Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Chadema acheni kuhangaika, fuateni katiba, wapi katiba unasema Kuna serikali ya mseto? Jiungeni na ACT muunde SUK kule Zanzibar huku haipo kwenye katiba.Forget it.
Simply watakwambia Katiba yetu hairuhusu serikali ya mseto.
Huyo mama akifanya hivyo itabidi ajitoe akili haswa, naamini hapo ndani ya chama chake tayari sasa hivi kuna vita ya chini chini inaendelea kupigania hiyo nafasi.
Hata kama haitakuwa hivyo Ila mawazo yako ni mazuri sana. Suala muhimu kuliko yote ili Samia atawale kwa utulivu ni National Reconciliation. Ambayo unaweza kuipata kwa njia hiyo ya kumleta VP wa upinzani japo Katiba hairuhusu.Mungu Amrehemu kipenzi cha watanzania na jemedari wa kweli, JPM. Kiongozi uliyepambana kuiwrka Tz kwenye ramani kwa gharama kubwa.
Twende mbele.
Kwa nn 85% chance Mpinzani atakuwa VP?
Maridhiano na mshikamano
Neutralize hisia mbaya za chaguzi iliyopita
Umoja wa kitaifa
Amani na upendo.
Possibility:
Lissu Tundu Antipas 30%
Zitto Zuberi Kabwe 20%
Freeman Aikael Mbowe 15%
Wengine wa ccm. 35%
Collective possibility
Lissu 0.85*0.3. =25.5%
Zitto. 0.85*0.2= 17%
Mbowe. 0.85*0.15=12.75%
Ccm. 0.15*0.35=55.25%
NB: Mbunge yoyote hawezi kuwa VP, mana VP haingii bungeni hivyo wananchi watakosa uwakilishi.
Kama umesoma HKL pita ivi, usikomenti
Nilitaman sanaa, Kwaajili ya Kuleta Nchi pamoja
Kuponya hali inayoendelea.
T.Lissu apewe umakamo.
Akili za chadema wanazijua wao hawaeleweki. Mara wanataka katiba ifuatwe, ila wao wakitaka yao hawataki kufuata katiba.Pia katiba hairuhusu
Maisha bila KuBalance na maujenzi yako utaishia kufa njaa,duanzi wahedi!We ni duansi, bila Ujenzi kuna dunia ipi, ni wapi ambpo hapakujengwa, kma Ujenzi si kitu mbona unalala kwenye nyumba nenda ukaishi msituni basi.
poleni mnaodhani political supremacy imeisha. inshort kwa sasa imekomaa zaidi maana bunge ndo litapiga kura kuamua makamu akubalike au la na bunge ni la CCM kwa kiasi kikubwa
hivyo mama kazi anayo maana yoyote atakaepata influence ndani ya CCM bhasi kaidhibiti serikali pia
Mfugale yupo CCM kwani?Kwa kuwa miradi mingi ya Magufuli asilimia 90 ilikuwa ni ya Ujenzi (Construction) ni vizuri ikamilishwe ili kutimiza hiyo ndoto yake, mtu pekee ambaye siyo mwana siasa na ambaye anaishi ndoto ya Magufuli ni huyu Mfugale, abustiwe tu kidogo na CHEO cha Umakamu Wa Rai's, na KAZI za Magufuli zitaisha, ana Siri zote za mambo ya Ujenzi na kile Magu allkuwa akikihitaji, mama Samia usilete makamu wa Rai's mwana siasa, Achana nao, leta jembe linalomuishi Magu na Kukamilisha ndoto zake, nawakilisha...
Kama ya aliyekuzaa na kukunyonyeshaAkili yako fupi
Naye siku sio nyingi utamsikia anapumulia mashine.apimwe afya kwanza tumechoka
Mfugale yupo CCM kwani?Kwa kuwa miradi mingi ya Magufuli asilimia 90 ilikuwa ni ya Ujenzi (Construction) ni vizuri ikamilishwe ili kutimiza hiyo ndoto yake, mtu pekee ambaye siyo mwana siasa na ambaye anaishi ndoto ya Magufuli ni huyu Mfugale...
One of the best statement nimewahi kusoma hapa.. umeongea jambo Pana Sana..binafsi Mimi hupenda kujiuliza ni nini zilikua dira za viongozi wa Zamani kama vile Nyerere na Karume katika kutekeleza mipango KAZI Yao?Hatutaki watu wa kuendeleza ndoto za wafu. Twataka watu kuendeleza mahitaji ya Tanzania ya sasa na baadaye
SawaAkili za chadema wanazijua wao hawaeleweki. Mara wanataka katiba ifuatwe, ila wao wakitaka yao hawataki kufuata katiba.
Makamu hana kazi zaidi ya heshima tuIli afanye lipi la msingi?