Hivi Ghalib Bilal alikuwa makamu wa Rais wa Rais mwislamu? Mtoa mada acha kukariri hakuna sheria hiyo hizo ni hisia tu
 
Prof Mark Mwandosya.
 
Twende na Lukuvi, January bado dogo sana... Angalizo: mh. Lukuvi ukipewa nafasi usije kumletea mama etu umuch know kisa una Uzoefu wa muda mrefu serikalini! Pia usithubutu kuanza harakati za kuutaka urais! Juhudi zozote za kumkwamisha mama samia kwa maslahi yako binafsi zitakutokea puani!
 
Labda kakutuma. Iliwahi kumuona Kabudi akiongea jambo la maana zaidi ya propaganda? Na uongo. Mbona mna turudisha nyuma jamani. Hawa maprof wa Dr Jpm nadhani wote wamefeli. Hata Msukuma daras la saba H alikuwa ana waambia bungeni.
Kweli wengi wa maprofesa na madokta sasa warudi kufundisha,maana wameshajifunza kwa vitendo wa yale waliyokuwa wanafundisha,watajitathimini na kuelewesha wanafunzi namna ya kuishi na wanasiasa huku wakiweka mizania ya taaluma na elimu kwa vitendo unapokuwa unashughulika na masilahi ya nchi na wananchi.
 
Samia mama.
Kichwa kitakuuma.
Na mimi nomba uwasamehe masheikh wa uamsho.
Maana kila anaomba lake
 
Kwani wakati ule wa teuzi za mawaziri,maRC MaDc etc ulipokuwa unapendelea upande mmoja si mlisema tuangalie uchapa kazi na sio DINI? Sasa leo nini tena,atakaeteuliwa yoyote atafaa cha msingi anauwezo wa kufanya kazi ipasavyo

UMEONAEEH WANAFIKI SANA HAWA LEO NDIO WANAJUA KU BALANCE [emoji23][emoji23]
 
Nakubaliana kabisa na wewe. Huyo ndiye mtu sahihi kwa nafasi hiyo.
 
Haya mambo ya mchague huyu mchague yule ndo mambo aliyokuwa hayataki magufuli.
Tumuache mwenyewe achague.
 
Toa maoni yako. Sasa ukishakuwa Kima ndio unakuwaje kwa mfano. Watu wenye makengeza ya akili utawajua tu. Kabudi ndiye alisimamia mabadiriko ya mikataba ya madini ambayo awali tuliliibiwa kama taifa. Na mengine
 

Mpaka hapo hafai huyo Lukuvi.
 
Ni kweli.. Ila kwa jinsi Bashiru alivyomganda Madam President nadhani atamsumbua sana kocha kupanga kikosi.

Na Madam awe makini sana na huyu. Huwa anakaba balaa, ila kwa maslahi yake tu. Hiyo tabia yake ya kukaba siipendi, nahisi anakera.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…