Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

Mkuu hongera sana kwa hatua uliyo fika mungu yupo nawe kaka
 
Hii thread imekuwa ya manufaa sana kwa wanajukwaa wazo linazaa wazo jingine kiasi inaamsha ari ya kufanya kitu kujikwamua binafsi nimevutiwa mawazo humu na jana nilimtafuta mleta uzi na tuliongea kwa kirefu,Tueendelee kushirikiana sisi ambao hatujaanza hii safari tunategemea sana msaada hapa jamvini na vinginevyo.
 
Ujumbe,
Opportunities za kutengeneza pesa kwa uhalali ni nyingi sana, waache kutoa hizo opportunities kwa watu ambao ni wakwepa kodi kwa tamaa ya 10%. they should think bigger than that...
Uko sahihi kabisa mrembo.
 
Ujumbe,
Opportunities za kutengeneza pesa kwa uhalali ni nyingi sana, waache kutoa hizo opportunities kwa watu ambao ni wakwepa kodi kwa tamaa ya 10%. they should think bigger than that...

CC: mafisadi wote wachumia tumbo
 
Mkuu asante sana kwa kutuhabarisha habari njema, ila mkuu nilikuwa na shida kuhusu shamba huko, na heka huanzia tsh ngapi?

Karibu uje tufuge. Shamba linaanzia sh. Laki mbili Kwa heka.
 

Mitiki ya mkoa wa pwani vipi?

Maana nilisikia huwa haifanyi vizuri sana huku pwani.
 
Ni kweli kabisa,leo ni moja ya siku ambazo nimejifunza kitu cha msingi,nakushukuru sana mkuu Eberhad,ubarikiwe sana..Mimi nasubiri tu huu mkataba na huyu mkoloni mweusi uishe,this Dec,2013 nami niingie huko kwa nguvu,ingawa nimeshanunua baadhi ya maeneo huko Mvomero.

Nataka nikasimamie kikamilifu
 

Big up....TRA umewaachia manyoyaaa na Vumbiiiiiii
 
Eberhard umefanya jambo la kishujaa sana. Mimi binafsi nakupa hongera zangu na kukutia moyo kuwa plan yako ni njema sana kukupeleka kwenye bigger plan. Nakushauri uanze kufuga mmbwa kwenye hilo eneo kama ulinzi kwa kuwa wezi siku hizi wanarudisha sana maendeleo ya watu. Jitahidi utafanikiwa. Sky is the limit.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni mtu wa pili kunishauri. Nakuhaidi nitazingatia ushauri wako.
 
Last edited by a moderator:

saaaafi sana tuspende kuajiriwa tujiajiri wenyewe bwana
 
Nimepata maswali juu ya namna kilivyo kisima changu Cha maji. Ebu oneni kisima changu Cha maji.
 
hehehe

Una ujumbe gani kwa mafisadi?

Naona kuna Fisadi au Fisadi Mtoto ZeMarcopolo ameshatoa comment ya kinafiki hapo nyuma. Quote, "This is what we call KUELIMIKA. Excellent example."

Nafikiri ataenda kuwaambia mabosi wake wapi pa kuanza kukata kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…