900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
sawa wengine tunamheshimuYule mpuuzi tu yani namdharau. Ni mtu wa hovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa wengine tunamheshimuYule mpuuzi tu yani namdharau. Ni mtu wa hovyo kabisa
Mm hotuba zake za kutoa kichwani kwa kukariri na maneno ya kuchomekea nilkuwa napenda mno.Haa[emoji23][emoji16]
JPM Tutamkumbuka Sana, Kwa Maneno Haya
Nilikuwa Nayapenda Sana Kila Hotuba Yake
Lazima Aje Na Jipya.
Unataka Kupanuliwa Wapi Wewe Mama
Huyo rafiki yako muuza kahawa sio?Wanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.
[emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Chakubanga?
mm namwamini aliyekufa msalabanWanajamvi naandika haya nikijielewa na akili timamu Ndugu Humphrey Polepole ndiye atakuwa vice president wa Tanzania.
Nimesogezewa hii habari nyeti na rafiki yangu yupo kitengoni sitamtaja (very very reliable sources) due to the sensitivity of the matter.
Na kama hatajaguliwa basi watakuwa wamesitisha uteuzi huo kwasababu imevuja.
Naombeni mniamini.