Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Muendesha serikali ya Tanzania, Chief Secretary, Chief of Public Service, Secretary to the Cabinet, Secretary to National Security Council, Head of all Permanent Secretaries alikuwa mtu mmoja tuu Na ni Msukuma Amb. Paul Rupia.
Kwahiyo alikuwa na nguvu kuliko vp?
Safari hii mmekwama maana hakuna atakaye wapa hiyo nafasi.
 
Viti vya Wahudhuriaji wa Msiba havijapangwa bado hadi Ratiba ya Msiba (Mazishi) haijapangwa tayari mmeshaanza kuja na hopeless Speculations zenu, hivi mkiambiwa nyie ni Wachawi mtabisha au Kukataa?
Aliyekufa kafa... Sisi tunaganga yajayo
 
William Lukuvi i think he is the Man for VP
Mkristo
Mtu wa Bara
Mzoefu
Jasiri nk
Mambo ya dini yanaingiaje hapa? Kinacho hitakijika ni ubunifu,uzalendo wa kweli na Elimu ya Chuo kikuu ya kuwawezesha wahusika kuchambanuwa masuala ya domestic na Geopolitics kisomi, proper education backgroud counts a lot unlike popular publicity stunts - hasikwambie mtu.
 
Lukuvi ndo mwenye uwezo, uthubutu na busara
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.

R.I.P Magufuli.
 
1. Jakaya Mrisho Kikwete, apewe umakamu wa rais

2. Butiku

3. Kimei

4. Kinana

5. Warioba

6. Prof Muhongo

7. Makinda

7. Mwamunyange

8. Lissu

9. Chikawe

10. Mwandosya

Hao akina January, mwigulu sijui kabudi bado sana. Anatakiwa mkongwe na mwenye busara ya kumwongoza mama kuliweka taifa pazuri
Hapa ndipo mnakosea. Huyu Mama akiwa Rais atahitaji ushauri na sio kuongozwa. Uamuzi wa mwisho utakuwa wa kwake na sio mwingine. Atakuwa Rais kamili na sio figure head.

Amandla...
 
Ama kwa hakika tulivyohuzunika kwa yaliyotokea October mwaka jana ndio tumefutwa machozi jana...
 
Back
Top Bottom