Tuna hasara kubwa Sana Watanzania, huwezi kaa kimya miaka sita yote husemei Bandari, halafu leo tena baada ya Raisi kufariki ndipo uje kutuonyesha uzuri wa uwekezaji huoHuyu ni sura halisi ya MCHUMIA TUMBO, ambaye anakwenda na "upepo"; na kwa akili yake, anadhani kesha jua na kufahamu "upepo" huu wa sasa hivi UNAVUMAJE? Ananchofanya ni kubahatisha tu, hivyo aangalie isije IKALA KWAKE!
Kwenye chaguzi zijazo, tuache demokrasia ichukue mkondo wake. Uvurugaji wa uchaguzi wa 28 October 2020, hautasahalika katika historia ya chaguzi Tanzania. Hicho kilichopo bungeni ndicho JPM na wana CCM walikishangilia na kukiita ushindi wa kishindo na wakihistoria.Sawa mkuu, ulitaka kuhitimishaje
Si unajua Watanzania ni kama bendera na upepo!!Kwenye chaguzi zijazo, tuache demokrasia ichukue mkondo wake. Uvurugaji wa uchaguzi wa 28 October 2020, hautasahalika katika historia ya chaguzi Tanzania. Hicho kilichopo bungeni ndicho JPM na wana CCM walikishangilia na kukiita ushindi wa kishindo na wakihistoria.
Umeshaona mikataba mingapi mkuu? KUkweli ni kuwa ukifanya comparison analysis ukiwa objectively kabisa kati ya mikataba iliyoingiwa wakati wa JK na ile ya wakati wa JPM utaona mikataba karibia yote ya wakati wa JK ilikuwa ya kipigaji kuliko ya wakati wa JPM.
Na wakiingia na wale wa upinzani waliotuchelewesha maendeleo itakuwaje mkuu?Mkuu, tumechoshwa na ubutu wao, wanaleta hasara tupu, ni Bora Bunge likavunjwa
Itakuwa kama unavyowaza mkuuNa wakiingia na wale wa upinzani waliotuchelewesha maendeleo itakuwaje mkuu?
Walipenda kuimba wimbo uliopendwa na aliyewalipa. "Anayemlipa mpiga zumari, ndiye huchagua wimbo aupendao" By J K Nyerere.Hawa wachumia matumbo wasitake kumchanganya yoyote ni miradi ya MATUMBO YAO. Huyu alikuwa mstari wa mbele kusifu na kuitia NDIYO kwa mambo yote aliyosema Hayati Rais wetu Magufuli. Leo anakuja na upuuzi wa kuitaka Bandari ya Bagamoyowakati wa mjadala wake wakati ule Bungeni alikiri kuwa ni MRADI WA HOVYO. leo anauona ni mradi mzuri; na anasimamndani ya chombo kitakataifu kama Bunge na kuanza kusemasema maneno ya UONGO. ASHINDWE NA ALEGEE na Wanamtandao wenzake.
Nimemsikia pia kuhusu ndege za Air Tanzania! Huyu mtu VIPI!? Anaanza kupiga U-TURN hata yule aliyekuwa akimuunga mkono, hatujamsahau!? Kweli hawa watu vipi!? U - ndio na U - yes kwa Hayati umeisha mapema hivi? Kweli hakujua kuwa Air Tanzania kuna matatizo, hadi CAG aseme ndio na yeye atie neno, ubabaishaji gani huu?
Tusubiri tutawaona wengi wakipiga U-TURN na KUGEUKA MAWE kwa maslahi na matumbo yao wenyewe. Ila wakumbuke CCM bado ni imara na itasimamia maslahi mapana ya Taifa hili.
Ndugai ana yake ya kujibu sioni kama anastahili kuwepo hadi mwisho wa mwaka huu.Eti, Raisi hakushauriwa vizuri kuhusu mradi wa ujenzi bandari ya Bagamoyo, Wakati huohuo yeye ndiye mshauri mkuu wa serikali, alikuwa wapi?
Raisi wetu amefariki ndo kunakupa mwanya wa kumwandama na kumkandia kila Neno Baya, sasa tunataka mtwambie kama Kweli kazi yenu ni kuishauri serikali na kuisimamia
Kabla ya tamko lake Jana kuhusu ujenzi na uwekezaji wa bandari ya Bagamoyo, aliwahi pia kutamka kwamba, mradi huo ni hasara Kwa Serikali Kwa jinsi Mkataba wake ulivyokaa, na kama ndivyo, yeye ndiye ametufanya kama Taifa tuchelewe kuwa na mradi huo,
Sasa Sisi tushike lipi?
Najiuliza, Yeye kama mkuu wa mhilimili huo, anaongoza chombo chenye kazi ya kuishauri na kuisimamia serikali, Alikuwa wapi, mbona alitaka Raisi aongezewe muda wa kutawala? Si ni yeye jamani au ni mwingine!! Je, hakuwa analiona tatizo la ufisadi uliokuwa unaendelea?
Kwa tarifa ya CAG imeibua madudu makubwa na ufisadi wa kutisha, badara ya yeye na mawaziri wote kama sio Bunge loote kuwajibike Kwa kushindwa kuisimamia serikali anaibuka na Jambo la ajabu tu ili kutuondoa kwenye Hilo la ufisadi, hivi mnaaibu kweli nyinyi watu!
Tukionyesha hasira zetu wananchi tuliowatuma kwenda kusimamia rasilimali zetu mnatutumia wasiojulikana, ni Sawa Kwani kufa ni kutangulizana Tu
Tunalitaka Bunge liwajibike katika hili, la sivyo mtuambie ni Kwa nini mlitaka Raisi aongezewe muda
Tunataka pia, mradi wa Ujenzi bandari ya Bagamoyo, Mkataba wake uwekwe mezani tuambie yaliyomo na Kisha Bunge loote livunjwe, Kwani ni hasara tupu!!
Acha tupige 🏋️🏋️🏋️
Kumbe hamuaminiki tena!!
Basi tulinywe sasa.Si unajua Watanzania ni kama bendera na upepo!!
Swali langu ni moja tu, Kwa nini alitaka amwongezee muda wa utawala?Ndugai ana yake ya kujibu sioni kama anastahili kuwepo hadi mwisho wa mwaka huu.
Kwa hiyo hapa unataka kuniambia Professor Assad alikuwa sahihi???Ndugai ni kiongozi dhaifu sana hafai hata kidogo.
Mkuu, alikuwa Sawa kabisaaKwa hiyo hapa unataka kuniambia Professor Assad alikuwa sahihi???
Ndugu zangu haya yaliyoibuliwa na CAG ni machache ya mengi ya yanayoendelea humu nchini kwa mfano nikizungumzia miradi ya maendelee hususani mradi wa reli ya SGR kuna madudu ya kufa MTU nikianza tuu na maswala ya rasilimali watu waturuki waliokuja hawajui kitu. Kuna makampuni Tanzu (sub) hazina usajili wowote kama vile CRB na bodi imekaa tuu wala hawafuatilii ukija kwa ma Engineer ndio kabisa wapo wakutosha hawajasajiliwa na bodi ERB na bodi IPO tuu ikumbukwe sio pesa tuu za registration tunapoteza ila pia hawajamaa wana jeopardize nafasi za wazawa na pia kuikosesha serikali mapato payee.Eti, Raisi hakushauriwa vizuri kuhusu mradi wa ujenzi bandari ya Bagamoyo, Wakati huohuo yeye ndiye mshauri mkuu wa serikali, alikuwa wapi?
Raisi wetu amefariki ndo kunakupa mwanya wa kumwandama na kumkandia kila Neno Baya, sasa tunataka mtwambie kama Kweli kazi yenu ni kuishauri serikali na kuisimamia
Kabla ya tamko lake Jana kuhusu ujenzi na uwekezaji wa bandari ya Bagamoyo, aliwahi pia kutamka kwamba, mradi huo ni hasara Kwa Serikali Kwa jinsi Mkataba wake ulivyokaa, na kama ndivyo, yeye ndiye ametufanya kama Taifa tuchelewe kuwa na mradi huo,
Sasa Sisi tushike lipi?
Najiuliza, Yeye kama mkuu wa mhilimili huo, anaongoza chombo chenye kazi ya kuishauri na kuisimamia serikali, Alikuwa wapi, mbona alitaka Raisi aongezewe muda wa kutawala? Si ni yeye jamani au ni mwingine!! Je, hakuwa analiona tatizo la ufisadi uliokuwa unaendelea?
Kwa tarifa ya CAG imeibua madudu makubwa na ufisadi wa kutisha, badara ya yeye na mawaziri wote kama sio Bunge loote kuwajibike Kwa kushindwa kuisimamia serikali anaibuka na Jambo la ajabu tu ili kutuondoa kwenye Hilo la ufisadi, hivi mnaaibu kweli nyinyi watu!
Tukionyesha hasira zetu wananchi tuliowatuma kwenda kusimamia rasilimali zetu mnatutumia wasiojulikana, ni Sawa Kwani kufa ni kutangulizana Tu
Tunalitaka Bunge liwajibike katika hili, la sivyo mtuambie ni Kwa nini mlitaka Raisi aongezewe muda
Tunataka pia, mradi wa Ujenzi bandari ya Bagamoyo, Mkataba wake uwekwe mezani tuambie yaliyomo na Kisha Bunge loote livunjwe, Kwani ni hasara tupu!!
Acha tupige [emoji2484][emoji2484][emoji2484]
Kumbe hamuaminiki tena!!
Mkuu mambo ni ya ovyo huko serikalini hamna haja ya kuwa na serikali kama MTU mwenye dhamana ya kuisimamia serikali unasema eti alishauriwa vibaya wewe ulikuwa wapi wakati unalipwa kwa kazi hiyo.Mkuu, alikuwa Sawa kabisaa
Ni mnafiki mno huyu jamaa, anayumba vibaya, utamsikia atavyofoka Leo na hizi nyuzi za kumponda kuruhusu wizi huu makubwa,
Unasema Hana msimamo ,ivi wewe unaweza bishana na boss wako au kiongoz wa nchi?
Je na sisi wananchi tunaowaza mbali Zaid tutajuaje huenda rais nae aliona mradi ule hawez pata 10percent Kama wapatavyo kwenye mirad mingine ndio maana akauponda?
Kijana zinduka usimwamin mwasiasa yeyote yule ,wote ni wapigaji dili tu ,awe jiwe kashatuliza sana tena sana ni vile rais hajadiliw lakin watu wana mafail yake mengi .
Mayanga construction unajua ni ya Nan ,
Unajua mashart ya ule mkataba yalikuaje ? Ukiona mtu anapinga mradi Fulani ujue haufaidishi yeye Kama yeye na ukiona unaupambania jua huo mrad unamfaidisha binafs either kwa kuweka kampuni yake kwa mlango wa nyuma au kupata asilimia fulan.
Ni mpumbavu tu atamwamin jiwe kuwa ule mrad ulikuwa na madudu mengi ,vipi atcl yake iliyoingiza hasara ya 155b kwa miaka mitano tu .
Unajua huyo jiwe kapiga kias gani kwenye hii miradi ya ujenz wa barabara na mirad mingine ?
Unaweza kuwa sahihi kwamba huenda spika alihongwa chochote ili aupigie debe lakin pia upande wa pil unaweza kuta yeye aliona kabisa hapat kitu Kama ganji kwa hao jamaa kwa hasira aliamua kuukataa ,yote yanawezekana so usiwe upande mmoja
Hata BUNGE sio la kuamini sababu limejaa wanafiki na wachumia tumbo. Wauweke hadharani raia kwa kushirikiana na TLS tuuchambueNi vyema upelekwa bungeni, hutumuamini mtu yeyote tena
Nadhani hii ndiyo njia sahihi ya kuondoa utata wa jobu aka kaziHata BUNGE sio la kuamini sababu limejaa wanafiki na wachumia tumbo. Wauweke hadharani raia kwa kushirikiana na TLS tuuchambue