BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Lukuvi atatuuuuuuaaaDr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lukuvi atatuuuuuuaaaDr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
Bashiru hana sifa ya kuwa VP, hana tena hana kabisa .Dini inamwangusha Bashiru japo anafit, ikiwa hivyo kelele zitakuwa nyingi huku chini, elewa kuwa hakuna mtu anapenda kuongoza huku akipigiwa kelele, ni jpm pekee ambaye hakujali sana kelele za wananchi wake, ndio maana alikuwa akisema yeye hapangiwi.
Kamanda na kada mtiifu wa ccm,pole sana kwa kumpoteza mwenyekitiSio lazima mimi na wewe tufanane mawazo/maono
Mkuu, mimi na wewe sote kwa pamoja tumepoteza Rais wa taifa letu. Pole pia mkuu.Kamanda na kada mtiifu wa ccm,pole sana kwa kumpoteza mwenyekiti
Hatuwezi ruhusu Wahutu, Warundi akina Wallance Karia, Kinana, na Bashiru kukanyaga Ikulu.Tunakwenda na Kinana.
Nape for prime minister.
He is corrupt!! He is Rostam’s creature!! Angalieni sana influence ya Rostam katika kushawishi ccm nani awe makamu wa Rais! Kundi la Kikwete la mtandao watakuwa mstari wa mbele kutaka kuweka kinyago chao NCHIMBI!!
Hawa wanamtandao ni waporaji wa rasilimali za nchi: msisahau jinsi walivyo ifilisi nchi enzi za Kikwete na sasa watajipanga kurudi!!
Hao wote Ni shitsMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Hiyo itategemea umakamu wa rais ataupata nani. Kwakuwa huku bara idadi ya Waislamu na Wakristo ni nusu kwa nusu, inawezekana kabisa kukawa na shinikizo kwamba makamu wa rais awe Mkristo ili kubalance na rais ajaye ambaye ni "Muislamu."Kwani akiapishwa Mama Samia anaanza uteuzi upya wa baraza la mawaziri?
Hao watu wa ujenzi ndio wezi toka 1995 hadi leo. Ni team JPMSamia anahitaji msaidizi makini na sio mbabaishaji na mtu mnafiki kama NCHIMBI!!
ccm imuangalie kwa jicho la karibu huyo waziri wa usafirishaji Dr. Chamriho; huyu ni mtendaji mzuri asiye na makuu wala makundi! Sio mtu wa kujikweza na mtu rahimu. Ni mtendaji mithili ya marehemu Magufuli. Chumguzeni utendaji wake.
Ni mtu safi hana makandokando kama Nchimbi kwa muda mfupi tu alipokuwa waziri wa Mkwere!
Mtaka wengi wamemkubali..ana nini huyu Mheshimiwa?Nchimbi big no.Tony sawa anafaa.
Hawa jamaa huwa wana namna ya Ku balance dini ingawa si kigezo rasmi,manake hawana dini.Ila January Muisalmu pamoja na mama sidhani kama wakatoliki watakubali!Umewaza kama mimi Chief, namuona January akienda kushine tena, japo inaweza isiwe kirahisi sana.
Mkuuu Infantry Soldier, Uko Sahihi Sana Maana Sio Lazima Watu wote tufanane kimawazo au kimaono, Kama Ni nchimbi sawa, Kama mtaka sawa pia, sisi wadogo hatuna uwezo Wa kubadili mawazo ya wakubwa. 🙏🙏Sio lazima mimi na wewe tufanane mawazo/maono