John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Punguza ujuha basi Chama ni midfielder ulitaka ashindane na toward mayele kwenye ufungaji au maneno maneno tuAliyofanya Kagere kwenye ligi hii hata nusu tu huyo mchezaji wenu bado hajayafikia. Huyo ni mchezaji wa kihistoria kwenu na sio kwenye ligi achilia mbali Afrika.
Wacha kukurupuka , soma tena nilichoandika.Punguza ujuha basi Chama ni midfielder ulitaka ashindane na toward mayele kwenye ufungaji au maneno maneno tu
Kabisa Nice picMpira sio uaduiView attachment 2558957
Mbona kama hujaelewa kinachozungumzwaPunguza ujuha basi Chama ni midfielder ulitaka ashindane na toward mayele kwenye ufungaji au maneno maneno tu
Wapi? Mnaleta story za abunwasi kama yule jamaa wa Azam TV siku ya jumapili anachukua muda mwingi kureeemba mambo ya zamani na kuwaita watu wa Zamani. Tuambie hiyo hao wachezaji wa Zamani mnaowasifia waliletankombe gani bongo?Huyu mwamba amsha amsha zake ananikumbusha aina ya washambuliaji ambao Tanzania ilikuwa nao miaka ya nyuma...
Madogo wa sasa wana kitu cha kujifunza toka kwa huyu mpambanaji...
Chama tena,jamaa kasema MK14.Punguza ujuha basi Chama ni midfielder ulitaka ashindane na toward mayele kwenye ufungaji au maneno maneno tu
Pole sana mkurugenzi kama unaumia.Aliyofanya Kagere kwenye ligi hii hata nusu tu huyo mchezaji wenu bado hajayafikia. Huyo ni mchezaji wa kihistoria kwenu na sio kwenye ligi achilia mbali Afrika.
Ukisikia typical Kolo ndio hili sasa...Aliyofanya Kagere kwenye ligi hii hata nusu tu huyo mchezaji wenu bado hajayafikia. Huyo ni mchezaji wa kihistoria kwenu na sio kwenye ligi achilia mbali Afrika.
Exactly mkuu. Wanaongelea kimapenzi zaidi lakini MK14 amefanya wonders sana.Aliyofanya Kagere kwenye ligi hii hata nusu tu huyo mchezaji wenu bado hajayafikia. Huyo ni mchezaji wa kihistoria kwenu na sio kwenye ligi achilia mbali Afrika.
Wapi? Mnaleta story za abunwasi kama yule jamaa wa Azam TV siku ya jumapili anachukua muda mwingi kureeemba mambo ya zamani na kuwaita watu wa Zamani. Tuambie hiyo hao wachezaji wa Zamani mnaowasifia waliletankombe gani bongo?