Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchemba hata uwaziri ulimshinda, ni mnafiki sana. Kabudi sawa na wengine wasio kwenye uwaziri kama KIMEIMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Kwa sababu ni mngoni mwenzako? Hatuko tayari kurudia makosa. Taja sifa zake hapa. Kinyume na hapo, mshauri abakie huko huko! Hatutaki kabisa watu wanafiki na wachumia tumbo safari hii.Nchimbi atafaa sana
Uanasiasa wake mzuri una tija gani kwa Taifa? Watanzania tunataka mtu mwenye maono na anayejitambua. Wanamtandao hatutaki hata kuwaona maana ubinafsi wao ndiyo umetufikisha hapa tulipo kama TaifaNchimbi ni mwana-Siasa mzuri lakini Samiah hawezi kukubali kirahisi hasa ukizingatia Lowassa yupo ndani ya nyumba!!! Kufanya hivyo itakuwa ni kama kukaribisha vuguvugu la urais 2025 kabla ya wakati na hivyo kumfanya Samiah atawale kwa shida wakati bila shaka hata mwenyewe (Samia) angependa agombee hiyo 2025!
Natamani kuona huyu Waziri Mkuu wa sasa akifyekelewa mbali. Mtu muongo abakie zake huko na uongo wake.Anthony Mtaka nafasi itamfaa kabisa ila napendekeza makamu asiwe Mtaka bali mtaka awe waziri wa elimu
Magufuli hakuwa mwana-Mtandao! Kutokuwa kwake mwana-Mtandao kumesaidia nini zaidi ya kuleta madhira kwa wananchi?!Uanasiasa wake mzuri una tija gani kwa Taifa? Watanzania tunataka mtu mwenye maono na anayejitambua. Wanamtandao hatutaki hata kuwaona maana ubinafsi wao ndiyo umetufikisha hapa tulipo kama Taifa
Naona huijui Tanzania vizuri
Suala la dini, jinsia
Mtu wa Bara /Zanzibar huwa linazingatiwa
Kakulwa bado ni underdog, ilitakiwa japo awe alishakuwa wazir, ila bahati ipo upande wake hata hicho cheo cha katibu mkuu kiongozi, kinaweza kimpwayeTunatakiwa tuangalie mtu ambaye ana msimamo, anaweza kusimamia mipango ya chama na serikali iliyopangwa kutekelezwa ndani ya miaka mitano ijayo, mtu mwenye kusimamia uchumi wa serikali na ambaye hatayumbishwa na mabeberu - wanaweza kumtoa kwenye mstari ashindwe kutekeleza malengo ya taifa ipasavyo! Kwa mtazamo wangu watu hawa wanafaa:-
1. Bashiru Ally Kakulwa
2. Andrew Chenge
3. Palamagamba Kabudi
4. Prof. Leonard Chamriho
Mwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Uzoefu ndani ya Chama na Serikali, Elimu, umri unamruhusu hatuhitaji wazee tena, Mwanadiplomasia, anaifahamu system vizuri, yuko ngangari so atamsaidia mama vizuri, amekuwa nje ya siasa zetu kwa takribani miaka mitano, ni catholic, huwezi kuepuka ku balance hilo. Pia italeta sura ya utaifa kutoka maeneo anayotoka.Kwa sababu ni mngoni mwenzako? Hatuko tayari kurudia makosa. Taja sifa zake hapa. Kinyume na hapo, mshauri abakie huko huko! Hatutaki kabisa watu wanafiki nawachumia tumbo safari hii.
Mi naona kati ya Chenge au Mkuchika wanafaa
Kikwete aliwahi kuwa na makamu mkristo?
Waziri mkuu alikua Lowasa na Pinda(Wakristo),nadhani jamaa anaongelea nafasi 3 za juu ni busara kuwe na mchanganyiko kama ilivyo kua Awamu zilizotangulia.Tulikuaga na Jakaya na Shein, Jakaya na Gharib Bilali..
Kipi ulipunguza? Ambacho wakati wa Magufuli na Samia ulikiongeza?
Magufuli alipendekezwa kamati kuu baada ya hao wana mtandao kulianzisha mara tu jina la mtu wao (Lowasa) kukatwa! Na huyo Nchimbi alishiriki kwenye ule mkwara ulio wasababishia kamati kuamua bora wakise wote!Magufuli hakuwa mwana-Mtandao! Kutokuwa kwake mwana-Mtandao kumesaidia nini zaidi ya kuleta madhira kwa wananchi?!
Naamini PM huyu aliepo tayari kaonesha uongo mwingi sana. Anatakiwa apatikane mwenye hofu ya Mungu haswaNatamani kuona huyu Waziri Mkuu wa sasa akifyekelewa mbali. Mtu muongo abakie zake huko na uongo wake.