Baada ya kufanya kazi kubwa, Mwamba anarudi kuitumikia nchi yake

MKUU KWANI UYU JAMAA AMEITWA KWENYE TIMU YA TAIFA YA KONGO???, KONGO ANA NAMBA UYU JAMAA KWANI?? MAANA NILISIKIA KONGO KUPATA NAMBA MPAKA UCHEZEE ULAYA
 
Ukisikia typical Kolo ndio hili sasa...

Umeshindwa nini kuanzisha uzi wa kagere?

Kama roho inakuuma Sana ku comment positive kwa mayele na Yanga si unapiga kimya tu mkuu
Tuna comment ili msiendelee kupotosha vilaza wenzenu. Achilia mbali MK14 , rekodi za Bocco tu bado hajazifikia. Anajitahidi ila ni ukilaza kuandika hajawahi kutokea kama yeye kwenye ligi.
 
KHAAAHH!!!
 
Nimeelewa kagere haikuwepo ame edit baada ya kusema Chama na wakutetema wapi na wap
Hakuna post iliyomtaja chama humu. Kwanza reply yangu uliyoiquote inampinga mleta mada. Hivi unajua kusoma kweli?
 
Reactions: Tui
Hyo tshirt nimeielewa nan anauza tshirt hzo
 
Ila wacongo na Louis Vuitton ni kama pete na kidole.Haya endeleeni kumtajirisha Bernard Arnault Tajiri number moja duniani.
 
Tuna comment ili msiendelee kupotosha vilaza wenzenu. Achilia mbali MK14 , rekodi za Bocco tu bado hajazifikia. Anajitahidi ila ni ukilaza kuandika hajawahi kutokea kama yeye kwenye ligi.
Mayele ni complete skriker. Anajua ball control, anajua vyenga, mzuri kwenye header, ana speed, anajua dibbling, mwili jumba.. Yaani unaweza linganisha waviziaji km boco na kagere dhidi ya mshambuliaji aliyekamilika idara zote?
Watu kama Mayele ni wachache sana duniani Kwa sasa
 


Hivi ni nani au akina nani katika hawa wanne ambaye amewahi kutangazwa either na TFF au CAF kuwa ni beki bora au kiungo bora au mshambuliaji bora wa mashindano yoyote yanayoendeshwa na vyama hivyo? 😁😁 😁
 


Hivi ni nani au akina nani katika hawa wanne ambaye amewahi kutangazwa either na TFF au CAF kuwa ni beki bora au kiungo bora au mshambuliaji bora wa mashindano yoyote yanayoendeshwa na vyama hivyo? 😁😁 😁
Utaambiwa tunaongoza kundi CAFCL😁😁
 


Hivi ni nani au akina nani katika hawa wanne ambaye amewahi kutangazwa either na TFF au CAF kuwa ni beki bora au kiungo bora au mshambuliaji bora wa mashindano yoyote yanayoendeshwa na vyama hivyo? 😁😁 😁
Wakikujibu ni tag.
 
Takwimu ndio zinaongea sio bla bla. Kakamilika kwa maoni yako wewe ila wengine tunamuona ana madhaifu yake pia.
 


Hivi ni nani au akina nani katika hawa wanne ambaye amewahi kutangazwa either na TFF au CAF kuwa ni beki bora au kiungo bora au mshambuliaji bora wa mashindano yoyote yanayoendeshwa na vyama hivyo? 😁😁 😁
Wiki ijayo kwenye kikosi cha CAF cha wiki, CAF waitaje tu Simba yote kuepuka usumbufu πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…