Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

Baada ya kuachana naye amekuwa msumbufu

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,565
Reaction score
1,918
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.

Leo naendelea na kisa cha aliyekuwa mwanamke wangu muha WA kigoma.

Sasa RASMI niliamua kuondoka zangu nakumbuka niliamka alfajiri Sana kujiandaa maana nilikuwa nalala sebuleni tena chini nimetandika godoro yea alikuwa analala chumbani na mtoto.

Wakati namalizia kujiandaa Naye muha aliamka kujiandaa na kumuandaa mtoto aende shule basi nikiwa napanga begi langu vema huku mtoto wangu amekati pembeni ananitazama Kwa upole Sana niLimuagA Nikampa sarafu nyingi sana za Mia mbili Mia mbili nikamwambia nenda uweke utakuwa unachukua kidogo kidogo uzuri mtoto wangu anajielewa, basi nilimuaga nikabeba begi langu nikatoka muha alikuwa nje nikampita kama umeme maana tulikuwa hatusalimiani kabisa.

Sasa nilipoondoka zilipita Kama wiki mbili muha akaanza kupiga Simu Nikawa sipokei zoezi Hilo alipoona limekuwa gumu akawa anatuma SMS nzito naamka asubuhi nakuta SMS hata 20 zmejaa matusi na kashifa nzito nzto kiukweli skuwa namjibu. Zoezi Hilo lilikwisha baada ya Mimi kuamua Ku renew line Yangu ya zamani Sana akawa amekosa mawasiliano Yangu.

Sasa akahamia Kwa ndugu zangu ambao alikuwa na namba zao akawa anawapigia ananituhumu kwa tuhuma za uwongo kama zote mara eti sipigi Simu kusalimia mtoto na Mambo MENGINE mengi Tu ya ajabu ajabu.
Nilipopata taarifa hizo nikawapiga marufuku hao ndugu zangu kuwasiliana Naye.

Akahamia FB akiona jina la rafiki Yangu anatuma SMS messenger akidai ananitafuta kwani Mimi nmeondoka sisaidii chochote WALA Sjari kuhusu mtoto bila kusahau kashifa kama zote. Nako nikapiga pin nikadelete na akaunti Yangu ya FB nikafungua nyngn isiyo na majina Yangu kabisa ndo natumia mpk Leo na sina urafiki na watu au ndugu zangu wote lengo likiwa staki muha apate taarifa zangu Kwa namna yoyoye Ile.

Ilipita miezi kadhaa nashangaa SKU moja jioni nipo zangu nmejipumzsha naona SMS WhatsApp ikisema 👉 naona umeoa mrembo eti. Mmmmh kucheck namba naona ni ya muha na picha yake. Kuhusu kujua urembo wa mke wangu aliona kwenye profile yangu maana nimeweka ya mke wangu. Mke wangu ni mrembo si mnajua wanyaturu 🤗🤗😂😂🤭.

Niliamua kuvunja Line zangu zote nikasajiri mpya nikahakikisha ndugu zangu hawana zaidi ya watu WA ofisini na baadhi ya rafiki zangu ambao nawaamini Sana Ila Kwa masharti wasimpe mtu yeyote namba yangu mpaka waniulze.

Nikampa na ndugu yangu mmoja namuamini Sana nikamwambia watu wakiniulzia waambie hujui Niko wapi WALA huna mawasiliano yangu.

Mpaka Leo tunavyozungumza hapa imepita miaka muha hajawahi kukata tamaa ya kunisaka.
Misimamo wangu stakanyaga tena alipo na staki kuonana Naye Kwa namna yoyote Ile staki Dar huwa naenda kikazi lakini sjawahi shawishika hata KWENDA kumsalimia mtoto wangu japo inaniuma lakini tafanyaje SASA wakuu.

Karibuni wakuu Kwa maoni, kejeri, matusi, ujuaji, dharau, ushauri, pole NK.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Waha wanajua kikenua Meno Sana usipokuwa katili la kikauzu [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] utasota Sana

Huyu alikuwa waakutandika Sana

Ndo mngeekewana naye
 
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.

Leo naendelea na kisa cha aliyekuwa mwanamke wangu muha WA kigoma.

Sasa RASMI niliamua kuondoka zangu nakumbuka niliamka alfajiri Sana kujiandaa maana nilikuwa nalala sebuleni tena chini nimetandika godoro yea alikuwa analala chumbani na mtoto.
Badilisha Hilo Jina unalotumia mkuu. El Elyon is an ineffable name. It means Lord God the Most High. Are you the most high? Laana nyingine huwa mnajitakia wenyewe
 
Badilisha Hilo Jina unalotumia mkuu. El Elyon is an ineffable name. It means Lord God the Most High. Are you the most high? Laana nyingine huwa mnajitakia wenyewe
Mkuu pole Sana Kwa kutokujua Mambo aisee Kwa taarifa yako mi ni mlokole hasa na maandiko nayajua vema.

El Elyon NI sifa ya Mungu kwamba ni aliye juu Zaidi hii ni sifa si jina lake.

El Gibor ni sifa ya Mungu kwamba mwenye nguvu si jina la Mungu.

El Shadai ni sifa ya Mungu kwamba asiyepungukiwa au mtoshelevu si jina la Mungu. Ndo like jina maarufu la Elisha watu wanaitwa ndo hiyo el Shadai.

El Ohinu ni sifa ya Mungu kwamba Hana WA kufanana naye ni WA pekee si jina la Mungu.

Rafa ni sifa ya Mungu ikiwa na MAANA mponyaji si jina la Mungu.
KAMA NINGEJIITA JEHOVAH AU YAHWEH hapo kweli ingekuwa shida Ila nmejiita sifa za Mungu kwamba NIPO juu Zaidi kuliko wachawi, waganga, magonjwa, shetani
Siogopi chochote maana NIPO juu Zaidi ya hila na wenye hila.

Nina mtoto Wangu nimemuita EL GIBOR kwamba ana nguvu ya kushindana na chochote.

Kama hujaolewa basi amini unavyoamini mkuu.
 
Hivi mkuu hujui matumizi ya BLOCK kwenye simu. Unajitenga na ndugu zako kwa kuogopa mwanamke.

Bahati mbaya ambalo hujajua umemtelekeza mtoto wako pia.
Mkuu Tatzo humjui Mtu ninayepambana naye Yule alishaapa lazma anifunge Tu. Kuhisi mtoto sjamtelekeza nilimwambia anipe mtoto Wangu niondoke naye akajibu. 👉 Labda uniwekee panga shingoni unikate kichwa ndo uchukue mtoto.
Lengo langu nilitaka nimalzane naye kabisa kabisa na mtoto nichukue. Sasa kama huelewi mpaka hapo amini unavyoamini.
 
Hivi mkuu hujui matumizi ya BLOCK kwenye simu. Unajitenga na ndugu zako kwa kuogopa mwanamke.

Bahati mbaya ambalo hujajua umemtelekeza mtoto wako pia.
Na bahati mbaya hujui Nina ndugu WA Aina gani aisee kuna majitu ni manafiki Sana ukae ukijua.
 
Block inasaidia Nini Mtu anachukua namba nyingne anatuma masms sa yanini kuhangaika naye kwanini nisibadili namba Tu
 
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.

Leo naendelea na kisa cha aliyekuwa mwanamke wangu muha WA kigoma.

Sasa RASMI niliamua kuondoka zangu nakumbuka niliamka alfajiri Sana kujiandaa maana nilikuwa nalala sebuleni tena chini nimetandika godoro yea alikuwa analala chumbani na mtoto.
Sasa kama huna kabisa mawasiliano dogo unamsaidia vipi? Au umepiga chini woote au zile "COINS NYINGI" bado anazo?
 
Mkuu pole Sana Kwa kutokujua Mambo aisee Kwa taarifa yako mi ni mlokole hasa na maandiko nayajua vema.

El Elyon NI sifa ya Mungu kwamba ni aliye juu Zaidi hii ni sifa si jina lake.

El Gibor ni sifa ya Mungu kwamba mwenye nguvu si jina la Mungu.

El Shadai ni sifa ya Mungu kwamba asiyepungukiwa au mtoshelevu si jina la Mungu. Ndo like jina maarufu la Elisha watu wanaitwa ndo hiyo el Shadai.

El Ohinu ni sifa ya Mungu kwamba Hana WA kufanana naye ni WA pekee si jina la Mungu.

Rafa ni sifa ya Mungu ikiwa na MAANA mponyaji si jina la Mungu.
KAMA NINGEJIITA JEHOVAH AU YAHWEH hapo kweli ingekuwa shida Ila nmejiita sifa za Mungu kwamba NIPO juu Zaidi kuliko wachawi, waganga, magonjwa, shetani
Siogopi chochote maana NIPO juu Zaidi ya hila na wenye hila.

Nina mtoto Wangu nimemuita EL GIBOR kwamba ana nguvu ya kushindana na chochote.

Kama hujaolewa basi amini unavyoamini mkuu.
Shari yako mkuu. Just mark my words. Hilo Jina wayahudi wenyewe hata kulitamka Tu hawalitamki hovyo hovyo wewe umeona ndo ulitumie kama user name at jf ?

Ur mindset fit in the narration of Judges 21: 25 " In those days, Israel had no King so everyone did as they saw it fit"

So do to you as what you see it fit .

Matter fact I am a Muslim.
 
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.

Leo naendelea na kisa cha aliyekuwa mwanamke wangu muha WA kigoma.

Stori yako sijaelewa,ulisema mpaka sasa miaka 2.5.

Au bado unaleza kuhusu kipindi cha miaka 2.5 na leo hupo
 
Back
Top Bottom