Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

Huo ubavu WA kunifungulia mashitaka kuhusu kutelekeza mtoto Hana angeshaenda muda sana mi nilishampga maelekezo siku naondoka baada ya kumwambia anipe mtoto Wangu niondoke Naye akajiapiza mtoto hatoki land nimkate kichwa na si vinginevyo. Nakmwambia Sawa Ila ikitokea SASA umeamua kutokaa Naye mpeleke nyumbani Kwa Mzee tapata taarifa watamsafirisha. Hiki ndicho nilimalza kuhusu mtoto Wangu.
Haya mengne mnaosema humu nimetelekeza mtoto as if mi sjielewi uwenda huyo mwanamke hamjui Tu ni mpenda Shari na alishaandaa mazngira mi nimfanyie tukio anifunge mara nyingi Tu.
 
Mhhhh, hizi tabia ni kama za Mama Diamond tena mwanamke mwenyewe ni Muha, nahisi atakuwa yeye tu. Hongera mkuu.
 
Bro wewe ndio unajua ukubwa wa vita unayo pigana sisi wengine wasomaji tu .... Kama mbinu ulio amua kuitumia umeona inakusaidia kumbuluza adui yako kisawasawa Basi shikilia hapohapo na piga spana zaidiii....hayo tu
Kwa kweli imenisaidia Sana maana alijua akilazmisha kubaki na mtoto siwezi kuwa mbali na kuwasiliana Naye kisa Mtoto SASA nilijisemea hakika stapiga Simu wala SMS kuhusu kusalimia mtoto na stakanyaga tena mji ule sasa akiwasiliana na ndugu yangu yeyote lazma aseme eti sipigi hata Simu kusalimia mtoto wakati mwanzo hakuwahi sema hayo sahivi nini kinamuwasha alinitukania mpaka wazazi Wangu na ndugu zangu.
 

Ana feli wapi kula hiyo mbususu inayojileta.

Halafu wanaume rijali HATUKIMBII WATOTO, TUNALEA NA KUWAKUZA.

#YNWA
Haya peNGINE Huko kwenu ndo mnafundishana ulijari ni kulea watoto haya endeleeni maana hujui unaongea ujinga gani narudia mara Kwa mara humu kuhusu mtoto Wangu bado kuna wapuuzi wanalazmisha nimetelekeza mtoto SASA stajibu tena kuhusu mtoto
 
Haya MTaFUTE YUle muha mwenzio uoe mvumiliane.
Swala la mwanamke mvumilivu, malaya, mpole, mkali NK havina kabila siku zote makabila yote Yana wadada wavumilivu na wapiganaji kwenye familia zao.
Fatilia kesi ya Mbowe Yule mke WA komando adamoo uone alivyopambana kutafuta mumewe mpaka tone la mwisho akajua Yuko wapi huo ni uvumilivu mkubwa Sana je Naye ni muha. Ujinga na ujuaji mwingi upo humu jf MTU uspokuwa makini ukiyafata ya humu utashindwa simamia msimamo wako na maisha yako kwahiyo sitayumbishwa na Aina ya maneno yoyote Yale toka humu zaidi taangalia nachohisi kitanifaa Mimi na maisha yangu si kuwapendeza wanadamu over.
 
Dear we ndugu zako wote unaelewana nao Ninao NduGu NInaoelEwana naO Sana Na wengine ma snitch tu Adui wa mtu Ni Yul Wa nyuMBANi MWakE. Siwezi kuja pendwa na kilA mtu Maana mimi si pesa
 
Dear we ndugu zako wote unaelewana nao Ninao NduGu NInaoelEwana naO Sana Na wengine ma snitch tu Adui wa mtu Ni Yul Wa nyuMBANi MWakE. Siwezi kuja pendwa na kilA mtu Maana mimi si pesa
 
Sasa mtoto anaingiaje kwenye Ukorofi wa baba na mama???

Mama atatumia chance ya mtoto kulazimisha kurudiana na baba au kuibua kasheshe za kila namna.
Yani huyo mama hatashuka akubali ni kulea mtoto tu, lazima aje na matukio mazito zaidi
 
Kidogo umenistua mkuu,,,umesema miaka imepita bila kukuona mtoto,,,,fikra zako unadhania analelewa na Nani....???
 
Tatizo unataka kushinda kuliko kupojea mawazo mapya ya kujenga
 
Hii ni chai sema tuu ina sukari..
 
Mama atatumia chance ya mtoto kulazimisha kurudiana na baba au kuibua kasheshe za kila namna.
Yani huyo mama hatashuka akubali ni kulea mtoto tu, lazima aje na matukio mazito zaidi
Watu wengine HUMU ni Kula kulala wengine wapo geto Tu wengine hawajawahi kuishi na mke hawajui changamoto ZAKE na huwà ni wajuaji kweli kwahiyo wao huchukulia poa tena hutoa majibu rahisi Tu kwamba si uende ufanye hivi
 
Kidogo umenistua mkuu,,,umesema miaka imepita bila kukuona mtoto,,,,fikra zako unadhania analelewa na Nani....???
Kwani We umeona nmeandika yupo Kwa Nani?
 
Naam uko sahihi...amechukua jina la Mungu na sifa yake akajiita hivyo....hii ni tofauti na majina kama Daniel, Joshua n.k ambayo nayo yameelezea sifa za Mungu.

Yaani kama hauwezi ukachagua username ya namna hiyo...maana username ni kama jina lako uliloamua kujitambulisha nalo.

As a mere mortal...it is wrong for one to identify himself as "The Most High God."
 
Yeah sure Yani Ni Sawa Na Muislamu ajiite Allahu Aqbar
 
Huyo m
Na bahati mbaya hujui Nina ndugu WA Aina gani aisee kuna majitu ni manafiki Sana ukae ukijua.
uha ni wa Kigoma, Kasulu, Kibondo, Manyovu au, nataka nikupe mgawanyo wa Waha. Msiwe mnakurupuka, maana wapo waha wavumilivu, wapo waha wenye tabia kama wahaya na wapo waha wenye roho mbaya kama za Warundi, itategemeana na sehemu atokapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…