Sasa Wakatoliki wameingiaje tena katika ajenda hiiHawa jamaa huwa wana namna ya Ku balance dini ingawa si kigezo rasmi,manake hawana dini.Ila January Muisalmu pamoja na mama sidhani kama wakatoliki watakubali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Wakatoliki wameingiaje tena katika ajenda hiiHawa jamaa huwa wana namna ya Ku balance dini ingawa si kigezo rasmi,manake hawana dini.Ila January Muisalmu pamoja na mama sidhani kama wakatoliki watakubali!
Hao watu wa ujenzi ndio wezi toka 1995 hadi leo. Ni team JPM
Nikweli lkn uzito unatofautiana mkuu maana mimi sifa yangu kwa hili ni utanzania tu,lkn wewe una sifa ya ziada ya ukadaMkuu, mimi na wewe sote kwa pamoja tumepoteza Rais wa taifa letu. Pole pia mkuu.
Kwani uliwahi sikia Raisi au makamu wake ni mprotestanti au mpentekoste,Zaidi ya Bakwata au Catholics?Sasa Wakatoliki wameingiaje tena katika ajenda hii
Ni kijana. Musomi. Hana uchama (CCM au Uchadema). Ni mchapa kazi. Popote ana deliver. Eme deliver ELIMU Simiyu. Maendeleo popote alipo. Hana issue za show off-Ma camera/TV. Hapana. Ana utu. Hawezi dhalarisha mtu jukwaani. Ni mcha Mungu. Ni mtoto wa Mkulima.Mtaka wengi wamemkubali..ana nini huyu Mheshimiwa?
Mkuu, mimi mbona sina hata kadi ya CCM? Mimi sio mwanasiasa mzee baba.Nikweli lkn uzito unatofautiana mkuu maana mimi sifa yangu kwa hili ni utanzania tu,lkn wewe una sifa ya ziada ya ukada
Hao ni wezi tu. Miradi mikubwa wana tupiga sna. Madaraja, Barabara (Nyanza Road Co.), ATCL ww unajua bei za ndege?Huoni kazi ziliofanyika wizara ya usafirishaji alikokuwa katibu mkuu kabla ya kuwa waziri? ATCL imefufuliwa , Reli inajengwa , bandali zinaboreshwa kote nchini na ufanisi umeongezeka!!! Wala hutamuona kujionesha kwenye matv yenu!!! Huyu ni mtendaji mzuri kama nchi inahitaji muangalizi wa karibu kumsaidia Samia kumalizia hii miradi mikubwa. Msifanye makosa mkawasikilza wakina Rostam na kuweka vikaragosi vyao hiyo mradi haitakwisha.
Angalau tukupongeze kwa ukereketwa wa ccmMkuu, mimi mbona sina hata kadi ya CCM? Mimi sio mwanasiasa mzee baba.
Mh... Hiyo ndiyo hazina ya viongozi tuliyo nayo! 'Tembo' wetu jamani!Tunakwenda na Kinana.
Nape for prime minister.
Wewe andika uwezavyo, kashifu uwezavyo...haiwezekani na haijawahi kutokea katika nchi hii top 5 highest position kwa nchi ambayo sio secular state kushikiliwa na watu wa Imani mojaMbona uko nyuma sana kimawazo mkuu kwan wanatumia msahaf na bible pale au roho mbaya tuu pale sio uislam pale katiba mkuu ayo mawazo dun
Majaliwa hata hiyo nafasi ana takiwa anyanganywe. Ni muongo. Hafaibtena kwa nafasi yoyote. Atamdanganya hata Mh. Rais.Kasimu majaliwa waziri mkuu wampe Nape sio mbaya ana jambo lake moyoni
Ingawa nae anasemwa kwa upigaji kwenye chama cha Riadha alikokuwa Mwenyekiti wa Taifa kabla ya kupoteza uchaguzi uliopita.Ni kijana. Musomi. Hana uchama (CCM au Uchadema). Ni mchapa kazi. Popote ana deliver. Eme deliver ELIMU Simiyu. Maendeleo popote alipo. Hana issue za show off-Ma camera/TV. Hapana. Ana utu. Hawezi dhalarisha mtu jukwaani. Ni mcha Mungu. Ni mtoto wa Mkulima.
Hayati Dr. John Pombe Magufuli aliwahi sema Mkuu wa Mkoa no1 na no2 Tz ni ANTHONY MTAKA.
Namkubali sna kijana.
Pamoja na uporaji unaousema kila mwaka waalimu waliajiliwa, manesi na madocta, wanajeshi, polisi na wengineo, pia mishahara ilipanda ,pia maendeleo yalikuwepo.He is corrupt!! He is Rostam’s creature!! Angalieni sana influence ya Rostam katika kushawishi ccm nani awe makamu wa Rais! Kundi la Kikwete la mtandao watakuwa mstari wa mbele kutaka kuweka kinyago chao NCHIMBI!!
Hawa wanamtandao ni waporaji wa rasilimali za nchi: msisahau jinsi walivyo ifilisi nchi enzi za Kikwete na sasa watajipanga kurudi!!
Mshaanza!!!Rais Pwani na makamu wa Rais iwe Pwani tena?
Hao ni wezi tu. Miradi mikubwa wana tupiga sna. Madaraja, Barabara (Nyanza Road Co.), ATCL ww unajua bei za ndege?