Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Umelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata kweli kabisa atakuwa amekula bingo 100%!! Halafu anamrudisha asha rose mtengeti kama waziri wa mambo ya nje!Akimleta MWANDOSYA kuwa VP..hapo mama atapiga bingo...[emoji2211]
Stupid ondoa usukuma hapa, ukabila ukanda and the like.Najua kwa sasa mama Samia atakuwa na mambo mengi sana lakini ningemuomba kwenye darubini zake amuangalie huyu jamaa. Anaonekana ni mtu mwenye busara sana nje ya usomi wake.
Kikwete plus dr shain badae bilali icho sio kigezo mzeeKigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe Mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria.
Utashangaa linaletwa jitu kama Bashiru au Gwajiboy au Mimacho!Kwa maoni yangu Bwana Anthony Mtaka anafaa kuwa VP, kijana huyu hana makandokando nani mchapa kazi. Raisi Samia piga jicho hapo.Hasante
Acha kujipigia chapuo, ulilewa vile visifa?Kwa maoni yangu Bwana Anthony Mtaka anafaa kuwa VP, kijana huyu hana makandokando nani mchapa kazi. Raisi Samia piga jicho hapo.Hasante
Ha ha ha haaaaa.. VP na PM wote wawe wanawake!Utashangaa linaletwa jitu kama Bashiru au Gwajiboy au Mimacho...!
Mi nadhani angeteua mwanamke kabisa ili pale juu pawe level...!!
Mbona miaka ya nyuma kabla ya 2015 wanaume walijikweza wenyewe tu pale kileleni??Ha ha ha haaaaa.. VP na PM wote wawe wanawake!
Ni kweli.. Ila kwa jinsi Bashiru alivyomganda Madam President nadhani atamsumbua sana kocha kupanga kikosi.Mbona miaka ya nyuma kabla ya 2015 wanaume walijikweza wenyewe tu pale kileleni??
Bashiru na mataga wanakaba kama Onyango wa #SimbaNi kweli.. Ila kwa jinsi Bashiru alivyomganda Madam President nadhani atamsumbua sana kocha kupanga kikosi
You have to go past me[emoji16]Hiyo nafasi ni yangu kabisa wala msihangaike
Wewe endelea tu kuipambania Klabu yako iruhusiwe kuingiza mashabiki uwanjani! Huku waachie wenye chama chao!! CCM ASILI pamoja na wale ccm makinikia.Hiyo nafasi ni yangu kabisa wala msihangaike