Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Jamaa simpendi yule,Namwona si mtu mzuri hasa kwa Wapinzani...wako wana-ccm wengi wanapenda mtu mwenye siasa kama za Mwigulu Nchemba. hao ndio wanaoweza kushawishi akateuliwa makamu wa raisi.
achana na hiyo ....mlamba viatuNapendekeza jafo anafaa
Maana yake nini?Hawala yako
SIO MZALENDO HYO ATALETA TAMAA MBELE UMAUTI NYUMAJanuary makamba is the best
UKO SAHIHI MKUU.Pale anapaswa kuwepo Mkristo, haiwezekani
-Rais Muislam
-Makamu wa Rais Muislam....
Foolish.You know nothing about politics, kaulize what happened alivyokufa rais wa Malawi??
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Sio Katiba bali Sheria(kote Duniani) haitambui Mwanamke siku zote inatafsiri he not she!Ila katiba haimtambui VC president mwanamke?Mbona imetumia. His,he?
Waandishi wa katiba hawakuwahi kutarajia mwanamke anaweza kuwa Raisi au
How many times must we remind you? "SERIKALI HAINA DINI" repeat "Serikali haina DINI" - kinacho tafutwa ni uwezo wa kuchapa kazi, UBUNIFU kama wa JPM, elimu ya Chuo Kikuu ya moja kwa moja, udhubutu, kuwa na mahamuzi yenye msimamo bila ya kuyumba yumba, kuto ogopa lawama - kuendesha Taifa ki-fang fang kwa miaka mingine mitano tena emulating our hero JPM to the letter.Nashauri Makamu wa Rais awe Mkristo Mkatoliki na Waziri Mkuu awe Mkristo Mprotestanti au Makamu wa Rais awe Mkristo Mprotestanti na Waziri Mkuu awe Mkristo Mkatoliki...
Kama utawala wanafunzi wanakaa chini ndio utawala bora, basi nchi ina vipimo vizuri sana vya maendeleo.
Kigogo kaandika kuwa NCHIMBI amekwishaondoka Brazil kuja kuwa makamu wa Rais!! Hivi sasa yuko Dubai njiani kuja nyumbani!Nchimbi big no
... wachague yeyote lakini jamani chonde chonde ASIWE KALAMAGANDA KABUGI!Hamna mtu hapo!
Nchi ilifilisiwa kwani kila kitu kilianza upya? Aliyekuja si aliendeleza walipoishia wenzake? Hapakuwa na barabara, vyuo, hospitali? Hakukuwa na biashara? Uchumi ulikuwa 0? Nchi ilifilisiwa kwa vigezo gani? Au ndo uhuru tuliopewa wa kukosoa ambao JPM hakutaka kuuendekeza?He is corrupt!! He is Rostamβs creature!! Angalieni sana influence ya Rostam katika kushawishi ccm nani awe makamu wa Rais! Kundi la Kikwete la mtandao watakuwa mstari wa mbele kutaka kuweka kinyago chao NCHIMBI...
Hafai hata kidogoSuala la dini kuwa moja na Rais na Waziri Mkuu litakuwa kikwazo kwa January, japo nami naona angelifaa sana.
Kuna ujinga fulani wa kijamaa baadhi ya watanzania wanao.Kuna muda tukubaliane kutokukubaliana. Huyu Rostam unayemsema si ndio amerudi kipindi hiki cha JPM kuwa na influence? Sasa shida nini mbona JPM ndio kamsifia zaidi kuliko hata huko kabla. Na alikaribishwa Ikulu na kushirikiana naye mambo mengi. Hebu tuache akili za kijima, angekuwa ni mbaya hivyo JPM angemu endorse? Mbona wakina Manji walikimbi, wakina Seth na Rugemarila je, na wengine.
All the best to January Makamba