Kupewa Veteran ni muhimu, Rais wa JMT ni Mzanzibari, Rais wa Zanzibari na Makamu wake ni Wazanzibari.

Kama Rais wa JMT ni Mzanzibari, basi makamu wake awe wa bara na Mkristo kuweka usawa na kuondoa sintofahamu

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Moshi mwingi sana wamama wamekusudia kukamata uongozi wa nchi hii kwa kishindo ni kama wanataka kulipiza kisasi kwa miaka mingi waliyokuwepo benchi. Na wanasema hakuna kama mama, mibaba kibao imepita hawana jipya zaid ya kuota vitambi

Na dimba hili litameza mpaka nafasi za wakuu wa seemu mbali mbali polisi jeshi usalama na hilo linasemwa litaanza kwa kumpata makamo wa kike

Na inasemwa zipo damu changa zinazochemka mfano yule wa Kisarawe ameonyesha usisimuaji mkubwa katika kuongoza indicator ipo ya manjano huenda ikawaka nyekundu au kijani..! CCM bana

Sasa ni gumzo wanawake wanatupaisha kiana

Halo halooo !
 
Haiwezekani lakini pia inawezekana.ila Mambo yatakuwa hayaendi asiwekwe mama haiwezekani mzee.me mwenyewe nitaandamana
 
Hilo sahau! Makamu wa Rais atakuwa ni Mwanaume. Na jina tayari tunalo. Bado tu jina kupelekwa Bungeni, kumuidhinisha na kumtangaza.
 
Reactions: BAK
Ni sawa tu ilimradi katiba, sheria na taratibu zifuatwe, na sheria na taratibu mpya zisiwe kandamizi!
 
Sorry to say it will never happen. yes maybe kuna wanawake wengine but sio yule wa kisarawe. bado sana.
hiki cheo si cha shukrani
 
Haiwezekani lakini pia inawezekana.ila Mambo yatakuwa hayaendi asiwekwe mama haiwezekani mzee.me mwenyewe nitaandamana
Kama wanawake waliweza vumilia kipindi chote tena ndo wakiwa mitaji ya viongozi....basi nawewe vumilia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…