Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

Sawa Mtakatifu Glenn. BT Mimi si ndezi hao ndezi wapi huko kwenu ukizngatia hata sjui ndezi wako VP bt Mimi si ndezi na atakuwa ndezi ever.
Uzuri watu WA namna yako wote niliwakaribisha hapa.
Sawa ndezi wangu[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Tutajuaje usipoeleza?
Pili hapa maelezo ni ya upande mmoja lakini huyo Muha hana nafasi ya kueleza yake kuwa kwanini amekubadilikia.
Hivyo hatuko kwenye nafasi ya kushauri au kulaumu au kuhukumu sawasawa bila kujua undani wa tatizo.
Nenda Umtafute huko akueleze kwanini kanibadilikia kisha uje ulete humu.
Si tayari nilishaachana naye kwani kuna mahali umeona nimemng'ang'ania au namtafutA?

Kuna mahali nmesema ahukumiwe humu?
Hayo maelezo ya upande wake unayoyataka si jukumu langu mi naeleza yaliyonisibu mpaka naachana naye.
Kama ana mazuri pia ni kweli yapo hakuna mwanadamu mwenye mabaya Tu hata mwehu anayo mazuri.
 
Una stress na huelewi hilo kaka
 
Sawa ndezi wangu[emoji38][emoji38][emoji38]
Siwezi kuwa ndezi wako maana mi siwapendi mashoga.
Kuna Mtu nmemuulza maana ya neno ndezi kaniambia ni mwanaume anayefira mashoga.
Kwahiyo Mimi si Mtu WA namna hiyo.
 
Siwezi kuwa ndezi wako maana mi siwapendi mashoga.
Kuna Mtu nmemuulza maana ya neno ndezi kaniambia ni mwanaume anayefira mashoga.
Kwahiyo Mimi si Mtu WA namna hiyo.
Kweli wewe ndezi, unadanganywa kiboya sana.

Ndezi ni mtu zuzu
 
Kweli wewe ndezi, unadanganywa kiboya sana.

Ndezi ni mtu zuzu
Mi sjui nachojua ni hiki nilichoambiwa kwamba ndezi ni kidume anayefira mashoga.
Kwahiyo Mimi si ndezi wako na uache kutangaza humu kwamba Mimi ni ndezi wako.

Kama Una uhakika ndezi maana yake ni zuzu weka maana ya Hilo neno kupitia dictionary hapa nitaamini.
 
Pole sana ila pia unakosea sana. Wanawake hasa wakishika mimba wengi huathirika na kichaa cha mimba. Usipomuelewa unaweza dhani anajifanya. Huyo mke wako unayempachika jina la ukabila ni mgonjwa wa akili. Hukupaswa kumumtambulisha kwa jina la ukabila. Kichaa cha mimba hakiangalii kabila. Ila kwa hatua uliyofikia umemtesa sana huyo binti.
 
SiNa namna nyingne zaidi nasubiri nije kumchukua kisheria Tu Ila kwasasa staki Kwa namna yoyote mawasiliano na mama yake eti kisa mtoto big noooooo.

May be anakichaa Mi sjui atajuana mwenyewe huko na bwana aliyenaye kwasasa.
Otherwise si mke Wangu kwahiyo usiseme ni mke Wangu.
 
EL PATRON manaake ni nini nayo?
 
Haya Mtakatifu Wewe Kwa taarifa yako ninajua ninachokifanya na sitabadilisha misimamo wangu kutokana na Mtu ninayepambana naye kitakachofata NI kuchukia Mtoto kisheria basi maana siku naondoka nilimwambia niondoke na Mtoto akasema nisithubutu Labda nimkate kichwa ndo nimchukue Mtoto Ila kama ningemchukua hakika asingemuona mpaka ukubwani huko Mtoto wenyewe aamue kwenda Kwa mama yake otherwise wokovu wangu si WA kufurahisha wanadamu Ila Mungu pekee komaa na ya kwako.
 
Nani kajiita mtakatifu hapo au kuna sehemu nimesema mimi mtakatifu?

Wewe uliyesema umeokoka na unayajua maandiko, huku nyuma umetelekeza mtoto wako kisa ugomvi wa mzazi mwenzio.

Huyo mtoto ni Msalaba wako Mungu aliokupatia, ubebe haijalishi mzazi mwenzio anatabia gani.
 
Kwa nini unatumia ukabila kumuelezea???? Hivi kuwa Muha ni kosa????? Huyo mkeo wa zamani anahicho kichaa. Ni vizuri ukaelewa. Nina uhakika mkeo alianza matatizo baada ya kuwa mjamzito, na wewe inaonekana baada ya kujifungua hukumuelewa. Mifumo yetu ya afya ingelazimisha mume na mke wahudhurie kliniki ili mume apewe elimu ya mke akiwa mja mzito pamoja na malezi ya mtoto.
 
HaYAKuhusu ukizngatia sjaomba msaada ya kulea Mtoto kwahiyo usinifundishe nakabiliana vipi na Hali ya Mtoto wangu Hilo si jukumu lako Mambo ya wokovu wangu si jukumu la wanadamu kwahiyo TOA ushauri kisha ukomae na yako.
 
HaYAKuhusu ukizngatia sjaomba msaada ya kulea Mtoto kwahiyo usinifundishe nakabiliana vipi na Hali ya Mtoto wangu Hilo si jukumu lako Mambo ya wokovu wangu si jukumu la wanadamu kwahiyo TOA ushauri kisha ukomae na yako.
Unalea vip mtoto wakati yupo kwa mama yake. Halafu sasa unakasirika nini ndugu mlokole kwani kuna sehemu nimesema nataka kukupa msaada, hili ungetaka liwe lako peke yako ungekaa nalo mwenyewe ila kwa kuwa umelileta humu kwenye mitanda ya jamii lishakuwa lakijamii na sisi wanajamii wa JF, tunakushangaa mlokole uliye tekeleza mtoto wako kisa ugomvi wa mwenza wako.
 
mtoa mada nimekuvisha cheo cha u field marshal kwa hiki ulichokifanya hakika ni uamuzi wenye busara tele,mungu akubaliki na akujalie yaliyo mema,hujamwaga damu wala hujakufuru amini mtoto wako atakufuata tuu,na utaishi nae usijegeuka nyuma kumsalimia wala kumuongelesha huyo mwanamke,wanaokubeza ni either hawajawahi kupitia hiyo hali au hawajui lolote kuhusu mikasa kama hii.
Wewe umekuwa mfano bora na mzuri kabisa wa kufuatwa umekuwa role model wangu I SALUTE YOU
 
Na bahati mbaya hujui Nina ndugu WA Aina gani aisee kuna majitu ni manafiki Sana ukae ukijua.
Naanza kuhisi huenda na wewe una matatizo; ugombane na mzazi mwenzio kwasababu ya matatizo halafu na ndugu zako nao huwaamini???? Inafikirisha kidogo kaka; anyway pole cause is like ulimtuhumu mkeo/mzazi mwenzio kwamba ni MCHAWI but pamoja na udhaifu wa WAHA kwa mambo yao ya ubishi nk but ukweli WAHA ni miongoni mwa wanawake wavumilivu sana katika ndoa, mwanamke wa KIHA kuachika kwenye ndoa hua ni MTIHANI sana, wanyaturu....,anyway ngoja nihifadhi akiba ya maneno for sometimes
 
Ukute anamtafuta akamfungulie mashitaka ya kutekeleza mtoto u never know, kama mtoa anasema kweli kwenye nyuzi zake zote za Muha basi jamaa ni mvumilivu na mpole sana kwa king'ang'aniz cha huyo mwanamke wanaweza uana bure hivyo niko upande wa mleta mada na hongera kwa maamuzi yasiyo na shari . Bwana akuongoze katika hilo AMEN.


Aman iwe nawe EL ELYON
 
Bro wewe ndio unajua ukubwa wa vita unayo pigana sisi wengine wasomaji tu .... Kama mbinu ulio amua kuitumia umeona inakusaidia kumbuluza adui yako kisawasawa Basi shikilia hapohapo na piga spana zaidiii....hayo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…