Sawa ndezi wangu[emoji38][emoji38][emoji38]Sawa Mtakatifu Glenn. BT Mimi si ndezi hao ndezi wapi huko kwenu ukizngatia hata sjui ndezi wako VP bt Mimi si ndezi na atakuwa ndezi ever.
Uzuri watu WA namna yako wote niliwakaribisha hapa.
Nenda Umtafute huko akueleze kwanini kanibadilikia kisha uje ulete humu.Tutajuaje usipoeleza?
Pili hapa maelezo ni ya upande mmoja lakini huyo Muha hana nafasi ya kueleza yake kuwa kwanini amekubadilikia.
Hivyo hatuko kwenye nafasi ya kushauri au kulaumu au kuhukumu sawasawa bila kujua undani wa tatizo.
Una stress na huelewi hilo kakaNenda Umtafute huko akueleze kwanini kanibadilikia kisha uje ulete humu.
Si tayari nilishaachana naye kwani kuna mahali umeona nimemng'ang'ania au namtafutA?
Kuna mahali nmesema ahukumiwe humu?
Hayo maelezo ya upande wake unayoyataka si jukumu langu mi naeleza yaliyonisibu mpaka naachana naye.
Kama ana mazuri pia ni kweli yapo hakuna mwanadamu mwenye mabaya Tu hata mwehu anayo mazuri.
Kweli wewe ndezi, unadanganywa kiboya sana.Siwezi kuwa ndezi wako maana mi siwapendi mashoga.
Kuna Mtu nmemuulza maana ya neno ndezi kaniambia ni mwanaume anayefira mashoga.
Kwahiyo Mimi si Mtu WA namna hiyo.
Mi sjui nachojua ni hiki nilichoambiwa kwamba ndezi ni kidume anayefira mashoga.Kweli wewe ndezi, unadanganywa kiboya sana.
Ndezi ni mtu zuzu
Pole sana ila pia unakosea sana. Wanawake hasa wakishika mimba wengi huathirika na kichaa cha mimba. Usipomuelewa unaweza dhani anajifanya. Huyo mke wako unayempachika jina la ukabila ni mgonjwa wa akili. Hukupaswa kumumtambulisha kwa jina la ukabila. Kichaa cha mimba hakiangalii kabila. Ila kwa hatua uliyofikia umemtesa sana huyo binti.Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.
Leo naendelea na kisa cha aliyekuwa mwanamke wangu muha WA kigoma.
Sasa RASMI niliamua kuondoka zangu nakumbuka niliamka alfajiri Sana kujiandaa maana nilikuwa nalala sebuleni tena chini nimetandika godoro yea alikuwa analala chumbani na mtoto.
Wakati namalizia kujiandaa Naye muha aliamka kujiandaa na kumuandaa mtoto aende shule basi nikiwa napanga begi langu vema huku mtoto wangu amekati pembeni ananitazama Kwa upole Sana niLimuagA Nikampa sarafu nyingi sana za Mia mbili Mia mbili nikamwambia nenda uweke utakuwa unachukua kidogo kidogo uzuri mtoto wangu anajielewa, basi nilimuaga nikabeba begi langu nikatoka muha alikuwa nje nikampita kama umeme maana tulikuwa hatusalimiani kabisa.
Sasa nilipoondoka zilipita Kama wiki mbili muha akaanza kupiga Simu Nikawa sipokei zoezi Hilo alipoona limekuwa gumu akawa anatuma SMS nzito naamka asubuhi nakuta SMS hata 20 zmejaa matusi na kashifa nzito nzto kiukweli skuwa namjibu.
Zoezi Hilo lilikwisha baada ya Mimi kuamua Ku renew line Yangu ya zamani Sana akawa amekosa mawasiliano Yangu.
Sasa akahamia Kwa ndugu zangu ambao alikuwa na namba zao akawa anawapigia ananituhumu kwa tuhuma za uwongo kama zote mara eti sipigi Simu kusalimia mtoto na Mambo MENGINE mengi Tu ya ajabu ajabu.
Nilipopata taarifa hizo nikawapiga marufuku hao ndugu zangu kuwasiliana Naye.
Akahamia FB akiona jina la rafiki Yangu anatuma SMS messenger akidai ananitafuta kwani Mimi nmeondoka sisaidii chochote WALA Sjari kuhusu mtoto bila kusahau kashifa kama zote.
Nako nikapiga pin nikadelete na akaunti Yangu ya FB nikafungua nyngn isiyo na majina Yangu kabisa ndo natumia mpk Leo na sina urafiki na watu au ndugu zangu wote lengo likiwa staki muha apate taarifa zangu Kwa namna yoyoye Ile.
Ilipita miezi kadhaa nashangaa SKU moja jioni nipo zangu nmejipumzsha naona SMS WhatsApp ikisema 👉 naona umeoa mrembo eti.
Mmmmh kucheck namba naona ni ya muha na picha yake. Kuhusu kujua urembo wa mke wangu aliona kwenye profile yangu maana nimeweka ya mke wangu. Mke wangu ni mrembo si mnajua wanyaturu 🤗🤗😂😂🤭.
Niliamua kuvunja Line zangu zote nikasajiri mpya nikahakikisha ndugu zangu hawana zaidi ya watu WA ofisini na baadhi ya rafiki zangu ambao nawaamini Sana Ila Kwa masharti wasimpe mtu yeyote namba yangu mpaka waniulze.
Nikampa na ndugu yangu mmoja namuamini Sana nikamwambia watu wakiniulzia waambie hujui Niko wapi WALA huna mawasiliano yangu.
Mpaka Leo tunavyozungumza hapa imepita miaka muha hajawahi kukata tamaa ya kunisaka.
Misimamo wangu stakanyaga tena alipo na staki kuonana Naye Kwa namna yoyote Ile staki Dar huwa naenda kikazi lakini sjawahi shawishika hata KWENDA kumsalimia mtoto wangu japo inaniuma lakini tafanyaje SASA wakuu.
Karibuni wakuu Kwa maoni, kejeri, matusi, ujuaji, dharau, ushauri, pole NK.
SiNa namna nyingne zaidi nasubiri nije kumchukua kisheria Tu Ila kwasasa staki Kwa namna yoyote mawasiliano na mama yake eti kisa mtoto big noooooo.Pole sana ila pia unakosea sana. Wanawake hasa wakishika mimba wengi huathirika na kichaa cha mimba. Usipomuelewa unaweza dhani anajifanya. Huyo mke wako unayempachika jina la ukabila ni mgonjwa wa akili. Hukupaswa kumumtambulisha kwa jina la ukabila. Kichaa cha mimba hakiangalii kabila. Ila kwa hatua uliyofikia umemtesa sana huyo binti.
EL PATRON manaake ni nini nayo?Mkuu pole Sana Kwa kutokujua Mambo aisee Kwa taarifa yako mi ni mlokole hasa na maandiko nayajua vema.
El Elyon NI sifa ya Mungu kwamba ni aliye juu Zaidi hii ni sifa si jina lake.
El Gibor ni sifa ya Mungu kwamba mwenye nguvu si jina la Mungu.
El Shadai ni sifa ya Mungu kwamba asiyepungukiwa au mtoshelevu si jina la Mungu. Ndo like jina maarufu la Elisha watu wanaitwa ndo hiyo el Shadai.
El Ohinu ni sifa ya Mungu kwamba Hana WA kufanana naye ni WA pekee si jina la Mungu.
Rafa ni sifa ya Mungu ikiwa na MAANA mponyaji si jina la Mungu.
KAMA NINGEJIITA JEHOVAH AU YAHWEH hapo kweli ingekuwa shida Ila nmejiita sifa za Mungu kwamba NIPO juu Zaidi kuliko wachawi, waganga, magonjwa, shetani
Siogopi chochote maana NIPO juu Zaidi ya hila na wenye hila.
Nina mtoto Wangu nimemuita EL GIBOR kwamba ana nguvu ya kushindana na chochote.
Kama hujaolewa basi amini unavyoamini mkuu.
Haya Mtakatifu Wewe Kwa taarifa yako ninajua ninachokifanya na sitabadilisha misimamo wangu kutokana na Mtu ninayepambana naye kitakachofata NI kuchukia Mtoto kisheria basi maana siku naondoka nilimwambia niondoke na Mtoto akasema nisithubutu Labda nimkate kichwa ndo nimchukue Mtoto Ila kama ningemchukua hakika asingemuona mpaka ukubwani huko Mtoto wenyewe aamue kwenda Kwa mama yake otherwise wokovu wangu si WA kufurahisha wanadamu Ila Mungu pekee komaa na ya kwako.Kuokoa kitu kingine na kuiishi uokovu ni kitu kingine,unajiita mlokole wakati una dhambi ya kutotimizia wajibu wako kwa mtoto wako uliomzaa kisa ugomvi na mzazi mwenzio,tena kwa maksudi.
Unayajua maandiko ila huyaishi hayo maandiko ya Mungu,manake pamoja na kuyajua haya kujengi kiroho sababu huyaishi.
Nani kajiita mtakatifu hapo au kuna sehemu nimesema mimi mtakatifu?Haya Mtakatifu Wewe Kwa taarifa yako ninajua ninachokifanya na sitabadilisha misimamo wangu kutokana na Mtu ninayepambana naye kitakachofata NI kuchukia Mtoto kisheria basi maana siku naondoka nilimwambia niondoke na Mtoto akasema nisithubutu Labda nimkate kichwa ndo nimchukue Mtoto Ila kama ningemchukua hakika asingemuona mpaka ukubwani huko Mtoto wenyewe aamue kwenda Kwa mama yake otherwise wokovu wangu si WA kufurahisha wanadamu Ila Mungu pekee komaa na ya kwako.
Kwa nini unatumia ukabila kumuelezea???? Hivi kuwa Muha ni kosa????? Huyo mkeo wa zamani anahicho kichaa. Ni vizuri ukaelewa. Nina uhakika mkeo alianza matatizo baada ya kuwa mjamzito, na wewe inaonekana baada ya kujifungua hukumuelewa. Mifumo yetu ya afya ingelazimisha mume na mke wahudhurie kliniki ili mume apewe elimu ya mke akiwa mja mzito pamoja na malezi ya mtoto.SiNa namna nyingne zaidi nasubiri nije kumchukua kisheria Tu Ila kwasasa staki Kwa namna yoyote mawasiliano na mama yake eti kisa mtoto big noooooo.
May be anakichaa Mi sjui atajuana mwenyewe huko na bwana aliyenaye kwasasa.
Otherwise si mke Wangu kwahiyo usiseme ni mke Wangu.
HaYAKuhusu ukizngatia sjaomba msaada ya kulea Mtoto kwahiyo usinifundishe nakabiliana vipi na Hali ya Mtoto wangu Hilo si jukumu lako Mambo ya wokovu wangu si jukumu la wanadamu kwahiyo TOA ushauri kisha ukomae na yako.Nani kajiita mtakatifu hapo au kuna sehemu nimesema mimi mtakatifu?
Wewe uliyesema umeokoka na unayajua maandiko, huku nyuma umetelekeza mtoto wako kisa ugomvi wa mzazi mwenzio.
Huyo mtoto ni Msalaba wako Mungu aliokupatia, ubebe haijalishi mzazi mwenzio anatabia gani.
Unalea vip mtoto wakati yupo kwa mama yake. Halafu sasa unakasirika nini ndugu mlokole kwani kuna sehemu nimesema nataka kukupa msaada, hili ungetaka liwe lako peke yako ungekaa nalo mwenyewe ila kwa kuwa umelileta humu kwenye mitanda ya jamii lishakuwa lakijamii na sisi wanajamii wa JF, tunakushangaa mlokole uliye tekeleza mtoto wako kisa ugomvi wa mwenza wako.HaYAKuhusu ukizngatia sjaomba msaada ya kulea Mtoto kwahiyo usinifundishe nakabiliana vipi na Hali ya Mtoto wangu Hilo si jukumu lako Mambo ya wokovu wangu si jukumu la wanadamu kwahiyo TOA ushauri kisha ukomae na yako.
Ana feli wapi kula hiyo mbususu inayojileta.
Naanza kuhisi huenda na wewe una matatizo; ugombane na mzazi mwenzio kwasababu ya matatizo halafu na ndugu zako nao huwaamini???? Inafikirisha kidogo kaka; anyway pole cause is like ulimtuhumu mkeo/mzazi mwenzio kwamba ni MCHAWI but pamoja na udhaifu wa WAHA kwa mambo yao ya ubishi nk but ukweli WAHA ni miongoni mwa wanawake wavumilivu sana katika ndoa, mwanamke wa KIHA kuachika kwenye ndoa hua ni MTIHANI sana, wanyaturu....,anyway ngoja nihifadhi akiba ya maneno for sometimesNa bahati mbaya hujui Nina ndugu WA Aina gani aisee kuna majitu ni manafiki Sana ukae ukijua.