Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Tunaihitaji kwa udi na uvumba, haiwezekani tuishie njiani awamu yetu.
Kifuatacho 2025 ( Msukuma tena Dr Leonard Chamuriho ).
Basi hata Dr balozi Bashiru Ally Kakulwa tutampa maana tuna elements nae za kanda ya ziwa.
Ndugu yangu umebobea kwenye uchonganishi😂
 
Embu wampe Lowassa umakamu wa Rais tuone maono yake
 
Sema kwakuwa kazi yenyewe ya umakamu wa rais kwa hapa bongo haina issue zaidi ya kukata utepe kwenye zinduzi basi. Hata awekwe nani kwa katiba hii atakuwa hana nguvu kimamlaka.
Embu jaribu kuwaza zaidi kabla hujaandika na kutuma ujumbe wako! Ukiona Makamu wa Rais hana kazi, au Naibu Waziri, au Naibu Katibu Mkuu, etc. n.k, n.k; hayo ni makosa na mapungufu makubwa ya anayeteua anateua wasaidizi dhaifu, au makosa na mapufungu ya viongozi hao kutokuwathamini na kuwapa nafasi wasaidizi wao wafanye kazi. Kwani tunajua mipango ya Mungu wakati wowote? Kwa hiyo tumuweke Makamu wa Rais boya, ajue tu kusoma na kuandika, na kukata tu utepe wa uzinduzi, halafu Rais akishindwa kutekeleza kazi zake kwa ugongwa, au kifo au sababu yoyote ile, hilo boya automatically linakuwa Rais.

Kila nafasi inapaswa kuheshimiwa, zijazwe on merits kwa kuzingatia elimu, uzoefu, maadili na sifa zingine za msingi za viongozi wa umma.

Kwa mtazamo wangu, tunapaswa kuweka vizuri sifa za viongozi wa umma hasa ngazi za juu nchini, na sifa hizo ziwe kwenye Katiba ya nchi, na uteuzi kwenye vyama vya Siasa uzingatie Katiba.
 
Zile siku saba wamekaa na maiti wakijidai wanauguza kumbe wanaangalia namna ya :-
1.Kumtosa Makamu kwa kuangalia namna ya kumfanya na yeye aandike barua ya kujiuzulu /au lazima ili waweke Bashiru
2. Mpango wa kwanza ukishindikana , kuacha katiba ichukue nafasi Samia awe Kaimu Rais lakini akishinikizwa ateuwe Makamu waake kutoka team "genge"
Hizo siku saba hazikutosha kupata Makamu au Kaimu Rais hadi muendelee kuuliza uliza >>QUOTE]Sioni namna kama ni kweli walikuwa na mpango wa kumtosa ambavyo atawakumbatia katika baraza lake la mawaziri. Ili kuwa na nguvu na maamuzi hao wote ni kupiga chini ili aweze kutawala kwa matakwa na utashi wake na siyo kuburuzwa.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Wakimpa Makamba watakuwa wamenifuta mavhozi kweli.
 
Acha kuchekesha!!! Umeanza lini comedy?!! Uyu Kabudi ndio awe makamu wa Rais?!! Itakuwa ni kupatwa kwa umakamu!! Kabudi ni mshamba, mnafiki hafai kuwa kiongozi kwenye zama hizi za utandawazi na utawala wa haki za kibinadamu, hatutaki tena kiongozi mwenye mawazo ya kijamaa na propaganda.
Hamtaki wewe na nani?
 
Sioni namna kama ni kweli walikuwa na mpango wa kumtosa ambavyo atawakumbatia katika baraza lake la mawaziri. Ili kuwa na nguvu na maamuzi hao wote ni kupiga chini ili aweze kutawala kwa matakwa na utashi wake na siyo kuburuzwa

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Mamlaka kamili ya uRais Samia Suluhu Hassan, Makamo awe Kassim Majaliwa na Waziri mkuu awe Doroth Gwajima(moto wa Magufuli hautazima hapa) mambo ya nje na fedha waendelee waliopo.
Upinzani umejiua wenyewe tu, huku mtu wao Tundu Lissu akipata uraia wa ubeleji.
 
Kwahiyo Rais Muislam
Makamu wa Rais Muislam
Waziri Mkuu Muislam
Tutaangalia utendaji kazi na kujitoa kwa ajili ya watanzania ..na si UDINI wa mtu. DINI YAKO INATUSAIDIA NINI sisi ...kabila lako linatusaidia nini sisi ( in nyerere's voice)
 
Itapendeza ,kufumba macho ,kubadilisha baadhi ya vifungu , makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge , namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.

Lengo kuleta mshikamano wa kitaifa, hata huwe malaika kuongoza nchi ikiwa imagawanyika ni ngum Sana, wazee ,wastahafu kutoka CCM, hapa simameni imara kwa maslahi mapana ya taifa.
Hiyo ni ngumu, hata wakitoka chama kimoja, kikubwa wafuate katiba tu, umoja wa kitaifa unahitaji makundi mawili yanayoendana nguvu.
 
Mamlaka kamili ya uRais Samia Suluhu Hassan, Makamo awe Kassim Majaliwa na Waziri mkuu awe Doroth Gwajima(moto wa Magufuli hautazima hapa) mambo ya nje na fedha waendelee waliopo.
Upinzani umejiua wenyewe tu, huku mtu wao Tundu Lissu akipata uraia wa ubeleji.
Napinga, Doroth Gwajima, hana ueledi wa kusolve matatizo.
January Makamba as PM
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.

R.I.P Magufuli.

Mimi nataka kiongozi asiyeyumbishwa. William Lukuvi ndiyo chuma cha pua kingine tulichonacho!
 
January anafaa kwa kweli maana hana makandokando wala hana chuki na wapinzani.

Nafasi kubwa kama hizo wasipewe watu wanaotoka kwenye makabila makubwa kama Wasukuma maana walishaiona hii nchi kama ni yao pekeyao na mijisifa kibao.

Bimkubwa ni wakati wake wa kurudisha mshikamano wa Taifa. Atende haki sawa kwa wote ili akija kufa kusiwe na watu wanaoshangilia mioyoni mwao.
 
Steven Wassira awe makamu wa Rais.
Ana experience ya kutosha
Hana tamaa
Ni muadiliful
Msomi
Uwezo anao.
Waziri mkuu nampendekeza mh. George Mkuchika huyu bwana atatufikisha mbali sana.
 
Napinga, Doroth Gwajima, hanaueledi wa kusolve matatizo.
January Makamba as PM
Ni haki yako kupinga kama mimi ninavyompinga January Makamba kwa kutokuwa na msimamo.
 
Steven Wassira awe makamu wa rais.
Ana experience ya kutosha
Hana tamaa
Ni muadiliful
Msomi
Uwezo anao.
Waziri mkuu nampendekeza mh. George Mkuchika huyu bwana atatufikisha mbali sana.

Kwa mchakamchaka wa hizo nafasi, ages zao hao waheshimiwa zinaweza kuwa kikwazo!
 
January anafaa kwa kweli maana hana makandokando wala hana chuki na wapinzani.

Nafasi kubwa kama hizo wasipewe watu wanaotoka kwenye makabila makubwa kama Wasukuma maana walishaiona hii nchi kama ni yao pekeyao na mijisifa kibao.

Bimkubwa ni wakati wake wa kurudisha mshikamano wa Taifa. Atende haki sawa kwa wote ili akija kufa kusiwe na watu wanaoshangilia mioyoni mwao.

The so called spleeping giants walisha zinduliwa kutoka usingizini na JPM. Hamna budi muende nao vizuri sasa vinginevyo mkiongea kwa lugha za aina hii yako. Aaah sijui.!
 
Back
Top Bottom