Hii nayo Ni point ya kuongezea Ila sasa shida gharama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao mliowataja wote ni wabunge wa majimbo.na huyu mama hawezi kuvunja katiba kama mnavyofikiria wala msimlishe matango pori.Kabudi,Mpango Mwigulu wote ni wabunge wakae pembeni tu
 
Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Tunaihitaji kwa udi na uvumba, haiwezekani tuishie njiani awamu yetu.
Kifuatacho 2025 ( Msukuma tena Dr Leonard Chamuriho ).
Basi hata Dr balozi Bashiru Ally Kakulwa tutampa maana tuna elements nae za kanda ya ziwa.
 
Ili kujenga umoja wa kitaifa Tundu A Lissu atafaa kuwa makamu wa rais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paul Makonda,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…