daah...Jf siamini km Jf imeshuka kiasi hiki. mtu anatoa hoja nzito bila kuweka ushahidi/utetezi wowote wa kuitetea hoja yake? naungana na wanaosema mfumo wa elimu yetu ufumuliwe na kujengwa upya vijana wanashindwa japo kujenga hoja tuYule jamaa wa twitter mshamuachia akili yote, anawageuza tu
Yawekena katibu mkuuHeshima sana wanajamvi,
Dalili zote zinaonyesha Emanuel Nchimbi ana nafasi kubwa ya kuteuliwa kushika wadhifa wa Makamu wa Rais.
Ni hayo tu kwa leo
Hivi wewe unamchukia kafanya Baya Lipi, Hebu tuongee ukweli kabisaaHatubebi mizigo sisi na upuuzi wa huyo assad na shem wake zito!
Kwa Mm naona anafaaHeshima sana wanajamvi,
Dalili zote zinaonyesha Emanuel Nchimbi ana nafasi kubwa ya kuteuliwa kushika wadhifa wa Makamu wa Rais.
Ni hayo tu kwa leo
Nasikia yupo Dar tayariNdio yule yupo kule Brazil au ?
Nimeshuhudia.
Kwanza hajui kiingerezaHivi akiwa ndalichako kwa vile ni mwanamke mtamkataa,najua mkigoma yule anajua kukokomaa.
Too old. Can't learn new tricks.Vipi mzee Joseph Butiku!! Hawa ndio wazee wazalendo waliobaki!
Kwamba dini yake kikwazo au?Assad ni msomi mzuri ila ana sifa za Mohamed Said.
M. K. P. Pinda
Awamu ya kina ritzmonko inarudi ikiwa imejiimarisha zaidi. Na actually mwamuzi mkuu kwa sasa ni mkuu wahiyo kaya. By the time muhula unaisha tunakuwa nchi mpya inayoitwa Hutwang Se Kiang Black County.Ni YEYE. TUNARUDI KWENYE UFISADI TENA.
Acha bana mbona unatutisha??? Tuna majonzi ujueKanda pendwa ndio basi tena hakuna namna mtasubiri miaka 50 ijayo
Siyo sawa kumtuhumu mh Emmanuel Nchimbi kwa tuhuma za uongo.Kweli kabisa.
CCM wote ni kama matambala ya deki.
Hawaaminiani kabisa.
Kuteuwa wapinzani ni kuhalalisha uteuzi wenye uelekeo wa mrengo flani. Ni vizuri ikafanyika audit ya wateule wote na vigezo vilivyotumika kuwateua. Wasiofaa na kupendelewa watupishe, waonevu na wasiochapa kazi watupishe.CCM imeishiwa sana viongozi, ndio maana Magufuli alikuwa anateua wapinzani.