi ni mtu smart kiasi japo sijamfuatilia sana anafaa pia.
drilling wata drill ofisi itakua na harufu mbayarais awe konde boy makamu wake mwijaku
Inaweza kuwa shida kwa sababu hiyo, mbona JK na Bilal waliweza?Wote waislamu hao
Inaweza kuwa shida kwa sababu hiyo, mbona Jk na Bilal waliweza?
Umeshaanza uchuro wakati hata bado hatujampumzisha mpendwa wetu, sisi tuna majonzi wewe unaleta za "kugawana mali"Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
PointKwahiyo Rais Muislam
Makamu wa Rais Muislam
Waziri Mkuu Muislam
Hamezi kupewa Muislam umakamu labda awekwe kwenye baraza la mama samia na hiyo ni kama Diwani atamtaka lakini VP ni ChengeUmewaza kama mimi Chief, namuona January akienda kushine tena, japo inaweza isiwe kirahisi sana.
Tanga habari yenu kwisha kwanza bundi kalala kwenu ndio maana msiba wakaamua utangaziwe TangaAll the best to January Makamba
Jafo ndio...Lakini kwa kiasi fulani ana papara sana, anahitaji muda zaidi wa kujenga utulivu kwenye uongozi katika nafasi yake ya sasa.Namuona JAFO anafaa zaidi