Huyo hana exposure kubwa ya uongozi na siasa. Zaidi ni mwanazuoni. Hafai hata kidogo.Ila inawezekana kweli Dr Leonard Chamihiro anaweza kupewa umakamu Rais. Kwa jinsi nilivyo ona mujadala mzito baada ya kuanza kwa rumaz za kifo chake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hana exposure kubwa ya uongozi na siasa. Zaidi ni mwanazuoni. Hafai hata kidogo.Ila inawezekana kweli Dr Leonard Chamihiro anaweza kupewa umakamu Rais. Kwa jinsi nilivyo ona mujadala mzito baada ya kuanza kwa rumaz za kifo chake
Hata kama huwapendi kisiasa huwezi ukatupilia mbali Mikoa tisa, Mara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu,Geita, Tabora, Rukwa, Kagera kwa sababu yeyote ile. Utawala ni siasa. Hata kama huwapendi.Umerogwa wewe,kwa taarifa yako safari hii wasukuma mnasukumwa pembeni
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
...mkuu kwa uelewa wangu makamu hawezi kuongoza taifa miaka minne iliobaki isipokuw atakalia kiti cha rais kwa siku 90 wakati tume ya taifa ikiandaa taratibu za uchaguzi...yeye atabakia kuwa makamu
Big NOMajaliwa anafaa kuwa makamu wa rais au rais.
Wasukuma mlie tu na kama watakuwepo ni kwenye nafasi za kawaida tu.Hata kama huwapendi kisiasa huwezi ukatupilia mbali Mikoa tisa, Mara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu,Geita, Tabora, Rukwa, Kagera kwa sababu yeyote ile. Utawala ni siasa. Hata kama huwapendi.
Mmawia wewe uko kwenye mipasho ni sio kujadili substance, sisi tunautaka sana Kilimanjaro, lakini jee wewe unaweza kuwatupa waliokupa kura asilimia 67% ya kura zote nchi nzima? Unawatawala watu au nyani?Wasukuma mlie tu na kama watakuwepo ni kwenye nafasi za kawaida tu .
Ngazi ya urais au makamu msahau kabisa
Atafaa, maana kiukweli sioni mtu wa kuvaa viatu vyake zaidi ya Kabudi, wengine wote nikiwaangalia nawaona ni rojo rojo kwa mabeberu
Siijui katiba yote, lakn angefaaHivi mkuu kweli unafatilia hata katiba ya nchi yako? Mtu akishakuwa Rais wa JMT hawezi kushika madaraka yoyote ya kiutumishi serikalini akishastaafu.
Jakaya Kikwete awe makamu wa Rais seriously?
Mwigulu ni katili mno!Mwigulu saw this coming akaanza jifanya mkarimu mtandaoni
Andrew John ChangeaMjinga mkubwa we Mwigulu huyu hyu aliyeshauri hadi mzee wetu yamemkuta?
Mwenye dola ndo anashika nchi. Tunahitaji tume huru, katiba mpya. Tunahitaji ambaye atajenga umoja wa kitaifa. Na huyu ni TALMkuu, JokaKuu - kama Taifa letu serious kufuata nyayo za Baba wa Taifa pamoja na mzalendo wa kweli ,mfatiliaji mahili na mchukia rushwa na ufisadi - binafsi naona kiumbe ambaye ana fit the bill ni "Bashiru A. Kakurwa" akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais kumsaidia a no nosense mama S. Hassan hao wawili ndio watasimamia to the letter mipango yote iliyo anzishwa na Mzalendo JPM na team yake, tukumbuke vile vile kwanba Kakurwa ana traits zote za Mwalimu Nyerere na JPM na kizuri zaidi hana makuu au kutaka kujikweza.
Waziri Mpango aendelea kusimamia Wizara yake anbayo aneonyesha umahili mkubwa wa kuisimamia na kwa kuwa Wizara yenyewe ndio life line ya Taifa letu - Waziri Mpango kama walivyo mama S.Hassan na Kakurwa hawana makuu au kutaka kujikweza au kuwapa leeway mafisadi ku-hold at ramsom Taifa letu they are as ckean as a whistle.Hayo ni maoni yangu I might be wrong.
Huyu jamaa hata fomu ya urais wasijekaa kumpa kwani ni hatari sana.Mwigulu ni katili mno!
Ana hulka ya full dictator kabisa.
Nchemba hapana, huyu siasa zake za kishari sana, labda kama mnataka mwendelezo wa yaliyokuwa mapungufu ya hayati?. Mwigulu kumpoteza mtu ktk jina la siasa na maslahi yake ni sekunde. Mrejeeni tangu enzi za JK.Mwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Hizo kura mgekuwa mmezipata kihalali hoja yako ingekuwa na mashiko.Mmawia wewe uko kwenye mipasho ni sio kujadili substance, sisi tunautaka sana Kilimanjaro, lakini jee wewe unaweza kuwatupa waliokupa kura asilimia 67% ya kura zote nchi nzima? Unawatawala wala au nyani?
Nakuunga mkonoJanuary Makamba
Advantage ana misimamo akisema A ni A hakuna kingine.
Disadvantage anawaza upuuzi sana kichwani kwake saa zingine, not realistic on priorities za 3 world country.
Huyo mtu hafai kwa nchi inayotaka kujikomboa kiuchumi, he never saw eye to eye na Magufuli.
NEMC kutoa vibali vya go ahead chini yake ilikuwa shida. Yote kutokana na upuuzi wake wa extensive environmental impact assessment zinazo chukua muda mrefu kukamilika.
Makamu wa raisi apewe Kassim Majaliwa alimuelewa Magufuli.
Ndo hapo inatakiwa afumue uongozi mzima uliochwa na hayati.Tatizo ile kanda wanaitaka hiyo nafasi ili kulinda maslahi yao hivyo mama Samia anatakiwa awe makini mno asije penyezewa mtu sio sahihi.Mungu amuongoze kwenye hilo huko mbeleni,wapo wana ccm wazuri tuu.
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
mi naona CCM iweke ma kando kando yao pembeni wampe tu kijana January Makamba - hasa wakikumbuka alikuwa kwenye top 5 wakati wa kumsaka Rais wa Tanzania... na ana uwezo mkubwa ukilinganisha na hao walamba viatu.Hakika,lkn kwa mawazo yangu Bashiru ,Mwigulu hao ni watu hawafai kabisa kuwepo kwenye level ya urais maana akili zao ni zilezile tu za kibaguzi