cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umeambiwa Kagere, mbna una kurupukaa hivyooo??Punguza ujuha basi Chama ni midfielder ulitaka ashindane na toward mayele kwenye ufungaji au maneno maneno tu
Hujui kusomaa weee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]