kashachoka!! tupo kwenye digital age sasaAu Andrew john Chenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kashachoka!! tupo kwenye digital age sasaAu Andrew john Chenge
Jina limetoka IDARA YA USALAMA WA TAIFAMi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.
Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,
Proffesor Mkenda, Mizengo Pinda.
Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
Dr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
Huyo mwigulu nchemba hafaiMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Huu ndo upumbavu ambao umetengeneza chuki katika hili taifa.Tunaihitaji kwa udi na uvumba, haiwezekani tuishie njiani awamu yetu.
Kifuatacho 2025 ( Msukuma tena Dr Leonard Chamuriho ).
Basi hata Dr balozi Bashiru Ally Kakulwa tutampa maana tuna elements nae za kanda ya ziwa.
Muda utasema. Huu ni wakati wa siasa za vyama vingi, ndio maana hata Lisu alitumia muda mwingi wa kampeni kanda hiyo, unafikiri ni mjinga.Hizo kura mgekuwa mmezipata kihalali hoja yako ingekuwa na mashiko.
Wewe mwenyewe unajua kuwa kura mliziiba tu.
Kipindi cha mzee Mwinyi mbona hakuteua msukuma kuwa VP ?
Wacha kujidanganya nakushauri kubali matokeo hata kama mtapatiwa angalau waziri atawatosha.
Matumbo baba matumboo,.yana njaa kaliViti vya Wahudhuriaji wa Msiba havijapangwa bado hadi Ratiba ya Msiba (Mazishi) haijapangwa tayari mmeshaanza kuja na hopeless Speculations zenu, hivi mkiambiwa nyie ni Wachawi mtabisha au Kukataa?
Ukiona hivyo huyo ni mgogoWewe kwako Kabudi siyo rojo,basi kaa kimya kwani huijui rojo
Mazishi kwanzaMama anaapishwa lini.
Mwigulu Ni katili kuliko ukatili wenyewe.Huyu jamaa hata fomu ya urais wasijekaa kumpa kwani ni hatari sana
Point yako haina mashiko ndiyo maana umeshindwa kujibu swali langu la kwanini Mwinyi hakuteua VP msukuma.Muda utasema. Huu ni wakati wa siasa za vyama vingi, ndio maana hata Lisu alitumia muda mwingi wa kampeni kanda hiyo, unafikiri ni mjinga.
Viti 10 angetengua akavigawa kwa upinzani kwa uwiano wa kura walizopata uchaguzi mkuu.Bila shaka kwa nafasi hii watu hawalali, Lumumba na viunga vyake, baraza la Mawaziri nalo lipo tumbo joto maana lazima pangua pangua itakuwepo, kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.
Nakuunga mkono 100%mi naona CCM iweke ma kando kando yao pembeni wampe tu kijana January Makamba - hasa wakikumbuka alikuwa kwenye top 5 wakati wa kumsaka Rais wa Tanzania... na ana uwezo mkubwa ukilinganisha na hao walamba viatu.