battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Utakuta ikulu wanasukana nywele, na kupanga harusi za watoto wao, na kupeana sare.Weka makamu mwanamke na waziri mkuu mwanamke tuwe na sare sare maua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuta ikulu wanasukana nywele, na kupanga harusi za watoto wao, na kupeana sare.Weka makamu mwanamke na waziri mkuu mwanamke tuwe na sare sare maua!
Daaah ww jamaa muongo kweli, yule jamaa 38Umri wa Mtaka ni miaka 38, wakati Makamu wa rais anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 40. Hivyo vigezo na masharti vinamuondoa mara moja.
Mkuu nimecheka sanaKama kawaida, mzee wa Msoga na mazingaombwe yake. Yeye ni mfitini mzuri, lazima atakuja na majina yake mfukoni. Safari hii usishangae jina la Ridhwani Kikwete, Mama Salma Kikwete, January Makamba yakawepo kwenye orodha yake.
Yule dingi ni tapeli fulani hivi wa kiswahili.
[emoji16][emoji16][emoji16] uto atabakia kua Uto labda tumpe nchi MwakalebelaChaguanen wote lakn mm nataka awe mwanachama wa yanga tu mengine tutajua mbele ya safar
Kumeumana huko Lumumba mkuu..Katiba imebadilishwa lini kutoka CAG mpaka CIG.
Duuh kweli kifo cha Magu kitabadilisha mambo mengi sana
Tanzania haina dini, hatuchaguani kwa mujibu wa dini zetu.Pale anapaswa kuwepo Mkristo, haiwezekani
-Rais Muislam
-Makamu wa Rais Muislam
-Waziri Mkuu Muislam
-Rais wa Zanzibar Muislam
-Makamu wa Rais Zanzibar Muislam
-Katibu Mkuu kiongozi bara Muislam
-Katibu Mkuu kiongozi zanzibar Muislam
-Mawaziri wote Zanzibar Waislam
Its better awe fair.
[emoji16][emoji16][emoji16] mkalimani kabisa huyuKumeumana huko Lumumba mkuu.. View attachment 1736620
Ndivyo atakavyoUnataka timu isomeke hivi:-
1. Samia S HASSAN
2. Bashiru ALLY
2. Majaliwa KASSIM
Nitajie ni mwaka upi viongozi wakuu yaani Rais, Makamu wa Rais, na Waziri Mkuu walikuwa wakristo wote.Tanzania haina dini, hatuchaguani kwa mujibu wa dini zetu.
Usitupeleke huko, .
Mbona Viongozi wakuu wa nchi wanapokuwa Wakiristo watupu huoni kuwa ni tatizo?
Na waislamu walikuwa wanaugulia chini kwa chini ,lakini waliogopa kuvunja umoja wa kitaifa kwa kauli mbiu kuwa Tanzania haina dini.
Vumilia uongozwe na Maustazi na Mashehe.
Hili ni taifa letu sote.
Alicho Fanya bashite kumfukuza manji yanga unaona sawa mm kwa naombea mwigulu awe Rais wa tz[emoji16][emoji16][emoji16] uto atabakia kua Uto labda tumpe nchi Mwakalebela
Mpishi wake tenaMeko ?
Wewe utakuwa mpishi wake labda
Dr. Slaa kiboko ya Wahuni kama MboweAcha kumpa kichwa! Kiufupi tu hafai. Maana kwa miaka kadhaa sasa akili zake amemkabidhi Josephine Mushumbushi amshikie, kinyume kabisa cha utaratibu wa kawaida wa kibinadamu.