Hivi nafasi ya umakamu imekosa kabisa mtu. huyu Polepole ambaye hajulikani ni babu au kijana au mzee Nadhani nae ni mgonjwa safura ya utotoni labda
 
Ngoja tusubiri, lakini jamaa anafit, kwasababu ni muongeaji sana na anajua majukumu yake kuyatimiza. Ila kwenye suala la demokrasia jamaa ni fala
 
Wenye akili hawapo nchi hii mbaka
Huyo chakubanga awe na cheo hicho ?
Acheni kutudharau wananchi bwana aaaggghh!

Halafu we polepole acha kutupima upepo!

Nadanganya ndugu zanguni?
 
Kwani Kigogo kasemaje? Bado ajatoa tamko?? Huyu ndiyo chanzo changu cha Habari
Tofauti na hapo hakuna anaejua nini kinaendelea
Au nasema uongo ndugu zangu!!!!
Watanzania mniombee
 
Haa[emoji23][emoji16]
JPM Tutamkumbuka Sana, Kwa Maneno Haya
Nilikuwa Nayapenda Sana Kila Hotuba Yake
Lazima Aje Na Jipya.
Unataka Kupanuliwa Wapi Wewe Mama
Mm hotuba zake za kutoa kichwani kwa kukariri na maneno ya kuchomekea nilkuwa napenda mno.
 
Na kama huyu mama pia hatatoa hizo pamba masikioni,basi mpaka 2025 huyo "Polepole" ataukwaa urais.

COVID is real
 
Asipochaguliwa ni kwa sababu imevuja?

Haya Nchimbi ndo PM asipochaguliwa ni kwa sababu imevuja.
 
Ofcz hata kwenye vitabu enz zile kulikua na topic inasema CHAKUBANGA AMPIGA MKOLONI.
Isije ikawa ndio chakubanga huyu
 
Makamu wa Raisi nashauri tumpe huyu mzee ambaye hatakuwa pale kutaka kuwa Raisi bali kumsaidia Raisi. Pamoja na mapungufu yake ni mzalendo. Nitapata wasiwasi wakiweka watu wenye uchu wa kuwa Maraisi watakuwa wanafanya siasa zaidi kama ilivyo Kenya Rutto.
 
dah, huyu mchizi sijawahi kumpenda hata kwa chembe ya unga wa ngano... inshort simkubali kabisaaaa... 😔hata nikipewa option ya kumsave yeye au sungura, 100% namsave sungura...
 
Huyo rafiki yako muuza kahawa sio?
Hata mimi rafiki kabiambia mizengo pinda
 
mm namwamini aliyekufa msalaban
 
Nmesoma heading tu sina haja ya kusoma maelezo ,,ila mwandishi nakusihi uache bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…