Lukuvi na makashfa yote hayo , halafu ngumbaru...


Kashfa zipi kwa mfano? [emoji2369]

Hata kama ingekuwa kweli ni ngumbaru lakini mbona anafanyakazi yenye kuleta tija kubwa kwa Taifa kuzidi hao mnaiona wasomi maprofesa?

Lukuvi walau anaweza kufanya kazi yenye kuweza kupimika kwa matokeo mfano pale Wizara ya ardhi.

Akiwa VP au PM ataweza ku cut across ktk utendaji wake hivyo atatufaa sana wananchi.

Nashauri awe miongoni mwa watakaofikiriwa kupewa hiyo nafasi kwa manufaa ya Umma.
 
Kuna viherehere fulani ningetamani wafutwe kwenye uso wa siasa kabisa
1.ALLY APPI
2.MAKONDA
3.KENANY DC yule aliechapa wanafunzi
4.PROF MIJICHO KABUDI
5.Pro MPANGO
6.DOTTO WA HADHINA



Dotto wa Hazina hanaga tatizo kaka wa watu yuko very humbled na makini na chapakazi.

Nashauri afikiriwe kuendelea au kuinuliwa zaidi ya hapo alipo.
 
Ukiona kateua VP dhaifu mtu ambae anammudu ishara ya mama kaamua kuendesha show yake mwenyewe.

VP akiwa mtu ambae alikuwa powerful wakati wa Magufuli maana yake show ya Magu bado inaendelea.
 
Kama ni aina ya kiongozi hii nchi inahitaji kwa sasa ni kaliba ya Paul makonda. Wanadaresalam watakumbuka walinyooshwa kisawasawa na huyu jamaa. Kikubwa alikuwa haiogopi mtu. Mtakumbuka wakati wa sakata la madawa matajiri maboss wakubwa waliipata fresh.Uongozi hutakiwi kuwa na rafiki.Kama wanaohusika wakiona huu uzi naomba wafanye maamuzi ya busara kwa mstakabali wa nchi yetu.
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina....
Hawa wote ni ma born town wanafaa!

Kangi Lugola,
Dk Mollel
Chalamila
Mchungaji Gwajima
 
Paul Makonda yupi tena jamani!

Ama unamaanisha Daudi Bashite?
 
Eee wa chama cha wanawake liberia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nchi haijakosa wa kuiongoza to that extent!!!

Huyu bado yuko haunted na spirit ya former prezdaa,!!

Labda asubiri mwaka 2040 akachukue fomu kupitia chama chake!!
 
Labda makamu wa rais wa lebo ya WASAFI
 
Najua kwa sasa mama Samia atakuwa na mambo mengi sana lakini ningemuomba kwenye darubini zake amuangalie huyu jamaa. Anaonekana ni mtu mwenye busara sana nje ya usomi wake.

Rais yeyote anahitaji mtu mwenye busara kuwa makamu wake. Nafikiri watu wengi bado wanashindwa kotofautisha busara na usomi. Unaweza ukawa msomi sana lakini ukakosa busara, sio lazima eti ukiwa msomi eti utakuwa na busara moja kwa moja. Nafikiri mifano mingi tumeiona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…