Sijui ndio nimechanganyikiwa na hiki kifo cha ghafla cha Jembe letu,mpendwa wetu, kiongozi na mshauri wetu mkuu wa mambo ya Duniani,kuzimu & mbinguni.

Nimejikuta nawaza tu huenda nafasi ya makamu wa rais atapatiwa bwana Steven Wassirra akibebwa na uzoefu wake wa toka enzi za Nyerere
 
Utakuwa umepigwa kipapai wewe siyo bure.
 
Napendekeza Makamu wa Raisi awe January Makamba.
Hana makundi, ni mstaarabu, hana Jazba.
Mi nampendekeza huyo.
 
Kwani wakati ule wa teuzi za mawaziri,maRC MaDc etc ulipokuwa unapendelea upande mmoja si mlisema tuangalie uchapa kazi na sio DINI? Sasa leo nini tena,atakaeteuliwa yoyote atafaa cha msingi anauwezo wa kufanya kazi ipasavyo
Yangu enzi za nyerenyere aliweka usawa Kati ya dini hizi mbili. Kwa nafasi ya makamo na Rais. Huko kwenye dc na rc ni juhudi yako mwenyewe ya kujipendekeza
 
Natamani Rais awe na mawazo yako,sitamani Rais ambae watu wanaweza otea/kisia/bashiri Maamuzi yake

yani natamani kila aliewazwa asiwe huyo Rais aje na mtu wake anaemuamini yeye na ikibidi hata iwe kama ulivyo shauri.
 
January makamba is the best
Really?
Huo ndiyo naita ujinga. Uongozi siyo dini. Anayefaa ni yule ambaye anaiweza hiyo kazi kuliko mwingine yoyote. Wapi uliona CV ya kazi ikiwa na dini kama sifa mojawapo? Kama dini ni sifa ya hiyo kazi, kwa nini wewe usiombe uteuliwa kwa vile ni mkristo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…